Duh!Huyo ndo mzuri sasa kwenye suala zima la kukomoana...
KaoneπKama unakataa ndoa basi usiwe na mahusiano!
usipoteze muda wa uhai wako kwa mateso kisa kumfuga binadamu mwenzako na kisha anakukera,
Vp ww unanyonga nyoka au unaishijeet haki ya ndoa..π€£
tulishasema hakuna kuoa lkn bado mnahangaika na ndoa! mtatolewa vizazi hivyo!.
hapo anakuonyesha "kinyongo" hicho kinyongo kikikuwa atakuonyesha "linyongo"!. ndo baadae unasikia mtu kanyofolewa vinyanya mshenzi!.
Hapo hata hamu ya kula haipo.Kwa mimi nilivyokua sipendi kelele alafu sijui kubembeleza hapo nikirudi namsalimia asiponiitikia naoga naenda kulala simsemeshi pia, asiponiita kula nalala njaa hivyo hivyo kesho yake asubuhi nasepa usiku wake nakula huko huko mtaani narudi kulala tu.