kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
[emoji23][emoji23][emoji23]Hongereni Jeshi linalojitambua. Sisi huku Bi. Mdashi kawapa wajomba zake Bandari zetu zote na bado anapeta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hongereni Jeshi linalojitambua. Sisi huku Bi. Mdashi kawapa wajomba zake Bandari zetu zote na bado anapeta.
Tanzania itaingia huko Sasa hivi. Subirini ngede ya Mwarabu na washirika wake waanze vurugu zao. Hapa Tanzania hapata kalika. Wenzetu wana sehemu pa/za kukimbilia, Omani na Dubai na kwningine huko.Kuna nchi ni ngumu sana kuziishi, Mali, Sierra Leon, Somali, Sudan, Liberia, Burkina Faso, yaani ni tatizo
Ukipata kazi huko ya kufanya ni bora mtu usiende tu, uteme hilo tonge.
BlackmailNiger’s junta told a top U.S. diplomat that they would kill deposed President Mohamed Bazoum if neighboring countries attempted any military intervention to restore his rule, two Western officials told The Associated Press.
Hulka za watu wa Niger au Burkina Faso na kwingineko, siyo hulka za waTanzania, na wao wangekua na hulka kama za waTanzania wala usingesikia mambo ya kupindua nchi, msilazimishe vitu ambavyo hapa kwetu havipoTanzania itaingia huko Sasa hivi. Subirini ngede ya Mwarabu na washirika wake waanze vurugu zao. Hapa Tanzania hapata kalika. Wenzetu wana sehemu pa/za kukimbilia, Omani na Dubai na kwningine huko.
Vurugu za huko sio kuhusu Rasilimali tu bali na Ubaguzi walioupata watu wa huko. Mkondo mzima ule wa kutoka sudan mpaka mali and beyond, umekuwa ukitawaliwa na aidha mwarabu au chotara. Haya maneno maneno mengine ni geresha tu.