Alisahau hiki Ni kizazi cha global vision na sio kile Cha miaka ya 70.Jiwe alihisi tangu 2018, akaanza kutunga sheria za kubana upinzani alichosahau ni kwamba Elimu bahari huwezi kujua yote,
Halafu Ni mweupe Sana kwenye reasoning Ni mzuri kwenye claiming.Tatizo unakuta draft inatungwa kwa chuki na maelekezi ya mtu mmoja ambaya hajui chochote kuhusu sheria.
Ni kama unaeleweka vile!Sisi na vyama vyote tusimfuate Msajili ambaye amepitiliza katika uoga wake wa nguvu ya CHADEMA na ACT. Jambo liko wazi. Sheria ilitungwa ili iratibu Muungano wa vyama, siyo kuzuia bali kuratibu. Muungano ni kitu kikubwa kwa sababu ama uhai wote au sehemu ya uhai wa mwanzo wa vyama vinavyoungana huondolewa, na uhai mpya hutengenezwa. Huo unahitaji kuelezewa haki na wajibu wake. Ndiyo sababu unahitaji sheria (regulation). Ushirikiano ni jambo tofauti, rahisi na la kila siku.
Halitengenezi uhai mpya au kuondoa wa zamani kwa namna yoyote. Hufanyika muda wote kwa hiari na namna mbalimbali. Hauhitaji makubaliano ya kimaandishi. Hauzuiliki wala kushitakika. Kuutungia sheria ni kichekesho. Wote tumekuwa tukijua kuwa, kwa vile vyama HAVIKUUNGANA katika muda wa kisheria, VITASHIRIKIANA tu vikipenda.
Ndivyo wanavyofanya. TLP na CCM walikuwa sahihi na Msajili alijua hivyo, ndiyo sababu alinyamaza. Ni ushabiki na uoga wake tu ndio uliomfanya kujaribu kukataza jambo hili - pale vyama asivyovitaka navyo vilipoonyesha ushirikiano. Tuendelee. Ushirikiano hoyee!
Imekula kwao kizazi cha sasa sio kile Cha miaka ya sabini
Ni kama unaeleweka vile!
Jana nilimsikia mgombea ubunge wa CCM Mafinga akisema; "Nawaomba CHADEMA muiunge mkono CCM kwenye uchaguzi huu ili tumalizie kazi tuliyoianza 2015". Kumbe kuungana mkono siyo kosa?
Pamoja na yote hayo wananchi wanataka kufaidika na nchi yao na siyo propaganda.
Nani analeta propaganda?Pamoja na yote hayo wananchi wanataka kufaidika na nchi yao na siyo propaganda.
Kuungana mkono sio kosa hata kidogo.
Kwahiyo Muungano wa CCM na TLP, ama Mrema kumuunga mkono Magufuli ni sahihi?
Hizi ni sheria kandamizi za awamu ya tano. Kama sheria ya Takwimu. Sheria ya habari nk.
Jiwe out.
Siyo sahihi na kisheria hakuna muungano (coalition) hapo...
Vivyo hivyo wa CHADEMA na ACT WAZALENDO, kisheria siyo sahihi na kiukweli ni kama hau - exist kisheria...
Kwa mujibu wa maelezo ya ndugu yetu hapa (mleta) ni kuwa, ili muungano ukubalike kisheria, ni lazima ufuate utaratibu za kisheria kuanzishwa kwake na kisha usajiliwe na mamlaka inayohusika kisheria...
Cha kushangaza ni hawa NEC na Ragistrar of Political Parties kuanza kushughulikia kitu ambacho hakipo kisheria....!
msajili asilete za kuleta hapa... wakati Magufuli anamteua Mgwira kuwa RC (cheo cha kisiasa) wa Kilimanjaro alikuwa hajui kuwa huyu mama ni mwenyekiti wa ACT?
Bila kusajiri Coalition Agreement kwa Msajili wa Vyama vya Siasa hakuna Muungano halali kisheria.
..Msajili na NEC wanapaswa kukaa kimya na kuwapuuza CDM na ACT mpaka pale watakapotaka kuhalalisha jambo lao kisheria.
Halafu Ni mweupe Sana kwenye reasoning Ni mzuri kwenye claiming.
Haujajibu swali langu.Tumchague mtanzania mwenzetu Safari hii ambae Ni msomi mwenye vision civilized educated
Halafu Ni mweupe Sana kwenye reasoning Ni mzuri kwenye claiming.
Duh! Watu mnashusha nondo hadi raha! Safi sana.Hiyo kauli ya Zitto ambayo iko kwenye alama za kufunga na kufungua semi ni kauli ya falsafa ya sheria (jurisprudensia).
Asante sana kiongozi.Duh! Watu mnashusha nondo hadi raha! Safi sana.