Utavumiliaje penzi hili?

Utavumiliaje penzi hili?

This is my true story,
Nina familia. Nilipokuwa mtoto nilikulia maisha ya matatizo sana, sababu mojawapo ikiwa kufiwa na wazazi wangu na hivyo kusoma kwa tabu sana. Lakini namshukuru Mungu alivyonipigania na kufanikiwa kimaisha. Kwa sasa nina kazi nzuri na mshahara mzuri. Tatizo langu lipo kwenye mapenzi. Sikuwahi kufanya mapenzi na mwanamke yeyote maisha yangu mpaka nilipomaliza chuo kikuu, siyo kwa sababu nilipenda ila tangu utoto wangu nilikuwa napewa ushauri wa vitisho sana kiasi cha kuogopa sana kufanya sex kabla ya ndoa. Nilipomaliza chuo nilipata rafiki ambaye hakuwa mtu wa town sana (rural areas), mpole, mvumulivu, hata nikikasirishwa tuu analia. Hakuwahi kufanya mapenzi maishani mwake mpaka siku tuliyofunga ndoa and you can see the coincidence of all being virgin. Mimi nilikuwa na advantage kidogo kuhusiana na mambo ya mapenzi kwa sababu ya mazingira ya mjini kama Dar niliposomea, nilikuwa naona hata movies za x kwa marafiki zangu, magazeti na mengineyo.

After marriage, nikagundua kuwa mwenzangu ameshikilia misimamo ya dini sana na hajui mambo mengi kuhusu mapenzi. Ikawa kila kitu alitegemea mimi mimwelekeze, nikawa nakuja na magazeti kama ya udaku, movies etc. Akaanza kunikomalia kuwa nazipata wapi hizo movies, akawa hataki hata kuangalia. Tukiwa kitandani hawezi kunyonya mashine yangu. Katika maandalizi nikishamridhisha hisia zake akisema start ndani ya dk tano au less than 10 minutes ameshamaliza anaanza kuniambia nimalize. Na nikishamaliza hawezi kurudi mara ya pili, labda mpaka next day. Tatizo lingine mwanamke siyo mbunifu hata chumba hakipangiliwi vizuri, mtoto akijikolea kwenye nepi anaitoa na kuirusha uvunguni mwa kitanda, chumba kinaanza kunuka, nikimwambia anasema ataitoa asubuhi wakati bafu iko hapo ndani hapeleki huko.

Napata wakati mgumu sana kimapenzi kwani kila ninapomueleza kile kinachonifurahisha anasema Mungu hataki kunyonyana, nikitaka tuendelee kuchezeana ili tuweze kwenda next round anasema Mungu anataka tuwe na kiasi. Nashindwa kuvumilia kwa sababu akishafika kileleni yeye anaacha hata kuwa active anakuwa idle anasubiri nisome gazeti niondoke zangu.

Kadiri muda ulivyoenda, tayari nimeshateleza na kutoka nje, nikakutana na binti ambaye hana mume. Historia yake aliishi na mwanamume bila kufunga ndoa, yule mwanamume alikuwa mfanya biashara na alienda kwa mganga kumfanyia mambo akawa kama mjinga fulani haondoki hapo anamtunzia biashara yake. Kwa maelezo yake huyo mwanaume hajawahi kwenda naye roundi mbili, ni moja tuu. Na muda mwingi anakuwa kwenye safari zake za kibiashara. Wakati fulani wakaja watu wakamfanyia maombi ndo hiyo mitego ya huyo mwanamume ikakosa nguvu binti akarudi kwao akiwa na mtoto mmoja.

Ukweli ni kwamba raha niliyokutana nayo kwa huyu binti sijapata kuiona na sioni tena thamani ya mke wangu. Linapokuja suala la maisha ya kawaida namkubali sana mke wangu ila linapokuja kufanya mapenzi, hisia zote zimehama. Huyu binti ni mtundu wa mapenzi na ananifikisha kilele cha furaha yangu. Nimekuwa nikifanya hili kwa siri kubwa na mpaka sasa halijajulikana. Ila tatizo ninalolipata sasa nikiwa kwangu ili niwe na mke wangu ni mpaka yeye anianze la sivyo hakuna kitu. Upande wa pili inaonekana yule binti ameshamwambia mama yake maana namwona mama ameanza kunichangamkia sana.

Nina hofu sana hatima ya hili penzi, niko njia panda ya penzi hili. Nipeni mawazo yenu

Piga sala sana kaka! Hicho kimeo kaka! Ukishamaliza sala fwata huu msemo.....HOME IS WHERE YOUR HEART IS!
 
This is my true story,
Nina familia. Nilipokuwa mtoto nilikulia maisha ya matatizo sana, sababu mojawapo ikiwa kufiwa na wazazi wangu na hivyo kusoma kwa tabu sana. Lakini namshukuru Mungu alivyonipigania na kufanikiwa kimaisha. Kwa sasa nina kazi nzuri na mshahara mzuri. Tatizo langu lipo kwenye mapenzi. Sikuwahi kufanya mapenzi na mwanamke yeyote maisha yangu mpaka nilipomaliza chuo kikuu, siyo kwa sababu nilipenda ila tangu utoto wangu nilikuwa napewa ushauri wa vitisho sana kiasi cha kuogopa sana kufanya sex kabla ya ndoa. Nilipomaliza chuo nilipata rafiki ambaye hakuwa mtu wa town sana (rural areas), mpole, mvumulivu, hata nikikasirishwa tuu analia. Hakuwahi kufanya mapenzi maishani mwake mpaka siku tuliyofunga ndoa and you can see the coincidence of all being virgin. Mimi nilikuwa na advantage kidogo kuhusiana na mambo ya mapenzi kwa sababu ya mazingira ya mjini kama Dar niliposomea, nilikuwa naona hata movies za x kwa marafiki zangu, magazeti na mengineyo.

After marriage, nikagundua kuwa mwenzangu ameshikilia misimamo ya dini sana na hajui mambo mengi kuhusu mapenzi. Ikawa kila kitu alitegemea mimi mimwelekeze, nikawa nakuja na magazeti kama ya udaku, movies etc. Akaanza kunikomalia kuwa nazipata wapi hizo movies, akawa hataki hata kuangalia. Tukiwa kitandani hawezi kunyonya mashine yangu. Katika maandalizi nikishamridhisha hisia zake akisema start ndani ya dk tano au less than 10 minutes ameshamaliza anaanza kuniambia nimalize. Na nikishamaliza hawezi kurudi mara ya pili, labda mpaka next day. Tatizo lingine mwanamke siyo mbunifu hata chumba hakipangiliwi vizuri, mtoto akijikolea kwenye nepi anaitoa na kuirusha uvunguni mwa kitanda, chumba kinaanza kunuka, nikimwambia anasema ataitoa asubuhi wakati bafu iko hapo ndani hapeleki huko.

Napata wakati mgumu sana kimapenzi kwani kila ninapomueleza kile kinachonifurahisha anasema Mungu hataki kunyonyana, nikitaka tuendelee kuchezeana ili tuweze kwenda next round anasema Mungu anataka tuwe na kiasi. Nashindwa kuvumilia kwa sababu akishafika kileleni yeye anaacha hata kuwa active anakuwa idle anasubiri nisome gazeti niondoke zangu.

Kadiri muda ulivyoenda, tayari nimeshateleza na kutoka nje, nikakutana na binti ambaye hana mume. Historia yake aliishi na mwanamume bila kufunga ndoa, yule mwanamume alikuwa mfanya biashara na alienda kwa mganga kumfanyia mambo akawa kama mjinga fulani haondoki hapo anamtunzia biashara yake. Kwa maelezo yake huyo mwanaume hajawahi kwenda naye roundi mbili, ni moja tuu. Na muda mwingi anakuwa kwenye safari zake za kibiashara. Wakati fulani wakaja watu wakamfanyia maombi ndo hiyo mitego ya huyo mwanamume ikakosa nguvu binti akarudi kwao akiwa na mtoto mmoja.

Ukweli ni kwamba raha niliyokutana nayo kwa huyu binti sijapata kuiona na sioni tena thamani ya mke wangu. Linapokuja suala la maisha ya kawaida namkubali sana mke wangu ila linapokuja kufanya mapenzi, hisia zote zimehama. Huyu binti ni mtundu wa mapenzi na ananifikisha kilele cha furaha yangu. Nimekuwa nikifanya hili kwa siri kubwa na mpaka sasa halijajulikana. Ila tatizo ninalolipata sasa nikiwa kwangu ili niwe na mke wangu ni mpaka yeye anianze la sivyo hakuna kitu. Upande wa pili inaonekana yule binti ameshamwambia mama yake maana namwona mama ameanza kunichangamkia sana.

Nina hofu sana hatima ya hili penzi, niko njia panda ya penzi hili. Nipeni mawazo yenu

Hii ni moja za kesi ngumu kidogo katika mahusiano ila binafsi nafikiri jaribu kuzungumza na wasimamizi wenu wa harusi kwani inapoelekea sasa utahatarisha ndoa yako na zaidi ya yote watoto, matron anaweza kukusaidia kukzungumza nae kama ni mtu mwelewa na yeye, ila nisingekushauri utoke nje ya ndoa kwani sio tiba jaribu kutibu matatizo ya ndoa yako mapema kabla mambo hayajawa mabaya zaidi.
 
Umezunguka sana kwenye post yako nimekusoma kisaikolojia umempenda sana huyo malaya wa nje ila wife iz ze best kuliko huyo malaya kaa chini umiza kichwa mkeo atabadilika.
 
Pole sn,kwa vile mkeo anamisimamo ya kidin nakushauri ongea na watumishi wa mungu wanaohusika na kutoa mafundisho na ushauri wa ndoa kanisan kwao hasa wanawake waeleze matatizo ya mkeo wao wataongea naye kutumia maandiko ya biblia watamfundisha mbinu namajukumu yake yote ya kumridhisha mume kunako 6 kwa 6,mapoja na majukumu ya nyumban ikiwamo usafi hakika ataelewa na utashangaa namna atakavyobadilika,

Wakati anahudhuria mafunzo hayo hakikisha unampa sapoti yote ikiwezekana nawe uhudhurie ili nawe ujieleze vile unavyotaka awe na ahakikishiwe mbele yako kuwa maandiko hayapingani na kuridhishana kimapnz kwa wanando.

Naamin malezi na mazingira aliyokulia ndio yamemfanya awe hivyo,na nashindwa pia kuelewa ilikuwaje huko kwao wamwache binti yao aolewe bila hata kupata mafunzo hata yale ya kawaida tu kuhusu maisha ya ndoa mpaka usafi tu unamshinda!!
Kila laheri naamini km mtashirikiana kwa pamoja huyo atakuja kuwa fundi mpaka utamsahau huyo kimda wako.
 
khaaa... Best shughuli nzito hapo mh! Kaz unayo
 
Wanaume wa siku hzi na nyie mmezidi...eti kuna mwanamke wa kuoa na wa kuzugia (yani wa starehe), sasa wewe ulitaka wa kuoa, mara nyingi hao mnaowaita wa kuoa ndo walivo (yani wale wa me nasoma kaseti langu ukimaliza funika)!Wanawake na nyie ndoa mnazitaka kumbe shuhuli hamuiwezi, wanaume wenu wakipita kona wakikutana na sie ma-single.......shuhuli inakuwa pevu hata kurudi makwao inakuwa tabu......! Hapo pagumu kaka, huo wako mzigo ubebe tu ndugu! kuutua ni hadi kifo kiwatenganishe.......au mwisho wa dunia......
 
he, pole sana ,lakin huna makosa jukumu analo huyo wife wako yeye ndio chanzo , sasa apo wataalamu wakupe ushauri ,bcz love without hapiness is useless, hapo kwa mwanamme yeyote hachukui tafran hiyo ,, sijui uyo dada dini gani ilo mwambia kua asimfurahishe mume wake, balaa duniani m,mungu atustiri tusiwe miongoni mwa kama yeye ameen
 
mmh pole sana mkuu.
fanya yoote usimsahau mkeo kbs, we endelea 2 kumfundisha mdogo mdogo ivyo ivyo atacopy tu jaman. huyo wa nje usimtilie maanan kbs, ikiwezekana piga chini mpe 2 somo mkeo tena la kiu2 uzima nina iman atakuelewa.
 
Umesema wote mlikuwa bikira tofauti yenu ni wewe kuwa ulipata kabati ka kuingia mjini kabla yake. Nina imani kabla ya kufunga ndoa wote mlifundwa ni jinsi gani ya kuishi mkiwa kama mme na mke, ndoa yenu kama ilikuwa ya kiislam, kristo, serikali, au kipani lazima mlipata. Sasa rejea kwa somo yake au shangazi yake nenda kamweleze jinsi gani ndoa yako imegeuka shubiri tofauti na asali uliyotaraji toka kwa mkeo huyo ambaye ameshindwa kufuata kile unachopenda.
Kuhusu huyo rafiki ulie mpata nashauri jaribu kuanza kukata kamba taratibu ingawa najua itakuwa ngumu kumeza hii, ili ulee mkeo na mtoto.
 
Back
Top Bottom