Utata wa mtoto wa Diamond, Mama Zari amaliza ubishi..

Utata wa mtoto wa Diamond, Mama Zari amaliza ubishi..

Dinazarde,Warumi,Madame B niliwamisoooo mpaka sooo.niliteseka sana kukosa umbea mpaka hivi leo ndo nimepoa kuona mpo hai na bado mnalisongesha humu JF.I laaaaap you wanadamu kinomanoma

Makamanda tumerudi hapa ni fulll udakuuuu....nataka nione hyo cyber crimu sijui lotion , maana umbea kwangu kuacha ni mwiko
 
Babuu wee watupishe mimi nilijua FBI ? Hao tcra ndo wadudu gan? Ebu wapite kule mxiewwww...mic you cuzooo

Ndo kuna mmoja nimekutana nae hukooo majukwaa mengine...eti anaenda kusema TCRA ili JLW lifungwe....weeee, huyu sasa anatafuta mchuma janga.

Afu unajua watu hawajasoma vizuri makosa ili TCRA isikubebe....wanajua kila kosa basi unaenda segadance.

Na mwaka huu binamu....Segerea hapatoshi, labda wafunge maturubai ya chuma uwanja wa taifa maana sjui uraiani kama ataachwa mtu.
 
Binamu utaenda kwenye arobain ya tiffah?? Mwenzangu cha umbea mm nitakuwepo akii, waambie akina Dinazarde na Madame B wasipitwe kuangalia udaku wa tiff...maana wengine tuna dna ya macho

Mie nikienda nitakosa ya mtaani....nataka nisikie ya uswazi maana nasikia dada Mond anapeleka kigoma cha Uruguay.

Halafu una habari kuwa tangu iingie tar.1 yule mbea no. 1 Insta amefuta post zake zote?
mpaka leo hakuna kitu wakati alisema mie siiogopi TCRA wala TID.....heeeee ugali mtamu kumbe
 
Last edited by a moderator:
Ndo kuna mmoja nimekutana nae hukooo majukwaa mengine...eti anaenda kusema TCRA ili JLW lifungwe....weeee, huyu sasa anatafuta mchuma janga.

Afu unajua watu hawajasoma vizuri makosa ili TCRA isikubebe....wanajua kila kosa basi unaenda segadance.

Na mwaka huu binamu....Segerea hapatoshi, labda wafunge maturubai ya chuma uwanja wa taifa maana sjui uraiani kama ataachwa mtu.

Ahahah mi najua kabisa kuna nafas yangu segerea...mi najal bas?? Tutapiga umbea uko huko mwenzangu na manyapara hahahah
 
Mie nikienda nitakosa ya mtaani....nataka nisikie ya uswazi maana nasikia dada Mond anapeleka kigoma cha Uruguay.

Halafu una habari kuwa tangu iingie tar.1 yule mbea no. 1 Insta amefuta post zake zote?
mpaka leo hakuna kitu wakati alisema mie siiogopi TCRA wala TID.....heeeee ugali mtamu kumbe

Ahahah mbea yupi huyo binamu?? Mmh umesikia udaku wa diamond?? Nasikia ukoo mzima umeamia tegeta kwa diamond..mmmh mwenzangu zari ana kazi akii na ule uzungu atawez kwel kuish na ndugu?? Mmh
 
Binamu utaenda kwenye arobain ya tiffah?? Mwenzangu cha umbea mm nitakuwepo akii, waambie akina Dinazarde na Madame B wasipitwe kuangalia udaku wa tiff...maana wengine tuna dna ya macho
Hivi arobain hufanywa na na waislamu tu au nini maana yake nifah hebu njoo nijuze
 
Last edited by a moderator:
Ahahah mbea yupi huyo binamu?? Mmh umesikia udaku wa diamond?? Nasikia ukoo mzima umeamia tegeta kwa diamond..mmmh mwenzangu zari ana kazi akii na ule uzungu atawez kwel kuish na ndugu?? Mmh

Hahahahha....badilika ubadilishwe bhana....page ya umbea mwenzake na usipojipanga.

Yaani sie wabongo tushakuwa samaki...kutwa tuko ndani ya swimming pool la mond...tunakunya na kukojoa humohumo.

Hivi ladynaa vepeeeeeee kwani!!!!!
Hakyamama....katiwa bila ndomu, dah Petit nyokooooooo.
Mjini sihami binamu.

Na Zarj atajuta kuolewa Bongo.
 
Hahahahha....badilika ubadilishwe bhana....page ya umbea mwenzake na usipojipanga.

Yaani sie wabongo tushakuwa samaki...kutwa tuko ndani ya swimming pool la mond...tunakunya na kukojoa humohumo.

Hivi ladynaa vepeeeeeee kwani!!!!!
Hakyamama....katiwa bila ndomu, dah Petit nyokooooooo.
Mjini sihami binamu.

Na Zarj atajuta kuolewa Bongo.

Mmh mwenzangu nilisoma ule waraka wa petii..nyie yule hamnazo eti alimfanya naa mpaka mchezo mchafu nyumban kwake mbez beach tena alimwita mwenyewe ampe dudu khaa...shikamoo petii...hyo zari hawez kukaa na waswazi akii tutaona wambea
 
Mmh binamu unapenda udaku akiii ..asubuh yote hii?? Haya ebu nipe umbea wa mama ubaya maana ninemmis hatar

Mmh mi mara ya mwisho nmemuona akinengua wenye jukwaa la CCM, usiku nikaota eti asha baraka kamsajili twangapepeta
hii ndoto ishindwe na itokomee kabisa alaaah
 
Binamu utaenda kwenye arobain ya tiffah?? Mwenzangu cha umbea mm nitakuwepo akii, waambie akina Dinazarde na Madame B wasipitwe kuangalia udaku wa tiff...maana wengine tuna dna ya macho
Na ndio mnachanga hela ya zawadi? He he he haloooooo pweza walah hasimami japo ana miguu mingi tu
 
Mmh mi mara ya mwisho nmemuona akinengua wenye jukwaa la CCM, usiku nikaota eti asha baraka kamsajili twangapepeta
hii ndoto ishindwe na itokomee kabisa alaaah

Ha ha ha
Jamani puriiiz naomba uitake twanga radhi....
 
Hahahahha....badilika ubadilishwe bhana....page ya umbea mwenzake na usipojipanga.

Yaani sie wabongo tushakuwa samaki...kutwa tuko ndani ya swimming pool la mond...tunakunya na kukojoa humohumo.

Hivi ladynaa vepeeeeeee kwani!!!!!
Hakyamama....katiwa bila ndomu, dah Petit nyokooooooo.
Mjini sihami binamu.

Na Zarj atajuta kuolewa Bongo.

Sasa kutiwa na ndomu ni kukoseshana haki za kibinamu.
Mwacheni ladynaa kazoea michezo michafu
 
Hivi arobain hufanywa na na waislamu tu au nini maana yake nifah hebu njoo nijuze
Mimi najua waislam tu wakristo sijui my dear.
Na waislam hiyo 40 ndio mama na mwana wanatoka nje sasa.
Kabla ya 40 hawatakiwi kutoka nje ya nyumba yao.
 
Last edited by a moderator:
Mimi najua waislam tu wakristo sijui my dear.
Na waislam hiyo 40 ndio mama na mwana wanatoka nje sasa.
Kabla ya 40 hawatakiwi kutoka nje ya nyumba yao.
Kumbe i was so wondaz mbona sioni wengine wakifanya.
 
Back
Top Bottom