Maxmax72
JF-Expert Member
- Nov 6, 2018
- 549
- 1,027
Maisha Yako magumu usiyafanye kuwa hoja ya kuleta uchochezi wa kidini.Subiri tu, wanataka kulianzisha kama wale makafiri wa ant balaka sio! Watajuta, wamwachie haraka kabla hatujaamua jambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha Yako magumu usiyafanye kuwa hoja ya kuleta uchochezi wa kidini.Subiri tu, wanataka kulianzisha kama wale makafiri wa ant balaka sio! Watajuta, wamwachie haraka kabla hatujaamua jambo
Maisha Yako magumu usiyafanye kuwa hoja ya kuleta uchochezi wa kidini.
Kwahiyo tu mawakubali. Kuna mtu alichinjwa mbele ya mke wake huko Kilwa inasemekana mshikaji Kuna watu aliwapiga mpunga kutoka huko miaka ya nyumba hivyo walikuwa wanamsakaUzuri wa geita na watu wake ukiwakosea watakutafuta popote ulipo ulipie makosa yako. Hapo hakuna udini bali huyo kuna jambo kafanya
Uislam ni shida kila sehemu wanaleta patashika,hii dini ya kulazimisha watu wajiunge nayo ni ya Mungu kweli?
• Dahh, we jamaa una akili finyu sana.......Huku sio Mali au burma, fanyeni mfanyavyo ila mtakipata mnachokitaka, taifa hili asilimia kubwa ni waislamu,
So, kama na wewe ni mmoja wa watekaji basi mwachieni haraka, otherwise mnatangaza vita na waislamu
Nimemaliza!
Wewe ni mpumbavu.Imamu atekwe kwa impact gan..mwmbien achane umalaayaaa kwa wake za watu........
Usije kuwa ndio huyo ninaemzungumziaSijui lolote ninachojua geita hawana mchezo linapokuja swala la kuwakosea, kuna jamaa aliiba huko akakimbia wakamtafuta kama miezi mitano wakampata wilaya alioyokimbilia alikutwa kachinjwa na kukatwa katwa barua sijui ilifikaje polisi ikieleza kosa alilofanya
We falasWewe ni mpumbavu.
Mtapigwa mpaka muite maji mma pumbavu weweSubiri tu, wanataka kulianzisha kama wale makafiri wa ant balaka sio! Watajuta, wamwachie haraka kabla hatujaamua jambo
We mwache imamu akibinywa vizuri lazima ataje list naomba na huyo jamaa awemo• Dahh, we jamaa una akili finyu sana.......
• Wachochezi kama hao, ni kuwapoteza tuhh, hakuna kupoteza mda. [emoji2787]
Makobas, siyo watu wa kucheka nao kabisa...... Waharibifu wa amani inabidi waendelee kutekwa tu, ikiwezekana wafanyiwe neutralization.We mwache imamu akibinywa vizuri lazima ataje list naomba na huyo jamaa awemo
Safi kama alikuwa anatoa mafunzo ya imani kali apigwe chuma ya kichwa tu...ukicheza na wagu wa imani kali utavuna mabua hao kamata piga vyuma wakiwa wengi hao nchi haikalikiTAARIFA KWA UMMA WA KIISLAMU.
Jana Tulipokea Taarifa ya kutekwa kwa Ustaadh Abdulrahmaan Imam mkuu wa msikiti Wa GPB Shell Mtaa wa Nyankumbu Mji wa Geita.
Imam Abdulrahmaan Alitekwa akiwa anatoka msikiti kuswalisha Taraweh akiwa Ameambatana na mtoto wake wakiume.
Akiwa njiani aliitwa na watu wawili waliofunika nyuso zao wakiwa wamevaa kiraia na kuzungumza naye,Inasemekana kwa mashuhuda kuwa kulitokea mzozo baina yake na wao Jambo lililopelekea Wafyatue risasi Moja hewani na kisha wakamchukua wakamuweka kwenye gari na kuondoka naye
Zimefanyika Juhudi jana kutwa nzima za kumtafuta kwenye vituo vyote vya polisi lakini hakupatikana na Hajulikani alipo mpaka mda huu.
Pamekuwepo na Wimbi kubwa sana katika mji wa Geita la vijana walio mstari wa mbele katika harakati za dini kutekwa na kupotezwa, ni wakati sasa wa kupaza sauti zetu kama umma wa kiislamu.
Sijui lakini huko matukio ni mengi kwanza mengine hayaripotiwi kabisKwahiyo tu mawakubali. Kuna mtu alichinjwa mbele ya mke wake huko Kilwa inasemekana mshikaji Kuna watu aliwapiga mpunga kutoka huko miaka ya nyumba hivyo walikuwa wanamsaka
Hio ilitokea mwezi wa kumi na mbili mwaka janaUsije kuwa ndio huyo ninaemzungumzia
Hiyo ni tofautiHio ilitokea mwezi wa kumi na mbili mwaka jana