stormryder
JF-Expert Member
- Mar 23, 2013
- 3,776
- 5,786
Honestly mimi ni mchoyo na kitu ambacho sitakagi kusikia eti ukweni wanashida, mimi ndio nijitolee wakati wanavijana wakubwa, wana ndugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mahari mkuu
😀Honestly mimi ni mchoyo na kitu ambacho sitakagi kusikia eti ukweni wanashida, mimi ndio nijitolee wakati wanavijana wakubwa, wana ndugu
Tuache siasa, walipokuwa wananipangia mahari hawakujua tunaenda kuwa mwili mmoja?Kwa kuwa wewe na mke wako ni mwili mmoja, wewe nawe ni mmoja wa watoto wao wa kiume.