Utawala wa JPM ulitengeneza mabilionea wa kichina, Uturuki na waarabu, ,Nyerere, Mwinyi Mkapa na JK walitengeneza matajiri wazawa

Utawala wa JPM ulitengeneza mabilionea wa kichina, Uturuki na waarabu, ,Nyerere, Mwinyi Mkapa na JK walitengeneza matajiri wazawa

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Mzalendo wetu JPM alitengeneza mabilionea wa kichina, tenda zote nchi nzima za ujenzi aliwapa wachina au Mayanga, aliwapa waturuki ujenzi wa reli, wamisri ujenzi wa bwawa la Stiglers.

Wafanyabiashara wa kitanzania waliozea jela wakati wachina, waturuki wakitamba katika nchi yetu, wafanyabiashara wa kitanzania walikimbia nchi wakati wachina, waturuki na wamisri wakivimba matumbo kwa shibe.

Alifungia tenda zote za ujenzi kwa wakandarasi wa ndani na alikaribisha wachina, waturuki, wale chakula Cha watanzania.

Akaunti za wafanyabiashara wa kichina na kituruki zilinona wakati za watanzania alizifunga na kufilisiwa.

Makampuni ya kigeni yalinoga nchini wakati ya wazawa yalifungiwa na kariakoo iliyokuwa inavuma ikiuwawa.

JPM alizunguka nchi nzima akihubiri jinsi alivyo na upendo na mtu yeyote atakayechagua kuwa masikini na mnyonge.
 
Mjinga Mmoja wewe.


Kuna Mzawa gani mwenye Teknolojia au Mtaji wa kuweza kujenga Bwawa lile?.




Nyinyi waza Si ndo mnakua na tukampuni uchwara, Kila kitu unakodi, Kaunti Haina hata mia, Alafu unategemea Serikali itoe Pesa, ndio uanze Shughuli??

Sasa wewe ni mkandarasi, au Muhuni Mmoja mjanja ???.
 
Hao waliotengeneza matajiri wazawa si ndo kipindi majenereta yalikuwa yanalia tutututu....kakakkaka. huyu aliyetengeneza matajiri wageni si ndo majenereta yakapotea na tukaona fly over, SGR, madaraja na ndege na tukaingia uchumi wa Kati? Hivi sasa hivi baada ya royal tour tutaingia uchumi wa kiwango gani?
 
Hao waliotengeneza matajiri wazawa si ndo kipindi majenereta yalikuwa yanalia tutututu....kakakkaka. huyu aliyetengeneza matajiri wageni si ndo majenereta yakapotea na tukaona fly over, SGR, madaraja na ndege na tukaingia uchumi wa Kati? Hivi sasa hivi baada ya royal tour tutaingia uchumi wa kiwango gani?
Hawa wahuni wengi ni wale walozoea Maisha ya ujanja ujanja .
 
sasa mtanzania gani anaweza kujenga Reli SGR hata 5 km tu, Mtanzania gani anaweza kujenga hydro-power plant...?

kama hizi barabara za kiwango cha changarawe za Tarula huku vijijini tunakimbizana kila siku..
 
Magu alikuwa anakubutua vizuri sana!

Maana hujawahi kumsahau
 
sasa mtanzania gani anaweza kujenga Reli SGR hata 5 km tu, Mtanzania gani anaweza kujenga hydro-power plant...?

kama hizi barabara za kiwango cha changarawe za Tarula huku vijijini tunakimbizana kila siku..
Mtoa mada, ni Muhuni Mmoja tu anamiliki simu na ana bando .


Unajua Chuki nyingine sio lazima uziweke wazi maana ukiziweka wazi, ,inaonyesha ujinga wako ni wakiwango gani !!.


Mtanzania ajenge JNHP?? Kweli ????.
 
Mzalendo wetu JPM alitengeneza mabilionea wa kichina, tenda zote nchi nzima za ujenzi aliwapa wachina au Mayanga, aliwapa waturuki ujenzi wa reli, wamisri ujenzi wa bwawa la Stiglers.

Wafanyabiashara wa kitanzania waliozea jela wakati wachina, waturuki wakitamba katika nchi yetu, wafanyabiashara wa kitanzania walikimbia nchi wakati wachina, waturuki na wamisri wakivimba matumbo kwa shibe.

Alifungia tenda zote za ujenzi kwa wakandarasi wa ndani na alikaribisha wachina, waturuki, wale chakula Cha watanzania.

Akaunti za wafanyabiashara wa kichina na kituruki zilinona wakati za watanzania alizifunga na kufilisiwa.

Makampuni ya kigeni yalinoga nchini wakati ya wazawa yalifungiwa na kariakoo iliyokuwa inavuma ikiuwawa.

Mmagufuli alikuwa na roho chafu
 
Mtoa mada, ni Muhuni Mmoja tu anamiliki simu na ana bando .


Unajua Chuki nyingine sio lazima uziweke wazi maana ukiziweka wazi, ,inaonyesha ujinga wako ni wakiwango gani !!.


Mtanzania ajenge JNHP?? Kweli ????.
Jjesca👇

eaa2c74c6643af4be501005467b1c964.png
 
Mtoa mada, ni Muhuni Mmoja tu anamiliki simu na ana bando .


Unajua Chuki nyingine sio lazima uziweke wazi maana ukiziweka wazi, ,inaonyesha ujinga wako ni wakiwango gani !!.


Mtanzania ajenge JNHP?? Kweli ????.
Tulia sindano ziingie
 
Kila nikiingia huku ni Magufuli kwamba mmekosa vya kusema mana tunajua mtu asiye jiamin tabia zao huwa kuzingizia wenzie kwa kuficha udhaifu wake
 
Huyu ni mleta traffic humu,,and you are feeding the beast kwa kuchangia kwenye thread zake
 
Back
Top Bottom