Utatu wa Dkt. Magufuli, Eng. Kijazi na Eng. Mfugale katika ujenzi wa barabara nchi nzima tutaukumbuka milele

Utatu wa Dkt. Magufuli, Eng. Kijazi na Eng. Mfugale katika ujenzi wa barabara nchi nzima tutaukumbuka milele

Wewe hautakufa, umebarikiwa meku!
Nife nikiwa nimewatendea mazuri watu hilo ndo jambo jema. Sasa jpm kila kona ya nchi ilikuwa vilio. Mazao aliua karibu yote mbaazi, korosho, tumbaku nk kisa ubabe wake. Biashara aliua kabisa na akabaki anatwambia matakwimu ya uongo eti uchumi unakua, utakuaje kiala kila kinakifu!!

Ndo mana siku ya kifo chake watu walichinja mbuzi nk. Vikana ndo usiseme ajira zote zimepigwa pini sasa hivi samia ndo anajaribu kifufua
 
Hii chemistry ya Jpm, Kijazi na Mfugale naweza kuifananisha na ile ya Messi, Xavi na Iniesta

Ama kwa hakika kama Taifa tumepoteza wachapakazi waliojitoa kwelikweli ktk kuijenga Nchi

Tutawakumbuka daima asilani

Mwenyezi Mungu awalaze mahali pema peponi
Hakika walikuwa wezi sana, ushajiuliza ile 1.5tr iko wapi
 
Kweli kabisa, hizo barabara zilijengwa na Kikwete. Mzee Kikwete watu wamemu-underate sana. Kafanya mambo makubwa sana yule mzee nadhani ndio kiongozi bora kiutawala baada ya Mwalimu

Tuangalie sekta moja ya afya ambapo Muhimbili ilijengwa na mkoloni almost 50% ya majengo yaliyopo pale. Alikuja Mwalimu akaongeza baadhi machache, Ruksa hakufanya chochote, Mkapa alikarabati miundombinu iliyopo ila akuongeza.

JK alijenga JKCI, New OPD, MOI na Mloganzila
Kwenye barabara za mikoa JK ndiye aliyeunganisha nchi yote kwa barabara. Amejenga airport mpya, mradi wa mwendokasi, mradi wa ubungo flyover (alianza yeye) na mingine mipya. Through JK nchi iliingia uchumi wa kati wa chini
Nitamkumbuka na kumuenzi daima JK na katika utawala wake ndipo hata maeneo mengi ya jiji yaliendelea baada ya watu kuwa njema kiuchumi kama Madale, Malamba Mawili, Goba, Bunju, Kigamboni, Mabwepande, Kongowe ya Dar, Chamanzi n.k
Umesema ukweli mkuu
 
Timu gaidi yanatumia hiyo miradi huku yakitukana
 
Nimepita kwa daladala kutoka Temeke - Lumo jet - Kinyerezi hadi Mbezi mwisho stendi ya mkoa lami tupu sijagusa vumbi.

Nikatoka Mbezi mwisho hadi Bunju kupitia Madale ni full mkeka no vumbi.

Kwa hakika Magufuli - Kijazi - Mfugale tutawakumbuka daima.

Raha ya milele uwape ee Bwana, Wastarehe kwa amani, amen!
Hivi sasa kinaendelea nini baada ya kuondolewa hawa watu?
 
Nimepita kwa daladala kutoka Temeke - Lumo jet - Kinyerezi hadi Mbezi mwisho stendi ya mkoa lami tupu sijagusa vumbi.

Nikatoka Mbezi mwisho hadi Bunju kupitia Madale ni full mkeka no vumbi.

Kwa hakika Magufuli - Kijazi - Mfugale tutawakumbuka daima.

Raha ya milele uwape ee Bwana, Wastarehe kwa amani, amen!
Hizo barabara zimejengwa kwa tozo tunayotoa kwenye manunuzi ya perroli na dizeli. Tozo hiyo inakusanywa na Tanzania Road Fund na TANROADS wanajenga barabara.

Pengine sifa ziende kwa Benjamin William Mkapa aliyebuni na kuunda hivyo vyombo viwili.
 
Nchi haijengwi kwa barabara tu ingawa mnampa na sifa za viongozi waliopita kabla yake. Msijishau. Awamu imepita hata mfanyeje haiwezi kujirudia tena kamwe.
 
Nimepita kwa daladala kutoka Temeke - Lumo jet - Kinyerezi hadi Mbezi mwisho stendi ya mkoa lami tupu sijagusa vumbi.

Nikatoka Mbezi mwisho hadi Bunju kupitia Madale ni full mkeka no vumbi.

Kwa hakika Magufuli - Kijazi - Mfugale tutawakumbuka daima.

Raha ya milele uwape ee Bwana, Wastarehe kwa amani, amen!
Hizo ndizo roho chafu, utatu wa roho za vyura kwa muhibu wa Ufunuo 13. Zitokazo kwa shetani.
 
Nchi haijengwi kwa barabara tu ingawa mnampa na sifa za viongozi waliopita kabla yake. Msijishau. Awamu imepita hata mfanyeje haiwezi kujirudia tena kamwe.
Wauwaji wamebaki yatima. Kika siku wanajipa moyo kwa maneno matupu.
 
Kweli kabisa, hizo barabara zilijengwa na Kikwete. Mzee Kikwete watu wamemu-underate sana. Kafanya mambo makubwa sana yule mzee nadhani ndio kiongozi bora kiutawala baada ya Mwalimu

Tuangalie sekta moja ya afya ambapo Muhimbili ilijengwa na mkoloni almost 50% ya majengo yaliyopo pale. Alikuja Mwalimu akaongeza baadhi machache, Ruksa hakufanya chochote, Mkapa alikarabati miundombinu iliyopo ila akuongeza.

JK alijenga JKCI, New OPD, MOI na Mloganzila
Kwenye barabara za mikoa JK ndiye aliyeunganisha nchi yote kwa barabara. Amejenga airport mpya, mradi wa mwendokasi, mradi wa ubungo flyover (alianza yeye) na mingine mipya. Through JK nchi iliingia uchumi wa kati wa chini
Nitamkumbuka na kumuenzi daima JK na katika utawala wake ndipo hata maeneo mengi ya jiji yaliendelea baada ya watu kuwa njema kiuchumi kama Madale, Malamba Mawili, Goba, Bunju, Kigamboni, Mabwepande, Kongowe ya Dar, Chamanzi n.k
Nimegundua kuna watu wana chuki binafsi tu, wengine hawana kumbukumbu na wengine walikuwa bado akili zao hazijatengemaa lakini ni wabishi na wanajifanya wanajua kila kitu.
 
Hii chemistry ya Jpm, Kijazi na Mfugale naweza kuifananisha na ile ya Messi, Xavi na Iniesta

Ama kwa hakika kama Taifa tumepoteza wachapakazi waliojitoa kwelikweli ktk kuijenga Nchi

Tutawakumbuka daima asilani

Mwenyezi Mungu awalaze mahali pema peponi
Hapana Ni Messi, Ronaldinho na Etoo.
.
 
Back
Top Bottom