Utatu wa G Records: Kazi za Roy Bukuku, G2 na KGT katika studio ya G Records

Bizzman_ ametoroshwa nae alikua producer soundcraftars.......
Bizzman nasikia alikuwa mkali wa kuarrrange strings alikuwa naitwa studio hata na akina majani kutupia strings kwenye mangoma.
Nimemkumbuka pia producer complex RIP na ngoma za AY za mwanzo kama raha tu na changa la macho.
 
Bizzman nasikia alikuwa mkali wa kuarrrange strings alikuwa naitwa studio hata na akina majani kutupia strings kwenye mangoma.
Nimemkumbuka pia producer complex RIP na ngoma za AY za mwanzo kama raha tu na changa la macho.
Siku zinaenda aiseee....
 
Siku zinaenda aiseee....
Sana mkuu. Hivi Snalee yukl wapi. Hivi ile ngoma ya Snalee na Blu aliitengeneza Roy? Lile chupa la Adam Juma niliona ni level za mbele maana watu wote snalee na blu
 
LGT huyu hapa, msikilize. Jamaa anavyoongea na kujibu maswali tu inaonyesha yupo smart and well composed
 
Sana mkuu. Hivi Snalee yukl wapi. Hivi ile ngoma ya Snalee na Blu aliitengeneza Roy? Lile chupa la Adam Juma niliona ni level za mbele maana watu wote snalee na blu
Dah hii ngoma ilikua balaa
 
Afu KGT beat zake nyingi zilikuwa zinafanana alikua anajisample mwenyewe
 


ICE CREAM--NOORAH

You're the kid that came to rap, right?
(Yeah, toka Shy-Town)
Uh huh
The one and only
Ni Noorah A.K.A. BabaStylz (Babastylz)
Oh, yeah nipo na Suma Lee
Muite Roy ndani ya G-Recordz
Chemba Squad
Ebwana Ibra eh!
Yeah, utaipenda hii

Akatizapo kila street midume yenyewe zapwita
Akikuta kijicho ni kama anakuita
Ooh anawachengua matoz, mtoto anayajua mapozz

Daah hii ilikuwa moja ya ngoma kali sana kutoka kwa Noorah ft Sumalee, beatz ikisukwa na Roy from G Records

Video kali enzi hizo chini ya Director Adam Juma from Visual Lab

RIP Roy, kazi zako tutazikumbuka sana sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…