Utatumia mbinu gani kujua mpenzi wako ni mchawi?

Utatumia mbinu gani kujua mpenzi wako ni mchawi?

Kama anapenda kuiba vitu vidogo vidogo, soksi, nguo,bukta haswa vitu unavyo vaa, or usiku ukishtuka unamkuta yuko macho( si mara zote)
Ndoto mbaya
Mwingine unakuta anakuambia kabisa mambo ya waganga

Ni kuomba sana
Nakubaliana na wewe
 
Back
Top Bottom