Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,010
- 4,083
Jaribu kama ayajakukuta ya huyo shekh bakoraWako ataendelea kupigwa kama unadhani utateka watu
Endeleeni mtaliwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaribu kama ayajakukuta ya huyo shekh bakoraWako ataendelea kupigwa kama unadhani utateka watu
Sawa......kwa kuwa linahusu mtu mwingine unachukulia poa.Wakati mwingine watu kama hao kuwapeleka mahakamani ni upotezaji wa mda
Watu wana wala kila siku mzeeJaribu kama ayajakukuta ya huyo shekh bakora
Endeleeni mtaliwa sana
Unesi (nursing), ukunga (midwifery) na harakati zako za udini wapi na wapi, chagua moja, hayo mambo hayaingiliani katuTAARIFA KWA UMMA WA KIISLAMU.
Jana Tulipokea Taarifa ya kutekwa kwa Ustaadh Abdulrahmaan Imam mkuu wa msikiti Wa GPB Shell Mtaa wa Nyankumbu Mji wa Geita.
Imam Abdulrahmaan Alitekwa akiwa anatoka msikiti kuswalisha Taraweh akiwa Ameambatana na mtoto wake wakiume.
Akiwa njiani aliitwa na watu wawili waliofunika nyuso zao wakiwa wamevaa kiraia na kuzungumza naye,Inasemekana kwa mashuhuda kuwa kulitokea mzozo baina yake na wao Jambo lililopelekea Wafyatue risasi Moja hewani na kisha wakamchukua wakamuweka kwenye gari na kuondoka naye
Zimefanyika Juhudi jana kutwa nzima za kumtafuta kwenye vituo vyote vya polisi lakini hakupatikana na Hajulikani alipo mpaka mda huu.
Pamekuwepo na Wimbi kubwa sana katika mji wa Geita la vijana walio mstari wa mbele katika harakati za dini kutekwa na kupotezwa, ni wakati sasa wa kupaza sauti zetu kama umma wa kiislamu.
Wasukuma wame fanyaje tena 😀Tusubirie taarifa rasmi ila wasukuma hawajawahi niangusha
Harakati za dini ndiyo kitu gani. Mtashughulikwa km mnaleta kiherehere cha kidini kujifanya mnajua dini kuliko waarabu wenyewe walioleta hiyo dini. Nafikiri atakuwa anafinywa ili atoe siri hamchelewi kuleta boko haramu hapa kwetu. Ila mjue vyombo vyetu vya ulinzi na usalama viko imara sanaTAARIFA KWA UMMA WA KIISLAMU.
Jana Tulipokea Taarifa ya kutekwa kwa Ustaadh Abdulrahmaan Imam mkuu wa msikiti Wa GPB Shell Mtaa wa Nyankumbu Mji wa Geita.
Imam Abdulrahmaan Alitekwa akiwa anatoka msikiti kuswalisha Taraweh akiwa Ameambatana na mtoto wake wakiume.
Akiwa njiani aliitwa na watu wawili waliofunika nyuso zao wakiwa wamevaa kiraia na kuzungumza naye,Inasemekana kwa mashuhuda kuwa kulitokea mzozo baina yake na wao Jambo lililopelekea Wafyatue risasi Moja hewani na kisha wakamchukua wakamuweka kwenye gari na kuondoka naye
Zimefanyika Juhudi jana kutwa nzima za kumtafuta kwenye vituo vyote vya polisi lakini hakupatikana na Hajulikani alipo mpaka mda huu.
Pamekuwepo na Wimbi kubwa sana katika mji wa Geita la vijana walio mstari wa mbele katika harakati za dini kutekwa na kupotezwa, ni wakati sasa wa kupaza sauti zetu kama umma wa kiislamu.
we ulitaka watangaze kwenye vyombo vya habari kwanzaHuyo hajatekwa, wamemchukua.
Ila sijui kwanini wanachukua watu kienyeji kienyeji tu.
we una degree ya wapi, ya Muslim University Morogoro?Na hizi ndiyo degree za Udsm,sua,mzumbe n.k hii nchi ina vijana wapumbavu aisee kama wewe
very right, watu waheshimu sheria uone km utanyooshewa hata kidoleKama uvunji sheria ni ngumu kutekwa.
Wake za watu,dhuluma kwenye Dili,mawaidha ya chuki na ugaidi,usimtafute mchawi.
Familia ijulishwe ili wasiteseke kuzunguka kwenye vituo vya polisiwe ulitaka watangaze kwenye vyombo vya habari kwanza
Anawafundisha Quran tuHuyo Imamu namfahamu ana mahubiri makali saana dhidi ya watu wasio waislamu tena anahubiri kwenye kipaza saut kuhusu ku dili na makafiri (hasa wakatoliki) vipi ile nyumba yake ya kule juu kuelekea msala wale vijana hua anawafundisha nn
MpandaMji upi mkuu
Je gari hakuna aliye note number au wote wanaogopa kutajaTAARIFA KWA UMMA WA KIISLAMU.
Jana Tulipokea Taarifa ya kutekwa kwa Ustaadh Abdulrahmaan Imam mkuu wa msikiti Wa GPB Shell Mtaa wa Nyankumbu Mji wa Geita.
Imam Abdulrahmaan Alitekwa akiwa anatoka msikiti kuswalisha Taraweh akiwa Ameambatana na mtoto wake wakiume.
Akiwa njiani aliitwa na watu wawili waliofunika nyuso zao wakiwa wamevaa kiraia na kuzungumza naye,Inasemekana kwa mashuhuda kuwa kulitokea mzozo baina yake na wao Jambo lililopelekea Wafyatue risasi Moja hewani na kisha wakamchukua wakamuweka kwenye gari na kuondoka naye
Zimefanyika Juhudi jana kutwa nzima za kumtafuta kwenye vituo vyote vya polisi lakini hakupatikana na Hajulikani alipo mpaka mda huu.
Pamekuwepo na Wimbi kubwa sana katika mji wa Geita la vijana walio mstari wa mbele katika harakati za dini kutekwa na kupotezwa, ni wakati sasa wa kupaza sauti zetu kama umma wa kiislamu.
Hawataki ujingaWasukuma wame fanyaje tena 😀
Hawa ndio unawapa picha tu anakuwa mwandishi wa hadithi kamiliKwenye ulimwengu wa ujasusi, vitu vidogo vinavyoonekana havimake sense ndiyo vinapaswa kupewa umakini.
Hatupaswi kupuuza kutekwa kwa shehe na kuja na hitimisho kama lako mkuu.
Huwezi kukuta huu ujinga makanisani lakini upande wa kobazi huamini /hushabikia sana chokochoko na misikiti ya aina hii ipo dar na inajulikana na vibwagizo vyao vya takbiir,allah akbar hivi allah(asiyefananishwa)kwa kauli hizi ashafananishwa tayari.Kwahiyo wanafikiri aliyekalia kiti akiwa Muislamu mwenzao basi wana uhalali wa kufanya watakayo hata kama linatishia amani ya nchi?
TAARIFA KWA UMMA WA KIISLAMU.
Jana Tulipokea Taarifa ya kutekwa kwa Ustaadh Abdulrahmaan Imam mkuu wa msikiti Wa GPB Shell Mtaa wa Nyankumbu Mji wa Geita.
Imam Abdulrahmaan Alitekwa akiwa anatoka msikiti kuswalisha Taraweh akiwa Ameambatana na mtoto wake wakiume.
Akiwa njiani aliitwa na watu wawili waliofunika nyuso zao wakiwa wamevaa kiraia na kuzungumza naye,Inasemekana kwa mashuhuda kuwa kulitokea mzozo baina yake na wao Jambo lililopelekea Wafyatue risasi Moja hewani na kisha wakamchukua wakamuweka kwenye gari na kuondoka naye
Zimefanyika Juhudi jana kutwa nzima za kumtafuta kwenye vituo vyote vya polisi lakini hakupatikana na Hajulikani alipo mpaka mda huu.
Pamekuwepo na Wimbi kubwa sana katika mji wa Geita la vijana walio mstari wa mbele katika harakati za dini kutekwa na kupotezwa, ni wakati sasa wa kupaza sauti zetu kama umma wa kiislamu.