Utatu wa Dkt. Magufuli, Eng. Kijazi na Eng. Mfugale katika ujenzi wa barabara nchi nzima tutaukumbuka milele

Wewe hautakufa, umebarikiwa meku!
Nife nikiwa nimewatendea mazuri watu hilo ndo jambo jema. Sasa jpm kila kona ya nchi ilikuwa vilio. Mazao aliua karibu yote mbaazi, korosho, tumbaku nk kisa ubabe wake. Biashara aliua kabisa na akabaki anatwambia matakwimu ya uongo eti uchumi unakua, utakuaje kiala kila kinakifu!!

Ndo mana siku ya kifo chake watu walichinja mbuzi nk. Vikana ndo usiseme ajira zote zimepigwa pini sasa hivi samia ndo anajaribu kifufua
 
Hakika walikuwa wezi sana, ushajiuliza ile 1.5tr iko wapi
 
Umesema ukweli mkuu
 
Timu gaidi yanatumia hiyo miradi huku yakitukana
 
Hivi sasa kinaendelea nini baada ya kuondolewa hawa watu?
 
Hizo barabara zimejengwa kwa tozo tunayotoa kwenye manunuzi ya perroli na dizeli. Tozo hiyo inakusanywa na Tanzania Road Fund na TANROADS wanajenga barabara.

Pengine sifa ziende kwa Benjamin William Mkapa aliyebuni na kuunda hivyo vyombo viwili.
 
Nchi haijengwi kwa barabara tu ingawa mnampa na sifa za viongozi waliopita kabla yake. Msijishau. Awamu imepita hata mfanyeje haiwezi kujirudia tena kamwe.
 
Hizo ndizo roho chafu, utatu wa roho za vyura kwa muhibu wa Ufunuo 13. Zitokazo kwa shetani.
 
Nchi haijengwi kwa barabara tu ingawa mnampa na sifa za viongozi waliopita kabla yake. Msijishau. Awamu imepita hata mfanyeje haiwezi kujirudia tena kamwe.
Wauwaji wamebaki yatima. Kika siku wanajipa moyo kwa maneno matupu.
 
Nimegundua kuna watu wana chuki binafsi tu, wengine hawana kumbukumbu na wengine walikuwa bado akili zao hazijatengemaa lakini ni wabishi na wanajifanya wanajua kila kitu.
 
Hapana Ni Messi, Ronaldinho na Etoo.
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…