Utawala uliobora ni ule utawala wa makubaliano baina ya mwanaichi na mamlaka
Suala la katiba mpya nalifananisha na ujio wa chupi za watoto maarufu pampas!
Zilipo ingia kwa Mara ya kwanza Tanzania baadhi ya watu walizipinga sana, wengine walidai zinaleta uhanisi kwa watoto, wengine walisema hazina maana! Yote hayo yalitamkwa kwasababu Africa hatupendi ustaarabu!
Katiba ni jambo la kistaarabu, katiba inaondoa ukinyaa, katiba ni mwongozo!
Katiba ya sasa haitoi taswira ya usawa katika kugawana keki ya taifa!
Kwa mfano!
Ikumbukwe hata China walivyotunga sheria Kali ndipo na uchumi wao ulipaa!
Kwanini Tanzania tunaogopa katiba mpya? Kama kuandaa katiba mpya ni gharama kwanini tusichangie au kukopa kwa ajili ya katiba?
Kama ujenzi wa madaraja tunakopa fedha nyingi, hatushindwi kugharamia pia ujenzi wa katiba mpya!
Utawala wa Rais samia kaanza vizuri, lakini tusisahau huu ni utawala wa honeymoon! Bila katiba bora huko kwenye ndoa ugomvi hautaisha
Suala la katiba mpya nalifananisha na ujio wa chupi za watoto maarufu pampas!
Zilipo ingia kwa Mara ya kwanza Tanzania baadhi ya watu walizipinga sana, wengine walidai zinaleta uhanisi kwa watoto, wengine walisema hazina maana! Yote hayo yalitamkwa kwasababu Africa hatupendi ustaarabu!
Katiba ni jambo la kistaarabu, katiba inaondoa ukinyaa, katiba ni mwongozo!
Katiba ya sasa haitoi taswira ya usawa katika kugawana keki ya taifa!
Kwa mfano!
- Kwa sasa kiongozi yoyote akifanya ufisadi, katiba haina adhabu kali kwa kiongozi huyu zaidi ya kumtangaza kwenye vyombo vya habari kuwa ni fisadi
- Katiba ya sasa inampa mamlaka hata RPC au polisi yoyote kumbakikia kesi au tuhuma mbaya mtuhumiwa ambaye hana hatia, na haiwawajibishi kwa makosa hayo hata pale mahakama inapobaini kuna undanganyifu. Hivyo udhalilishaji nakuchafuliwa jina kwa watu wasiyo waharifu bila katiba mpya kutaendelea tu maana polisi hawawajibishwi kwa uongo, ebu tafakari mtu anasota rumande yenye mateso kwa miaka miwili familia yake wanataabika kiasi gani kwa kesi za uongo?
- Ebu fikilia taifa linapata hasara kiasi gani kwa maamuzi mabovu?
- Huwezi kukwepa katiba mpya kama kweli unamalengo ya kuinyoosha inchi, katiba ni kila kitu na kila mahali!
Ikumbukwe hata China walivyotunga sheria Kali ndipo na uchumi wao ulipaa!
Kwanini Tanzania tunaogopa katiba mpya? Kama kuandaa katiba mpya ni gharama kwanini tusichangie au kukopa kwa ajili ya katiba?
Kama ujenzi wa madaraja tunakopa fedha nyingi, hatushindwi kugharamia pia ujenzi wa katiba mpya!
Utawala wa Rais samia kaanza vizuri, lakini tusisahau huu ni utawala wa honeymoon! Bila katiba bora huko kwenye ndoa ugomvi hautaisha