Sasa nywele za mtoto mchanga unataka ziwe ngumu, ni nywele au steel wool
Hadi tiffa akue mtakua mshapandwa presha na huyo Dinazarde wako mfyuuuuuBabu wee tupishege uko mxiwwww....mwenye mtoto ivan katulia zake ...mic you sanaaa binamu
Hadi tiffa akue mtakua mshapandwa presha na huyo Dinazarde wako mfyuuuuu
leo umebadili sio katunzi tena make ulikomaa ha ha ha
binamu miss u sana umejichimbia sio jf sio insta iliekupa kazi namchukia make katukosesha umbea kabisa
Kuna watu wana mihemuko humu jamani! Inahuuu??? Wengine kichwani kipili pili, chini wana nywezle za kizungu mnaacha kujichunguza mnamchunguza mtoto wa daimond, aibu zenu wabongo!
Hadi tiffa akue mtakua mshapandwa presha na huyo Dinazarde wako mfyuuuuu
leo umebadili sio katunzi tena make ulikomaa ha ha ha
binamu miss u sana umejichimbia sio jf sio insta iliekupa kazi namchukia make katukosesha umbea kabisa
Ha ha ha huyu mwenye kipilipili juu na za kizungu chini ni shombe au ye aitwaje lolKuna watu wana mihemuko humu jamani! Inahuuu??? Wengine kichwani kipili pili, chini wana nywezle za kizungu mnaacha kujichunguza mnamchunguza mtoto wa daimond, aibu zenu wabongo!
Hata akiwa ni wa le mutuz haituhusu.
Ahahha mwenzangu nimerudi rasmi
..kazi si imenishinda? Nilizid umbea akiii watu 6 walifukuzwa kaz kwa ajil ya umbea wangu naona na mimi arobain yangu imefika ahahah ....sasa hiv humu ni full umbea nimerud ebu nisaidie ku tag na wengine huko
Alisemaga kapata kazi, ila ndi kishatimuliwa ha ha ha kisa umbeaKatunzi kaanza lini 'kufanya kazi'
aiseeeeee.....
Cyber Crime imenifika hapa.
Ni nani huyo kafiwa?Best naanzaje kupitwa sasa na msiba?? Mwenzangu yamemkuta...pole yake..hiv umesikia umbea wolper yule aliyemvalisha pete kumbe ni mume wa mtu?? Yan yamemshukaje bibi yule?? Maana juz alivyokuwa anajishaua na hyo pete akii mmh naona yamemkuta
Sijawahi kutukana na wala sivikilii kutukana hapo MALA....nilimaanisha( MALAIKA) na VISI........nilimaanisha ( visikio) warumi kuwa makini
Ahahha mwenzangu nimerudi rasmi
..kazi si imenishinda? Nilizid umbea akiii watu 6 walifukuzwa kaz kwa ajil ya umbea wangu naona na mimi arobain yangu imefika ahahah ....sasa hiv humu ni full umbea nimerud ebu nisaidie ku tag na wengine huko