Utekaji nchi hii unachagizwa na ukondoo wa Watanzania

Utekaji nchi hii unachagizwa na ukondoo wa Watanzania

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Ni kweli kuna utekaji nchi hii ila ukisikiliza simulizi nyinhi za mashuhuda utakubaliana na mimi kwamba ukondooo wa Watanzania una play part kubwa sana huenda nusu yake.

Ukisikiliza shuhuda ni kwamba walikuja watu wakajitambulisha kwamba wao ni Polisi na wakaondoka na fulani, tukawaomba vitambulisho wakagoma kutoa na kuondoka na fulani.

Ukondoo wetu una changia sana utekaji na huenda hata watekaji huwa kinacho wapa nguvu niwanajua kwamba wabongo ni makondoo sana.

Wote tunakumbuka enzi za Magu kule Tarime kitu yule Peter Zakaria alicho wafanyia wasio julikana na mmoja wa wasio julikana hadi leo ni kilema kabisa aliharibiwa nyonga mazima.

Ule ni mfano mzuri sana alio uonyesha Peter Zakari tajiri wa kule Tarime, na wasio julikana hawatajaribu tena kwenda kumkamata kijinga jinga.

Tulipo fikia ni kutembea hata na mishale na mikuki, ili akama mtu unatekwa basi watekaji na wao wakasimulie , tusikubali kiwango hiki cha ukondoo, tutekwe yes ila baada ya mapambano makali sana.

Au mwenzetu anatekwa sisi tuna muangalia kisa tunawaogopa watekaji.

Walio enda kumteka Peter Zakaria walienda na Silaha wa ila jamaa alikomaa nao na hawatasahau milele.

Tutembee hata na silaha za jadi ambazo ni rajhisi na hazihitaji usajili tusitekwe kizembe sana kiasi hiki.

Mwisho kama mahakamani hakuna haki, watawala wanapuuza utekaji basi Model ya South Africa inaweza tusaidia sana, Street Justice.

Pia soma
 
Point yako ni ipi? tukae kimya kwa sababu Kenya nako wanatekwa? so siku Kenya wakishikishwa ukuta na sisi tukubali kisa wao mbona wanashikishwa ukuta? Acha ujinga wewe
Umeshakiri kuwa wewe ni kondoo mkia kiduchu Ndio nimekuambia hata Gen Z wanatekwa kila Siku 🐼

Ligi ya Matusi humshindi Genta😀
 
Nakubaliana tena ni ujinga. Sheria zipo wazi kabisa kuhusu ukamataji wa polisi
 
Kenya Watu wanatekwa kuliko Tanzania [emoji209]
Baada ya kuuliza juu ya kufutwa ulichokiandika kuhusu bunge nami mjamaa nimewauliza MODS ni kwanini wamefuta.....ndani ya dakika 3 ,post zangu mbili juu ya kuulizia post yako hiyo ,nimefutiwa....

#Hakika JMT milele
#Resty easy El Commandante mwenye heri ,Nyerere aaaamin[emoji7]
 
Baada ya kuuliza juu ya kufutwa ulichokiandika kuhusu bunge nami mjamaa nimewauliza MODS ni kwanini wamefuta.....ndani ya dakika 3 ,post zangu mbili juu ya kuulizia post yako hiyo ,nimefutiwa....

#Hakika JMT milele
#Resty easy El Commandante mwenye heri ,Nyerere aaaamin[emoji7]
😂😂😂
 
Ni bora kufia eneo la utekaji na mmoja wao kuliko kufungwa pingu na kuendatupwa mbuga za wanyama wakali au mito yenye mamba hata ndugu zako wasikuzike
 
Ni kweli kuna utekaji nchi hii ila ukisikiliza simulizi nyinhi za mashuhuda utakubaliana na mimi kwamba ukondooo wa Watanzania una play part kubwa sana huenda nusu yake.

Ukisikiliza shuhuda ni kwamba walikuja watu wakajitambulisha kwamba wao ni Polisi na wakaondoka na fulani, tukawaomba vitambulisho wakagoma kutoa na kuondoka na fulani.

Ukondoo wetu una changia sana utekaji na huenda hata watekaji huwa kinacho wapa nguvu niwanajua kwamba wabongo ni makondoo sana.

Wote tunakumbuka enzi za Magu kule Tarime kitu yule Peter Zakaria alicho wafanyia wasio julikana na mmoja wa wasio julikana hadi leo ni kilema kabisa aliharibiwa nyonga mazima.

Ule ni mfano mzuri sana alio uonyesha Peter Zakari tajiri wa kule Tarime, na wasio julikana hawatajaribu tena kwenda kumkamata kijinga jinga.

Tulipo fikia ni kutembea hata na mishale na mikuki, ili akama mtu unatekwa basi watekaji na wao wakasimulie , tusikubali kiwango hiki cha ukondoo, tutekwe yes ila baada ya mapambano makali sana.

Au mwenzetu anatekwa sisi tuna muangalia kisa tunawaogopa watekaji.

Walio enda kumteka Peter Zakaria walienda na Silaha wa ila jamaa alikomaa nao na hawatasahau milele.

Tutembee hata na silaha za jadi ambazo ni rajhisi na hazihitaji usajili tusitekwe kizembe sana kiasi hiki.

Mwisho kama mahakamani hakuna haki, watawala wanapuuza utekaji basi Model ya South Africa inaweza tusaidia sana, Street Justice.

Pia soma
Kuna dau kubwa sana huenda wamepewa wenye madaraka ndio maana yote haya yanatokea,mnyama mwenye chakula kinono huwa mkali sana ili asinyang'anywe.
 
Walipokataa kutoa vitambulisho mlango ungefungwa na kuwashughulikia ipasavyo. Tatizo tunaogopa mtutu wa bunduki. Wangekuwa ni Warudi au Wanyarandwa gari haingeondoka.
 
Hapana..

Tusifike huko....


Serikali yetu ya ujamaa na kujitegemea ipo kwa ajili yetu...naamini itaendelee kutulinda kama babu zetu walivyofanya matambiko kule Bagamoyo...[emoji7][emoji7]
Sera za Ujamaa zilishatupiliwa mbali na Mzee Rukhsa Enzi zile za Azimio la Zanzibar !!
Naona watu wanajifanya kusahau au wamejizima Data !

Tangu baada ya Azimio lile la Zanzibar ndipo Nchi ilipopoteza Dira na muelekeo wake mazima mpaka leo !!

Msimsingizie mwenye Heri !
Watu wanalishwa sana matangopori na Mafisadi waliozuka baada ya lile Azimio la Zinjibari !
Washeni Data Bandugu 😅😅😀
 
Ni kweli kuna utekaji nchi hii ila ukisikiliza simulizi nyinhi za mashuhuda utakubaliana na mimi kwamba ukondooo wa Watanzania una play part kubwa sana huenda nusu yake.

Ukisikiliza shuhuda ni kwamba walikuja watu wakajitambulisha kwamba wao ni Polisi na wakaondoka na fulani, tukawaomba vitambulisho wakagoma kutoa na kuondoka na fulani.

Ukondoo wetu una changia sana utekaji na huenda hata watekaji huwa kinacho wapa nguvu niwanajua kwamba wabongo ni makondoo sana.

Wote tunakumbuka enzi za Magu kule Tarime kitu yule Peter Zakaria alicho wafanyia wasio julikana na mmoja wa wasio julikana hadi leo ni kilema kabisa aliharibiwa nyonga mazima.

Ule ni mfano mzuri sana alio uonyesha Peter Zakari tajiri wa kule Tarime, na wasio julikana hawatajaribu tena kwenda kumkamata kijinga jinga.

Tulipo fikia ni kutembea hata na mishale na mikuki, ili akama mtu unatekwa basi watekaji na wao wakasimulie , tusikubali kiwango hiki cha ukondoo, tutekwe yes ila baada ya mapambano makali sana.

Au mwenzetu anatekwa sisi tuna muangalia kisa tunawaogopa watekaji.

Walio enda kumteka Peter Zakaria walienda na Silaha wa ila jamaa alikomaa nao na hawatasahau milele.

Tutembee hata na silaha za jadi ambazo ni rajhisi na hazihitaji usajili tusitekwe kizembe sana kiasi hiki.

Mwisho kama mahakamani hakuna haki, watawala wanapuuza utekaji basi Model ya South Africa inaweza tusaidia sana, Street Justice.

Pia soma
Watanzania wamekuwa wakitii bila shuruti nadhani sasa hawatakuwa na huo ukondoo, uking'atwa na nyoka ukiguswa na nyasi unashituka
 
Nimelikumbuka andiko hili baada ya Nondo kutekwa hii leo.
 
Mbona hawaendi kuteka watu tarime toka wafatuliwe risasi na Zakaria ?
 
Back
Top Bottom