Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Watu wanasahau tu ila Museveni ni mtu mbaya sana!

Inadaiwa kuwa sumu iliyopaswa imuue moja kwa moja baada ya kutoka kwenye ziara pale Kilwa Road kwenye sabasaba, hatimaye ikammaliza daktari wa mifugo kutoka huko Pemba.

Ni nani aliediverge hii issue na hatimae kuondoka na Dkt Omary deceased?

Tanzania kuna mengi ila it is claimed that Museveni was planted to rest in hell before things change during that time 13:00, 4/7/2001.

Ngoja nimalizie kunywa spirit iniondolee baridi maana nashindwa kuandika.
Wekeni mambo mezani tusuuze mioyo yetu iliyochoshwa na mengi tujiliwaze kwa habari za matukio ya kale. Habari hii kama haijajitosheleza
 
Mkuu ebu fatilia hii makala ingawaje ni ya zamani lakini unaweza kupata picha ya kile kinachoendelea Congo na roles ya slim mpaka hapo Congo ilipofikia. Hii makala iliandikwa na [HASHTAG]#Washington[/HASHTAG] Post 1998.



RWANDA ADMITS ITS TROOPS AID CONGO REBELS










By Lynne Duke November 7, 1998

Rwanda's military leader, Vice President Paul Kagame, admitted publicly for the first time today that his troops are involved in the Congolese conflict launched three months ago by rebels trying to oust President Laurent Kabila.

After months of official denials, Kagame, who is also Rwanda's defense minister, acknowledged his country's role following an hour-long meeting here with South African President Nelson Mandela, two days after he had met with the U.S. assistant secretary of state for Africa, Susan E. Rice, in Kigali, the Rwandan capital.

Diplomats had described Rwanda's denials as a major obstacle to mediation efforts to end the widening war in Africa's third-largest nation, which has become a continental conflict. The war, which broke out Aug. 2, has drawn in Angola, Zimbabwe, Namibia, Chad and numerous regional militias on Kabila's side, with Rwanda and Uganda supporting the rebels.













































"Initially, our country hadn't, for good reasons, come out specifically to talk about the presence of our troops in Congo," Kagame said today, seated beside Mandela at a news conference. "We have informed the president that we are there specifically for our national security. That situation in Congo has always affected our security, and we are there specifically for that purpose."

Rwanda, Congo's neighbor to the east, has involved itself in two Congolese conflicts in the past two years, and in both cases it persisted for several months in denying it. Also in both cases, Rwanda's military moves were intended to combat Rwandan ethnic Hutu extremists, including perpetrators of the slaughter of 500,000 Rwandan Tutsis in 1994, who use Congo as a base for attacks against Rwanda. In the first war, launched in 1996 -- when Congo was called Zaire -- Rwanda led the forces that ousted dictator Mobutu Sese Seko and installed Kabila in power.

Since the outbreak of the latest Congo war, Rwanda again maintained a policy of denial, despite sightings of Rwandan troops inside Congo and confirmation by Congolese rebels that Rwandans were in the conflict. Uganda has admitted it has troops inside Congo, but Rwanda's denials scuppered several attempts at mediation.

"Many people felt that the fact that Rwanda did not admit that they were combatants created immense difficulties" for the peace process, Mandela said. "Now that Rwanda has made this acknowledgment, I think that we have reason to believe there is going to be progress."

The negotiating framework that Mandela and others are proposing includes a cease-fire, a troop standstill, a foreign troop withdrawal and more talks leading to Congolese elections. But Kabila's government said Kagame's statement was not enough for Congo to agree to a cease-fire, the Reuters news agency reported from Kinshasa, the Congolese capital.

"For us, saying that they are there makes no difference because we knew they were there. They must withdraw," said Kabila's chief political aide, Pierre-Victor Mpoyo.

Although thousands of mutinous troops from his own army appear to form the core of the rebel force, Kabila has called the conflict an invasion by Rwanda's ethnic Tutsi-dominated army and its close ally, Uganda. Some diplomats also have characterized the war as an invasion.

Rwanda maintained its silence on its involvement in an effort to avoid fueling "that confusion," Kagame said.

"The conflict was an internal conflict which has brought in external forces," he said.

After helping to install Kabila in power in May 1997, Rwanda allowed hundreds of its troops to remain in Congo to help organize and professionalize Kabila's new military. But Rwanda gradually fell out with Kabila over the issue of border security. As relations became strained, Kabila suddenly announced late in July -- despite prior agreement on a Rwandan withdrawal -- that he was kicking Rwandan troops out of the country. This, coupled with Rwanda's belief that Kabila was recruiting Hutu extremists for his army, led to a final breach.

Kagame was vague today about precisely when his troops moved into Congo. He denied that his army was inside Congolese territory on Aug. 2, but suggested that forces moved in soon after.

With its complex ethnic, economic and nationalistic dimensions, the Congo conflict has alarmed African and Western leaders because of its potential to broaden even further and become more intractable.

"If this conflict is not stopped, the danger of a massive African war is a reality," Aziz Pahad, South Africa's deputy foreign minister, said Thursday.

During her attempt at shuttle diplomacy in several of the combatant states this week, Rice met with Kabila and, in effect, told him, "He can be part of the solution, or he can continue to be part of the problem," a U.S. official said. "And if he continues to stand on his current ground, this place will continue to explode."

Asked how long Kabila can hold out, the official said, "As long as the Angolans and the Zimbabweans are willing to stand by him, I think indefinitely." CAPTION: Rwanda's Kagame was vague about when his troops entered Congo. ec
Pohamba Prof HNIC
So ni sahihi kuwa yule the tallest military junta commander aliyekamatwa enzi zile Congo then akarejeshwa Kigali na tusijue hatima yake ili hali jumuia ya kimataifa ilikuwa inamsaka kwa udi na uvumba atakuwa alikuwa subordinate wa the Slimmy boss...???
 
65f6b9d503254449a9f6ae2b7db83347.jpg
d92674bc83dc22b30298ab044cc9c489.jpg
c049bbc85b71f4804b890c7d9ea21299.jpg


68b55caee36874efafe5d9e39db1f9a7.jpg
 
Wakuu mwenye deep info za kifo cha Chacha Wang we naomba ashushe nondo .To me This is one of the mysterial death up to this moment , Wangwe's ,Mtikila's and Sokoine's deaths scenarios makes me believe that there had been conspiracies to get rid of these people in a systematic way under the curtain of Car accidents

Mtafute mtu anaitwa Deo Meck pia ni member humu JF kwa jina hilo hilo, ameandika pia kitabu kuhusu kifo cha CHACHA WANGWE...
 
Huyo Salmin Amour ameshaanza kulipia ubabe wake aliowafanyia Wapemba.

Amepoteza uwezo wa kuona yaani ni kipofu!

Mungu ni wetu sote!
Huu nauita u-mbumbumbu,
Kwa umri wa Salmin Amour ni kawaida sana kukumbwa na maradhi ya aina hiyo.
Tujifunze kuacha ushabiki kwenye mambo ya msingi. Pale Muhimbili kuna wagonjwa wengi sana je nao walimkosea nini Mungu!? Sisi tulio hai na afya timamu je tumemtendea Mungu wema gani mpaka akatuba kibali hiki cha utimamu wa Afya ya mwili na Akili!?
Kila mwanadamu lazima apitie changamoto za magonjwa no matter unamcha Mungu au ni mpagani, nawe pia siku yako yaja.
 
Ndio nimemaliza kusoma hii thread.Nilianza toka saa kumi na mbili asubuhi,naumzika kwa muda then naendelea.

Nilichogundua ni kwamba hata ukifuatilia siasa za nchi hii kwenye vyombo vya habari lakini bado huwezi kujua yanayotokea nyuma ya pazia bila ya kua na watu wa "jikoni"wanaojua yanayoendelea.
 
Ndio nimemaliza kusoma hii thread.Nilianza toka saa kumi na mbili asubuhi,naumzika kwa muda then naendelea.

Nilichogundua ni kwamba hata ukifuatilia siasa za nchi hii kwenye vyombo vya habari lakini bado huwezi kujua yanayotokea nyuma ya pazia bila ya kua na watu wa "jikoni"wanaojua yanayoendelea.
Naomba hiyo link kaka nami nisome
 
Huu nauita u-mbumbumbu,
Kwa umri wa Salmin Amour ni kawaida sana kukumbwa na maradhi ya aina hiyo.
Tujifunze kuacha ushabiki kwenye mambo ya msingi. Pale Muhimbili kuna wagonjwa wengi sana je nao walimkosea nini Mungu!? Sisi tulio hai na afya timamu je tumemtendea Mungu wema gani mpaka akatuba kibali hiki cha utimamu wa Afya ya mwili na Akili!?
Kila mwanadamu lazima apitie changamoto za magonjwa no matter unamcha Mungu au ni mpagani, nawe pia siku yako yaja.


Salmin Amour ni mdogo sana kwa watu kama Kingunge, Mwinyi, Salim Ahmed Salim na hata Kigogo Warioba. Mbona hao wapo fiti mpk leo?

Mungu analipa hapahapa Duniani. Karma ipo mkuu.
 
Huu nauita u-mbumbumbu,
Kwa umri wa Salmin Amour ni kawaida sana kukumbwa na maradhi ya aina hiyo.
Tujifunze kuacha ushabiki kwenye mambo ya msingi. Pale Muhimbili kuna wagonjwa wengi sana je nao walimkosea nini Mungu!? Sisi tulio hai na afya timamu je tumemtendea Mungu wema gani mpaka akatuba kibali hiki cha utimamu wa Afya ya mwili na Akili!?
Kila mwanadamu lazima apitie changamoto za magonjwa no matter unamcha Mungu au ni mpagani, nawe pia siku yako yaja.
Salmin a.k.a Komandoo alitaka kujichanganya kipindi cha tume ya Warioba ya katiba ya wananchi wazee wa feri wakamuambia Mzee taratibu hatutaki bendera za nusu mlingoti visiwani basi akafyata .
 
Salmin a.k.a Komandoo alitaka kujichanganya kipindi cha tume ya Warioba ya katiba ya wananchi wazee wa feri wakamuambia Mzee taratibu hatutaki bendera za nusu mlingoti visiwani basi akafyata .
alikua anataka kufanyaje?
 
Back
Top Bottom