Utekaji umeanza tena? Imam Mkuu wa msikiti wa GPB Geita atekwa

Nyie ndio waislamu jina nyie,uislamu wenyewe kabisa wanao hao Al kaida,Boko Haram n.k,kuutenganisha uislamu na ugaidi ni kazi ngumu mno.

Bada hujajibu swali, wapi uislamu unalazimisha mtu kusilimu?

Na una ushahidi gani vikundi hivyo vinafadhiliwa na uislamu?

Naomba ujibu maswali haya, usikimbie wala usitukane!
 
السبحن لله
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…