Kamando Junior
Member
- Jul 17, 2013
- 5
- 0
Utata wa kisarufi ni kitu cha kawaida sana katika lugha zote duniani.. Utata huo waweza tokea kwa sababu mbalimbali.
Lakin kwa lugha yetu ya kiswahili utata huo wa kisarufi umezidia mipaka kiasi cha kukanganya fikra na mitazamo lukuki kwa wanahisimu na watumiaji wa lugha hii.
¡)Aina za maneno~ wengine wanasema kuna aina 7, 8, na wengine 9
¡¡)Uhesabuji wa silabi hasa ktk maneno kama mbwa, nje, nge n.k
¡¡¡)Uchanganuz wa sentensi
Hiyo ni baadhi tu ya mifano inayodhihirisha utata huo wa kisarufi.
SABABU HASA NI NINI?, NA NINI KIFANYIKE ILI WALAU KUPUNGUZA TATIZO HILO
Lakin kwa lugha yetu ya kiswahili utata huo wa kisarufi umezidia mipaka kiasi cha kukanganya fikra na mitazamo lukuki kwa wanahisimu na watumiaji wa lugha hii.
¡)Aina za maneno~ wengine wanasema kuna aina 7, 8, na wengine 9
¡¡)Uhesabuji wa silabi hasa ktk maneno kama mbwa, nje, nge n.k
¡¡¡)Uchanganuz wa sentensi
Hiyo ni baadhi tu ya mifano inayodhihirisha utata huo wa kisarufi.
SABABU HASA NI NINI?, NA NINI KIFANYIKE ILI WALAU KUPUNGUZA TATIZO HILO