Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
huyo baba wa kufikia na yeye akamatwe akibinywa pumbu ataeleza vizuri, alichoandika kwenye ukurasa wake na video aliyojichukua inaonesha kabisa kuna kitu kimejificha nyuma ya pazia,
Serikali yetu tukufu chini ya mama yetu mlezi, mama shupavu na mpambanaji, mama Samia tunaomba mtoto apate haki yake, damu yake isipotee bure, washukiwa wote wakamatwe wahojiwe, hasa huyo anayejiita Chief Godlove,
Natanguliza shukrani
Serikali yetu tukufu chini ya mama yetu mlezi, mama shupavu na mpambanaji, mama Samia tunaomba mtoto apate haki yake, damu yake isipotee bure, washukiwa wote wakamatwe wahojiwe, hasa huyo anayejiita Chief Godlove,
Natanguliza shukrani