Utawezaje kuishi na mwanamke Mwenye kinyongo

et haki ya ndoa..🤣
tulishasema hakuna kuoa lkn bado mnahangaika na ndoa! mtatolewa vizazi hivyo!.

hapo anakuonyesha "kinyongo" hicho kinyongo kikikuwa atakuonyesha "linyongo"!. ndo baadae unasikia mtu kanyofolewa vinyanya mshenzi!.
 
ningekuwa nimesoma jina la mweka mada kabla nisingeandika hiyo komenti yangu hapo juu..😅
 
Moja ya faida ya kumuoa yeye ni ule muunganiko wenu uwe na furaha.

Ikiwa sivyo ndivyo hakikisha unatafuta furaha mahala pengine.

Mkuu pindi utapata msongo wa mawazo katika purukushani katika riziki then ukarudi home uongezewe na huyo, hapo ndo utajua kuwa hiyo ni hasara.

NB: KINGA NIBORA KULIKO TIBA.
 
Kwa mimi nilivyokua sipendi kelele alafu sijui kubembeleza hapo nikirudi namsalimia asiponiitikia naoga naenda kulala simsemeshi pia, asiponiita kula nalala njaa hivyo hivyo kesho yake asubuhi nasepa usiku wake nakula huko huko mtaani narudi kulala tu.
 
Kwa mimi nilivyokua sijui kubembeleza hapo nikirudi namsalimia asiponiitikia naenda kuoga naenda kulala simsemeshi pia, asiponiita kula nalala njaa hivyo hivyo asubuhi nasepa usiku nakula huko huko mtaani jion narudi kulala tu
+++ 🤝🤝🤝
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…