Utawezaje kuishi na mwanamke Mwenye kinyongo

et haki ya ndoa..🀣
tulishasema hakuna kuoa lkn bado mnahangaika na ndoa! mtatolewa vizazi hivyo!.

hapo anakuonyesha "kinyongo" hicho kinyongo kikikuwa atakuonyesha "linyongo"!. ndo baadae unasikia mtu kanyofolewa vinyanya mshenzi!.
Vp ww unanyonga nyoka au unaishije
Ukute tunaongea na towashi
 
Hapo hata hamu ya kula haipo.
 
Kama hujamuoa achana nae hata usijitese kutafuta namna ya kuishi nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…