thesym
JF-Expert Member
- Aug 15, 2012
- 3,843
- 4,796
Kuna kitu kinaitwa exposure, nyota zinaoenekana sana kwenye space ila camera inapopiga kitu chenye ku-reflect mwanga inafanya exposure area kuwa ndogo na ule unaoreflect unafanya mwanga wa nyota kuwa dim, kwa mfano chukulia unaangalia mwezi ukiwa mkubwa na unatoa mwanga mwingi utagundua nyota chache zonazoonekana.