Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Labda nikukumbushe kuna kipindi slim thugh alijitahidi akajenga tower as like aicc akajaribu kuteka watu wa adis waje wafanye mkutano hapo ila kwa kuwa kando kando yake yalishaonekana na by then kwenye kigoda alikuepo mtoto wa mjini basi wakampotezea vibaya mno bifu lingine.

Hivi unajua kuwa habariamana aliepelekwa wasiporudi watu ni ndugu yake na huyo salamia yule ambae nyampara wa road amempa zawadi ya kiti cha kwa wagogo .

Mwisho nikuhakikishie escadron de la mort ndio watakuja kumuondoa boss wao. Lets wait for the time to reveals
Atakae ondolowe ni slim thug au nyapara
 
Salmin a.k.a Komandoo alitaka kujichanganya kipindi cha tume ya Warioba ya katiba ya wananchi wazee wa feri wakamuambia Mzee taratibu hatutaki bendera za nusu mlingoti visiwani basi akafyata .
Mkuu "muhenga" kwa nini a.k.a ya jamaa huitwa komandoo?
 
Mkuu "muhenga" kwa nini a.k.a ya jamaa huitwa komandoo?
Salmin Amour ni miongoni mwa marais waliotawala Zanzibar kwa mabavu na kiburi ya hali ya juu 1990-2000. Alichokosea zaidi alitaka kubadilisha katiba ili atawale zaidi ila aligonga mwamba na hii ilitokana na dharau zake na kufata nyayo za AB hakika alisahau kuwa Dom ndio kila kitu kwenye maamuzi ya nani awe rais wa Zenji.

Salmin alipokuwa rais wa Zanzibar alikuwa mbabe kweli ndipo jamaa wakampa hilo jina yaani KOMANDOO , kati ya kipindi ambacho upinzani ulikuwa na shida au mateso basi siyo sasa hivi bali ilikuwa kipindi cha Salmin Amour visiwani aliwaweka ndani wapinzani akina Seif na Juma Duni kwa kipindi cha miezi mitatu.

Kumbuka kuwa Juma Duni ni mtoto wa dada ake na Salmin Amour a.k.a komandoo basi mama yake na Duni (dada ake na Komandoo) akaenda kumuomba na kumlilia amtoe huyo mjomba wake unajua alijibuje mjomba mtu(komandoo) ? Alimuambia dada ake kuwa usilie muache ashike adabu yeye siyo NYANYA KUWA ATAOZA AKIWA NDANI TENGA "

Jamaa alivimbiwa madaraka alikuwa na dharau kweli kuna kipindi aliwahi kusema hataki ushauri maana hamna cha "BABU WA TAIFA WALA BABA WA TAIFA" hapo alikuwa anamdhiaki Nyerere wakati bado yupo hai. Mkapa sasa ndo alikuwa akimdharau zaidi bila kutambua kuwa kuna king makers DODOMA.

Alipotaka kugombea awamu ya tatu kwa kubadili katiba kilichomkuta pale Dom baada ya wajumbe kumtoa BWM nje hakika ugonjwa wake wa macho yalianzia pale mengine tuyaache . Amshukuru JK though pamoja na fitina kwake via kundi lao la golden boys a.k.a boyz 2 men BADO ALIJITOLEA KUMGHARIMIA MATIBABU KULE OPIUM WAR.

Note that viongozi wa Zenji upangwa Dom , kule Pemba walikuwa na majimbo mengi ila baada ya kuona challenges nyingi kwenye baraza la wawakilishi dah ccm wakayapunguza kuuawa nguvu ya CUF pemba watu walipiga kelele lakn wapi LIFE GOES ON.
 
Slim thugh mkuu . Huyo nyampara is no body kuna watu wameshika rimoti. Mda wowote wanazima tv akileta zake.
Masihara haya sasa. Ina maana jamaa na tambo zake zote kwenye media still kuna wababe zaidi yake?

Ila kama ni kweli usemacho iwaje wakampa uhuru wa kupindukia namna hiyo kwa kumuachia madaraka yote ya kupanga vijakazi wake kila eneo pasipo ruhusa ya hao wababe zaidi yake?
 
Salmin Amour ni miongoni mwa marais waliotawala Zanzibar kwa mabavu na kiburi ya hali ya juu 1990-2000. Alichokosea zaidi alitaka kubadilisha katiba ili atawale zaidi ila aligonga mwamba na hii ilitokana na dharau zake na kufata nyayo za AB hakika alisahau kuwa Dom ndio kila kitu kwenye maamuzi ya nani awe rais wa Zenji.

Salmin alipokuwa rais wa Zanzibar alikuwa mbabe kweli ndipo jamaa wakampa hilo jina yaani KOMANDOO , kati ya kipindi ambacho upinzani ulikuwa na shida au mateso basi siyo sasa hivi bali ilikuwa kipindi cha Salmin Amour visiwani aliwaweka ndani wapinzani akina Seif na Juma Duni kwa kipindi cha miezi mitatu.

Kumbuka kuwa Juma Duni ni mtoto wa dada ake na Salmin Amour a.k.a komandoo basi mama yake na Duni (dada ake na Komandoo) akaenda kumuomba na kumlilia amtoe huyo mjomba wake unajua alijibuje mjomba mtu(komandoo) ? Alimuambia dada ake kuwa usilie muache ashike adabu yeye siyo NYANYA KUWA ATAOZA AKIWA NDANI TENGA "

Jamaa alivimbiwa madaraka alikuwa na dharau kweli kuna kipindi aliwahi kusema hataki ushauri maana hamna cha "BABU WA TAIFA WALA BABA WA TAIFA" hapo alikuwa anamdhiaki Nyerere wakati bado yupo hai. Mkapa sasa ndo alikuwa akimdharau zaidi bila kutambua kuwa kuna king makers DODOMA.

Alipotaka kugombea awamu ya tatu kwa kubadili katiba kilichomkuta pale Dom baada ya wajumbe kumtoa BWM nje hakika ugonjwa wake wa macho yalianzia pale mengine tuyaache . Amshukuru JK though pamoja na fitina kwake via kundi lao la golden boys a.k.a boyz 2 men BADO ALIJITOLEA KUMGHARIMIA MATIBABU KULE OPIUM WAR.

Note that viongozi wa Zenji upangwa Dom , kule Pemba walikuwa na majimbo mengi ila baada ya kuona challenges nyingi kwenye baraza la wawakilishi dah ccm wakayapunguza kuuawa nguvu ya CUF pemba watu walipiga kelele lakn wapi LIFE GOES ON.
Ahsante kwa ufafanuzi muhenga.
 
Hii theory haina ukweli. Kubadilisha mic inawezekana but aliyeongea kabla ya hiyo mic au walioongea wakitumia hiyo mic wote walikufa?hiyo mic ya kwanza yenye sumu iliwekwa saa ngap? Huwezi muua rais wa nchi nyingne akiwa nchi nyingne kwa sumu.mgogoro wake ni mkubwa sana kidiplomasia.mkubwa sana ambao hakuna nchi pumbavu inaweza fanya hivyo.maana post mortem ingeonesha tu ameuawa kwa kuvuta hewa yenye sumu. Na tanzania hawajawah kuna na uhasama na mu7 wa kufikia kutaka kumuua.hata siku moja. Na kagame na mu7 hawana uadui huo ni marafik mpaka leo. Hizi theories muwe mnatulia kwanza


kwa kumbukumbu zangu,yalikuwa ni maonesho ya saba saba mnamo mwaka 2001 ambapo Rais Kabila alialikwa na museveni PLUS viongozi wengine. kama unakumbuka, mwaka huo ndo kipindi majeshi ya Uganda na Rwanda walikuwa vitani nchini DRC. Kuna issues nyingi za kidiplomasia zilikuwa haziendi vizuri ingawa zilikuwa hazitangazwi na Raia wa kawaida walikuwa hawawezi kujua. ili Congo iweze kuwa na Amani, Museveni hakutakiwa kuwepo kwani ndo alikuwa threat. hata hivyo, mwaka 2000 majeshi ya uganda na rwanda walishazipiga wakiwa kwenye ardhi ya DRC...na PK alinukuliwa akisema..."kwamba M7 anamdharau, then atamuonyesha kuwa siyo tena bwana mdogo". ndo mpango ulipofanyika wa kumuua M7...na wakatega sumu kwenye Mic! simkumbuki mzungumzaji aliyetangulia...but ilikuwa ni zamu ya Museveni. wakati M7 anajiandaa kutoa speech, bodyguard wake aliitoa ile mic kwa speed ya RADI na kuchomeka mic nyingine aliyokuwa nayo mfukoni. after speech, akarudishia ile ya awali. aliyefuata kutoa speech akawa DR. Omary ALLI JUMA...picha likaishia hivyo. Ila intelligencia ya tz ni ya kiboya haswa.
 
Kwenye mauaji ya kimbari ,mwanzo wake ni Marais wa nchi mbili kufariki kwa pamoja?na hakujatokea uhasama baina ya nchi kwa nchi@gudume.
 
Yale mauaji yanafahamika ni nani alisababisha na yalikuwa kwa nia gani. Wale marais walishauriwa wasipande ndege moja na usalama wa hapa tz wakagoma. Usa wanaweza kuwa hawapendan kabisa na rais wa korea lakini hawawez muua akiwa usa hata siku moja.

Kuna vitu ambavyo nchi kama nchi huusika navyo kunapokuwa na ugeni mkubwa.na mojawapo ni security.huwez muua rais wa nchi jiran kwa sumu kirahisi hivyo...jamii ya kimataifa haitawaelewa pia na hata mtajiweka kwenye hard time

Kwenye mauaji ya kimbari ,mwanzo wake ni Marais wa nchi mbili kufariki kwa pamoja?na hakujatokea uhasama baina ya nchi kwa nchi@gudume.
 
016.JPG
 
sorry mkuu kwa kukatisha uhondo! kuna project naiandaa ikimuhusu foreman wa Barabara na skandali za Murungula before and after. nimeshafikia 90%...CNN wameshakubali kuirusha. stay tuned bro
Fake news media, CNN, (Trump, 2017) aina impact .ukweli na uhakika ,TBC, ndiyo habari ya mjini.watafute hao ...!
 
Back
Top Bottom