Utegemezi wa Russia kwa sarafu ya Yuan kuokoa uchumi wake waanza kutokomea

Utegemezi wa Russia kwa sarafu ya Yuan kuokoa uchumi wake waanza kutokomea

Imeloa

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
14,885
Reaction score
18,083
Yuan ya Uchina imesaidia kufadhili mashine ya biashara na vita ya Urusi - lakini siku hizo zinaweza kuwa zinaelekea ukingoni.

Vikwazo vya Nchi za Magharibi vimeifungia Urusi nje ya mfumo mkuu wa kifedha wa kimataifa unaotawala dola maarufu kama (SWIFT) lakini nchi hiyo imeweza kustahimili vishindo vya vikwazo wakati huu wa vita kutokana na Yuan ya Uchina.

 
Vikwazo zaidi ya elf 10 lakini mwamba anagawa dose kama kawaida mkiambiwa Russia sio Zimbabwe muelewe
Ana umwamba Gani?? Sitamsahau mrusi Hadi nakufa.
Umesha Sahau mrusi alivyotaka kuiendeleza vita yetu na Uganda Ili auze Silaha zake!
Au ulikuwa mdogo zama hizo??
Alimuuzia Uganda Ndege vita! Na kutuuzia sisi anti aircraft shoulder misiles(streiler)
Tulitumia Yale mabomu yakaisha na akakataa kutupa Kwa mkopo ila Kwa hard cash au tukubaliane naye Mikataba migumu ya muda mrefu!
Kukosoa busara ya Mchonga meno Kuomba msaada wa hizo Silaha Toka Algeria na Msumbiji vita ingekuwa ngumu na Endelevu!
Nakumbuka kipindi mrusi anatuwekea ngumu Ndege vita za Uganda zilikuwa zinatamba Mwanza na visiwa vya saa.8!
Halafu rejea yaliyo mkuta Comred Samora Moses Machel!; baada ya kuona mrusi anazoa Mali asili za Msumbiji!; Akaingia mikataba ya Ulinzi na westeners!
Screenshot_20240718-163831~2.jpg
Screenshot_20240718-163711~2.jpg



Inawezekana sio kosa lako ulikuwa Bado unanyonya au hujazaliwa zama hizi!
 
Ana umwamba Gani?? Sitamsahau mrusi Hadi nakufa.
Umesha Sahau mrusi alivyotaka kuiendeleza vita yetu na Uganda Ili auze Silaha zake!
Au ulikuwa mdogo zama hizo??
Alimuuzia Uganda Ndege vita! Na kutuuzia sisi anti aircraft shoulder misiles(streiler)
Tulitumia Yale mabomu yakaisha na akakataa kutupa Kwa mkopo ila Kwa hard cash au tukubaliane naye Mikataba migumu ya muda mrefu!
Kukosoa busara ya Mchonga meno Kuomba msaada wa hizo Silaha Toka Algeria na Msumbiji vita ingekuwa ngumu na Endelevu!
Nakumbuka kipindi mrusi anatuwekea ngumu Ndege vita za Uganda zilikuwa zinatamba Mwanza na visiwa vya saa.8!
Halafu rejea yaliyo mkuta Comred Samora Moses Machel!; baada ya kuona mrusi anazoa Mali asili za Msumbiji!; Akaingia mikataba ya Ulinzi na westeners!View attachment 3045581View attachment 3045582


Inawezekana sio kosa lako ulikuwa Bado unanyonya au hujazaliwa zama hizi!
Uganda ilipewa ndege aina ya Tupolev na Gaddafi na sio Mrusi
 
Uganda ilipewa ndege aina ya Tupolev na Gaddafi na sio Mrusi
Kama ulikuwa front kumbuka mig fighters tulizo ziteka mrusi alizi-fault Kila ikitake-of inalipuka angani😭😭😭
Tulipoteza Marubani wetu.....
 
Ana umwamba Gani?? Sitamsahau mrusi Hadi nakufa.
Umesha Sahau mrusi alivyotaka kuiendeleza vita yetu na Uganda Ili auze Silaha zake!
Au ulikuwa mdogo zama hizo??
Alimuuzia Uganda Ndege vita! Na kutuuzia sisi anti aircraft shoulder misiles(streiler)
Tulitumia Yale mabomu yakaisha na akakataa kutupa Kwa mkopo ila Kwa hard cash au tukubaliane naye Mikataba migumu ya muda mrefu!
Kukosoa busara ya Mchonga meno Kuomba msaada wa hizo Silaha Toka Algeria na Msumbiji vita ingekuwa ngumu na Endelevu!
Nakumbuka kipindi mrusi anatuwekea ngumu Ndege vita za Uganda zilikuwa zinatamba Mwanza na visiwa vya saa.8!
Halafu rejea yaliyo mkuta Comred Samora Moses Machel!; baada ya kuona mrusi anazoa Mali asili za Msumbiji!; Akaingia mikataba ya Ulinzi na westeners!View attachment 3045581View attachment 3045582


Inawezekana sio kosa lako ulikuwa Bado unanyonya au hujazaliwa zama hizi!
Yaani unalalama kuuziwa cash,unampangia mtu namna ya kufanya biashara!?..una uhakika samora alibutuliwa na Soviet na si kaburu?
 
Ana umwamba Gani?? Sitamsahau mrusi Hadi nakufa.
Umesha Sahau mrusi alivyotaka kuiendeleza vita yetu na Uganda Ili auze Silaha zake!
Au ulikuwa mdogo zama hizo??
Alimuuzia Uganda Ndege vita! Na kutuuzia sisi anti aircraft shoulder misiles(streiler)
Tulitumia Yale mabomu yakaisha na akakataa kutupa Kwa mkopo ila Kwa hard cash au tukubaliane naye Mikataba migumu ya muda mrefu!
Kukosoa busara ya Mchonga meno Kuomba msaada wa hizo Silaha Toka Algeria na Msumbiji vita ingekuwa ngumu na Endelevu!
Nakumbuka kipindi mrusi anatuwekea ngumu Ndege vita za Uganda zilikuwa zinatamba Mwanza na visiwa vya saa.8!
Halafu rejea yaliyo mkuta Comred Samora Moses Machel!; baada ya kuona mrusi anazoa Mali asili za Msumbiji!; Akaingia mikataba ya Ulinzi na westeners!View attachment 3045581View attachment 3045582


Inawezekana sio kosa lako ulikuwa Bado unanyonya au hujazaliwa zama hizi!
"The mysterious death of Samora Machel, by Augusta Conchiglia (Le Monde diplomatique - English edition, November 2017)" The mysterious death of Samora Machel
 
Yaani unalalama kuuziwa cash,unampangia mtu namna ya kufanya biashara!?..una uhakika samora alibutuliwa na Soviet na si kaburu?
upeo wenu mfupi ndo mtaji wa wenye akili , mtu akijua adui yako ni shabani anakufanyia lolote akiamin lawama zjnaenda kwa shababni
 
Back
Top Bottom