Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Kuna wanyasa Malawi na kuna wanyasa Tanzania (wanaongea lugha moja) na asili ya hawa watu sio Bantu ni Żulu (wahamiaji).
Sasa utagawa vipi ziwa bila ya kugawa watu. Si baadae watasema Ruvuma pia ni yao.
Hata Masai ni Nilo-Hamites, sio mbantu, Masai asili yake ni South Sudan; Tanzania ni muhamiaji tu.
Tuheshimu mipaka ya nchi iliyopo.
Sasa utagawa vipi ziwa bila ya kugawa watu. Si baadae watasema Ruvuma pia ni yao.
Hata Masai ni Nilo-Hamites, sio mbantu, Masai asili yake ni South Sudan; Tanzania ni muhamiaji tu.
Tuheshimu mipaka ya nchi iliyopo.