Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marekani watarudishaje hizi fedha?
Africa obviously ndio bwege anaelipagaMarekani watarudishaje hizi fedha?
Sasa hivi Pro Russia ndio mmefikia huku?Uzuri Yale ma $$ unachukua tu printer unaya-print tu praaaaaaaaaaaaaaa then imeisha hio,lkn ardhi iliyochukuliwa na warussi sijui unai-print vipi?
Lakini ukiangalia historia, USA aliisaidia USSR massively kuweza kumshinda Germany.Hivi marekani ana interest gan na Ukraine wakuu, manake duuh
Nchi zenu Zipo kwenye misaada tagu rais wa kwanza ila hujawai sikia tozo ya kulipa misaada wanayowapatia.. Ukraine nae anapewa kama mnavyopewa nyie.
Sasa hivi Pro Russia ndio mmefikia huku?
ujuaji mwiiingi kumbe ukilaza umekuja bwana mdogoAnnual Budget ya US ni around $ 6.2 Trillion. Na current US debt hipo around $30 trillion na hapo hapo debt celling Ni $31.4 trillion (diff is around $1.4 trillion)
Sasa, wewe unaanzaje kusema kwamba Biden Administration wanaomba Senate ipitishe $28 trillion kwa ajili ya ku support Ukraine. Hiyo $28 trillion wataitoa wapi?
Hivi ni kwa nini mnapenda kujidhalilisha? Ni kweli mpo wapumbavu na wajinga kiasi hiki?
Inawezekana ishu ya Mental health ikawa ni kubwa sana hapa Tanzania.
View attachment 2369171
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hivi Pro Russia ndio mmefikia huku?
Wamefika ambako binadam kufika sio kawaida, labda uwe na mapepoSasa hivi Pro Russia ndio mmefikia huku?
😆 😆 😆Wamefika ambako binadam kufika sio kawaida, labda uwe na mapepo