Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

Inanikumbusha habari ya Ahmed chalabi leo nilikuwa nacheck documentary aljazeera,
alikuwa mpinzani wa saddamu huseini,
sasa kumbe pia ni jasusi wa iran,
wairan wamesuka ushahidi fake kuwa saddamu ana silaha za maangamizi,sijui kanunua uranium toka Niger na ana mobile labaratory za kutengeza chemical weapons,
kawafuata wamarekani na kuwaonyesha ushahidi,
mmarekani kaingia mkenge akamvamia saddamu na kumtoa madarakani na kumsimika Ahmed chalabi kuwa prime minister,
chalabi akafungulia wairan iraq ambao tena wakaanza kuwaua wamarekani remember moqtada al sadr,
marekani kuja kushituka tayari iraq imekuwa under iran influence mpaka kesho.

Wamerekani waliudhika sana walipogundua kumbe chalabi ni agent wa iran,yaani iran wamewatumia wamarekani kumtoa na hatimae kumuua saddamu ambae alikuwa adui yao mkubwa,
kikatumwa kikosi kazi cha marekani CIA kinaitwa SAD-special Activities Deparment kummaliza chalabi.
Basi siku moja chalabi yuko aljazeera anahojiwa jinsi ushahidi wa kumtoa saddamu ulivyokua fake,chalabi akaruka kimanga kuwa haiwezekani taifa kubwa super power kama marekani litegemee ushahidi wao akina chalabi kuanzisha vita wakati wao wana asset za kutosha kupata information zote na kuact accodingly.
Masaa kumi baada ya mahojiano hayo Ahmed chalab akapatikana kafa chumbani kwake,kumpima wanakuta ni heart attack.

Sasa sijui walimpaka vx bila yeye kujua ama walimpulizia hewa chumbani akiwa kalala,
hizi sumu za kafie mbele ni noma
Hii hataree[emoji134]
 
Hakuwa Museveni, ilikuwa Joseph Kabila ilikuwa kwny Maonesho ya Sabasaba I it was 2001
Alifariki saa 6 usiku Nyumbani kwake Ostybay baada ya kutoka kwny Maonesho ya Sabasaba !

Hii Nchi ni kisiwa cha Amani
1) 1972 tulipoteza Rais Kwa Risasi
2) 1984 tukapoteza Waziri Mkuu kwa ajali
3)1996 Tukapoteza Mkuu wa Usalama wa Taifa kwa Risasi
4) 2001 tukapoteza Makamu wa Rais kwa sababu isiyojulikana
2017 nusu tupoteze mbunge kwa risasi
usisahau wanaotekwa na kupotea jumla kama saa nane na yule mwandishi n.k
 
Hii ishu ya Dr Ally Juma tetesi ni kwamba huyu mzee aliruhusu kupta silaha haramu wakat huo Ben akiwa nje ya nchi vijana wa ikulu wakamtobozea mzee akiwa nje na kumwamuru akute barua ya kujiuzuru nfs yke ya VP ndopo akapta depression na kurudisha kadi kwa Mungu
Hii naweza kuamini kuliko hyo ya kwamba kala sumu ya mtu mwingine,ni uongo kwamba mtu anaweza kuplan kumuua rais wa nchi nyingine hapa Tanzania tena kwa sumu na huku akijua maswali yote yataelekezwa kwake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanasahau tu ila Museveni ni mtu mbaya sana!

Inadaiwa kuwa sumu iliyopaswa imuue moja kwa moja baada ya kutoka kwenye ziara pale Kilwa Road kwenye sabasaba, hatimaye ikammaliza daktari wa mifugo kutoka huko Pemba.

Ni nani aliediverge hii issue na hatimae kuondoka na Dkt Omary deceased?

Tanzania kuna mengi ila it is claimed that Museveni was planted to rest in hell before things change during that time 13:00, 4/7/2001.

Ngoja nimalizie kunywa spirit iniondolee baridi maana nashindwa kuandika.
Sio vema kuandika kila kitu na hawa jamaa wanavyokomaa, utaishia kuvaa pingu au kupotezwa kwa style isiyojulikana. Bora ukimbize ubawa kama kunguru mwoga
 
Back
Top Bottom