kaka-blaza
Member
- Nov 7, 2019
- 96
- 141
Kwanza kabisa napenda kusema kuwa sina taaluma yoyote ya Uamuzi(referee) katika soka, bali mimi ni mfuatiliaji wa soka...
napenda wataamu mnisaidie hapa
1: goli walilofungwa Simba, kwa mtazamo wangu niliona kama ni offside, kwani sio tu kwamba yule mfungaji wa Orando alizidi mkono tu, bali hata kichwa kilikuwa offside.
2: kipindi cha kwanza kuna mchezaji wa Orando alisukumwa kwa Nyuma ndani ya boksi la 18 ya Simba, lakini mwamuzi hakutaka kujiridhisha kwenye VAR, badala yake akaamuru adhabu iende kwa Orando .
3: kuna mchezaji mmoja wa Simba(jina limenitoka kidogo) alipigwa kiwiko cha makusudi kipindi cha pili mwishoni, wakati ambao Simba ameshafungwa na goli tayari. ajabu mwamuzi akatoa kadi ya njano pasipo kwenda kuangalia kwenye VAR, pengine ingekuwa ni Red Card.
4: Shomari Kapombe alionekana kuunawa mpira ambao ulipigwa kwa kichwa katika dakika ya mwisho ya mchezo , ikiwa ni shambulizi la kushtukiza na la mwisho kwa Orando . lakini mwamuzi hakutaka kwenda kujiridhisha kwenye VAR, . ambapo pengine ilistahili kuwa penati.
5: Joash Onyango alionekana kuunawa mpira ndani ya 18 . lakini mwamuzi akawasiliana a watu wa VAR na kuamua kuwa haikuwa penati,. hapo nikajiuliza au labda mkono unaanzia wapi katika soka. . maana ile haikuwa kwamba sijui mpira umefuata mkono, bali mkono ndio ulifuata mpira.
6: tukio la kwanza la Chris Mugalu alilopewa kadi ya njano, ukiangalia kwa makini, Mugalu alipiga mchezaji wa Orando kwa kiwiko, tena kwa kukusudia ,. ila akapewa njano . japo mbeleni alikuja kupewa red card ambayo ilikuwa halali pia.
7: Mohammed Hussein kupewa kadi ya njano alipokuwa anamuambia mwamuzi kwenda kujiridhisha kwenye VAR, ile hali yeye ni nahodha wa timu,. nadhani haikuwa uungwana
Mwisho... Weka akili za ushabiki pembeni, changia ki uanamichezo.
[emoji120][emoji120][emoji1241][emoji120][emoji120]
View attachment 2199835
napenda wataamu mnisaidie hapa
1: goli walilofungwa Simba, kwa mtazamo wangu niliona kama ni offside, kwani sio tu kwamba yule mfungaji wa Orando alizidi mkono tu, bali hata kichwa kilikuwa offside.
2: kipindi cha kwanza kuna mchezaji wa Orando alisukumwa kwa Nyuma ndani ya boksi la 18 ya Simba, lakini mwamuzi hakutaka kujiridhisha kwenye VAR, badala yake akaamuru adhabu iende kwa Orando .
3: kuna mchezaji mmoja wa Simba(jina limenitoka kidogo) alipigwa kiwiko cha makusudi kipindi cha pili mwishoni, wakati ambao Simba ameshafungwa na goli tayari. ajabu mwamuzi akatoa kadi ya njano pasipo kwenda kuangalia kwenye VAR, pengine ingekuwa ni Red Card.
4: Shomari Kapombe alionekana kuunawa mpira ambao ulipigwa kwa kichwa katika dakika ya mwisho ya mchezo , ikiwa ni shambulizi la kushtukiza na la mwisho kwa Orando . lakini mwamuzi hakutaka kwenda kujiridhisha kwenye VAR, . ambapo pengine ilistahili kuwa penati.
5: Joash Onyango alionekana kuunawa mpira ndani ya 18 . lakini mwamuzi akawasiliana a watu wa VAR na kuamua kuwa haikuwa penati,. hapo nikajiuliza au labda mkono unaanzia wapi katika soka. . maana ile haikuwa kwamba sijui mpira umefuata mkono, bali mkono ndio ulifuata mpira.
6: tukio la kwanza la Chris Mugalu alilopewa kadi ya njano, ukiangalia kwa makini, Mugalu alipiga mchezaji wa Orando kwa kiwiko, tena kwa kukusudia ,. ila akapewa njano . japo mbeleni alikuja kupewa red card ambayo ilikuwa halali pia.
7: Mohammed Hussein kupewa kadi ya njano alipokuwa anamuambia mwamuzi kwenda kujiridhisha kwenye VAR, ile hali yeye ni nahodha wa timu,. nadhani haikuwa uungwana
Mwisho... Weka akili za ushabiki pembeni, changia ki uanamichezo.
[emoji120][emoji120][emoji1241][emoji120][emoji120]
View attachment 2199835