Utekaji unavyofanyika hatua kwa hatua

Utekaji unavyofanyika hatua kwa hatua

Utawala wowote dhalimu unaoelekea ukingoni huwa kama mbogo aliyejerujiwa.. Hufanya mambo ya kikatili na ya kutisha sana ikiwemo
Kuteka wapinzani wake
Kuwatesa
Kuwajeruhi
Kuwatia ulemavu
Kuwaua
Kuwapoteza wasipatikane popote tena.. Hofu kubwa ikiwa ni kama watapoteza udhibiti basi wanajua wazi kitakachowapata hasahasa
Kufilisiwa mali walizopata kwa dhuluma, wizi na ufisadi
Kushitakiwa kwa wizi, mauaji na mateso
Kushtakiwa kwa kuvunja katiba na haki za binadamu na mengine mengi kama kufungwa kuwekwa kizuizini kuhukumiwa kunyongwa nk
Hofu hii huwapelekea kuunda vikundi vya utekaji
Vikundi vya utekaji
Vikundi vya mauaji
Jela za siri na nyumba za siri za mateso
Mfumo wao wa utendaji huwa hivi
Wafadhili/ watoa pesa
Wapanga Mipango
Wachora ramani
Watekelezaji.. Hawa huwa wa hatua mbalimbali kuteka kutesa kuua na kupoteza ushahidi
Kila kundi lina majukumu yake na malipo yake
Kati ya yote hayo makundi yanayoogopeka sana ni makundi ya mateso na mauaji

Haya ni vikosi maalum vyenye mafunzo maalum ya kutesa na kuua.. Ni binadamu nusu watu. Wasio na silika za utu wala hisia za maumivu na huruma..
Ni watu wenye background ngumu na ya kutisha sana.. Baadhi wakiwa wamepitia mateso makubwa udogoni ama kwenye mmmakuzi yao

Kundi la chini ni watu wa kawaida watoa taarifa.. Huwa utawakuta mitandaoni muda wote ama mitaani na kwenye makundi ya watu.. Ni wachangamfu sana wanaopenda kujenga urafiki na mazoea na watu kwa kwa haraka
Ni wepesi kuku follow mitandaoni
Ni wepesi kukutaka muwe marafiki
Ni wepesi kukuomba mawasiliano
Ni wepesi kutaka kufahamu maisha yako, shughuli zako makazi yako nk
Ni wepesi kutaka kujua misimano yako kisiasa nknk

Tuendelee
Hawa wakishapata habari zako vizuri na kuzifikisha kunakotakiwa hupokea malipo ya awali.. Na wakishakulengesha ukadakwa humaliziwa malipo yao bila kujali utaenda kukutana na nini huko mbeleni
Kundi la pili ni watekaji wenyewe hawa nao hukupeleka mahali husika na kukukabidhi kwa kundi la tatu.. Hawa kwa sehemu kubwa huwa ni waajiriwa wa mamlaka
Kundi la nne ndio kundi tendaji na la hatari zaidi.. Hili ndio linabeba hatima yako
Likutese hlikuachilie ukiwa na majeraha ya kawaida
Likutese likuache na ulemavu wa kudumu
Likutese kisha likumalize na kukupoteza milele ama liache mzoga wako mahali
Kundi la mwisho ni la kubeba maiti na kwenda kuzizika, kuzitupa ama kuzipoteza

Mbinu, mipango utekelezaji na bajeti hutofautiana kulingana na nyakati na mahitaji
Kuna baadhi ya nyakati kundi moja Hufanya Kazi zote ama kuna nyakati Kazi hugawanywa katika makundi mawili tuu.. Hii husaidia kuongeza usiri na kupunguza bajeti

Mwisho wa sehemu ya kwanza

Ila pia kuna watu wana akili zao hawataki wajinga watuletee tabu halafu nchi iharibike. Wanasema ukweli. Ingawa ukweli mpaka ueleweke inachukua muda mara nyingine.

Naamini tunaanza kujivua gamba. Tutaanza kuchagua viongozi kwa kuangalia uwezo wao na sio sura zao. Sura zimetudanganya.
Tunahangaika maana tumekwama. majuto mjukuuu
 
Ina maana serikali inatishia hadi wanjeshi wasiingie kwenye siasa? Walichofanyiwa walinzi wa Mbowe na huyu mzee Kibao ina maana serikali inatoa ujumbe kwa wanajeshi wasijihusishe na upinzani?

Wanajeshi hawana hata haja kuzuia maandamano ya tarehe 23, hivi hawaoni wananchi wanawatetea wao?

Licha ya kuitumikia nchi, wanakuja kuuwawa kikatili kisa tu wanajihusisha na upinzani, je nini maana ya demokrasia?

Mbona kuna wanajeshi wengi tu wastaafu wapo ccm, wengine wakuu wa mikoa.

Jeshi msikubali kudhalilishwa na mkubali wenzenu kuuawa kikaatili na kuteswa tena na polisi kisa siasa.

Kataeni, leo ni kwa mwenzako kesho ni ndugu yako, rafiki yako au mzazi...
Actualy hawaruhudisiwi wakiwa bado ni active members of the army, wakishatoka huko wanaruhusiwa. Mpaka kugombea

Ni sheria na zipo wazi
 
Utawala wowote dhalimu unaoelekea ukingoni huwa kama mbogo aliyejerujiwa.. Hufanya mambo ya kikatili na ya kutisha sana ikiwemo
Kuteka wapinzani wake
Kuwatesa
Kuwajeruhi
Kuwatia ulemavu
Kuwaua
Kuwapoteza wasipatikane popote tena.. Hofu kubwa ikiwa ni kama watapoteza udhibiti basi wanajua wazi kitakachowapata hasahasa
Kufilisiwa mali walizopata kwa dhuluma, wizi na ufisadi
Kushitakiwa kwa wizi, mauaji na mateso
Kushtakiwa kwa kuvunja katiba na haki za binadamu na mengine mengi kama kufungwa kuwekwa kizuizini kuhukumiwa kunyongwa nk
Hofu hii huwapelekea kuunda vikundi vya utekaji
Vikundi vya utekaji
Vikundi vya mauaji
Jela za siri na nyumba za siri za mateso
Mfumo wao wa utendaji huwa hivi
Wafadhili/ watoa pesa
Wapanga Mipango
Wachora ramani
Watekelezaji.. Hawa huwa wa hatua mbalimbali kuteka kutesa kuua na kupoteza ushahidi
Kila kundi lina majukumu yake na malipo yake
Kati ya yote hayo makundi yanayoogopeka sana ni makundi ya mateso na mauaji

Haya ni vikosi maalum vyenye mafunzo maalum ya kutesa na kuua.. Ni binadamu nusu watu. Wasio na silika za utu wala hisia za maumivu na huruma..
Ni watu wenye background ngumu na ya kutisha sana.. Baadhi wakiwa wamepitia mateso makubwa udogoni ama kwenye mmmakuzi yao

Kundi la chini ni watu wa kawaida watoa taarifa.. Huwa utawakuta mitandaoni muda wote ama mitaani na kwenye makundi ya watu.. Ni wachangamfu sana wanaopenda kujenga urafiki na mazoea na watu kwa kwa haraka
Ni wepesi kuku follow mitandaoni
Ni wepesi kukutaka muwe marafiki
Ni wepesi kukuomba mawasiliano
Ni wepesi kutaka kufahamu maisha yako, shughuli zako makazi yako nk
Ni wepesi kutaka kujua misimano yako kisiasa nknk

Tuendelee
Hawa wakishapata habari zako vizuri na kuzifikisha kunakotakiwa hupokea malipo ya awali.. Na wakishakulengesha ukadakwa humaliziwa malipo yao bila kujali utaenda kukutana na nini huko mbeleni
Kundi la pili ni watekaji wenyewe hawa nao hukupeleka mahali husika na kukukabidhi kwa kundi la tatu.. Hawa kwa sehemu kubwa huwa ni waajiriwa wa mamlaka
Kundi la nne ndio kundi tendaji na la hatari zaidi.. Hili ndio linabeba hatima yako
Likutese hlikuachilie ukiwa na majeraha ya kawaida
Likutese likuache na ulemavu wa kudumu
Likutese kisha likumalize na kukupoteza milele ama liache mzoga wako mahali
Kundi la mwisho ni la kubeba maiti na kwenda kuzizika, kuzitupa ama kuzipoteza

Mbinu, mipango utekelezaji na bajeti hutofautiana kulingana na nyakati na mahitaji
Kuna baadhi ya nyakati kundi moja Hufanya Kazi zote ama kuna nyakati Kazi hugawanywa katika makundi mawili tuu.. Hii husaidia kuongeza usiri na kupunguza bajeti

Mwisho wa sehemu ya kwanza
Umemaliza kila kitu.

Hivyo ndivyo ilivyo.
Bandiko lako hili ni darasa huru, kila mtu anapaswa kulielewa somo hili, ingawaje najua kwamba "wale jamaa' huko waliko watakuwa wanakukata jicho baya sana kwa sababu hili bandiko lako ni Kama vile 'umeuza ramani yao ya Vita kwa maadui zao.'
 
FB_IMG_1726183012998.jpg
 
Utawala wowote dhalimu unaoelekea ukingoni huwa kama mbogo aliyejerujiwa.. Hufanya mambo ya kikatili na ya kutisha sana ikiwemo
Kuteka wapinzani wake
Kuwatesa
Kuwajeruhi
Kuwatia ulemavu
Kuwaua
Kuwapoteza wasipatikane popote tena.. Hofu kubwa ikiwa ni kama watapoteza udhibiti basi wanajua wazi kitakachowapata hasahasa
Kufilisiwa mali walizopata kwa dhuluma, wizi na ufisadi
Kushitakiwa kwa wizi, mauaji na mateso
Kushtakiwa kwa kuvunja katiba na haki za binadamu na mengine mengi kama kufungwa kuwekwa kizuizini kuhukumiwa kunyongwa nk
Hofu hii huwapelekea kuunda vikundi vya utekaji
Vikundi vya utekaji
Vikundi vya mauaji
Jela za siri na nyumba za siri za mateso
Mfumo wao wa utendaji huwa hivi
Wafadhili/ watoa pesa
Wapanga Mipango
Wachora ramani
Watekelezaji.. Hawa huwa wa hatua mbalimbali kuteka kutesa kuua na kupoteza ushahidi
Kila kundi lina majukumu yake na malipo yake
Kati ya yote hayo makundi yanayoogopeka sana ni makundi ya mateso na mauaji

Haya ni vikosi maalum vyenye mafunzo maalum ya kutesa na kuua.. Ni binadamu nusu watu. Wasio na silika za utu wala hisia za maumivu na huruma..
Ni watu wenye background ngumu na ya kutisha sana.. Baadhi wakiwa wamepitia mateso makubwa udogoni ama kwenye mmmakuzi yao

Kundi la chini ni watu wa kawaida watoa taarifa.. Huwa utawakuta mitandaoni muda wote ama mitaani na kwenye makundi ya watu.. Ni wachangamfu sana wanaopenda kujenga urafiki na mazoea na watu kwa kwa haraka
Ni wepesi kuku follow mitandaoni
Ni wepesi kukutaka muwe marafiki
Ni wepesi kukuomba mawasiliano
Ni wepesi kutaka kufahamu maisha yako, shughuli zako makazi yako nk
Ni wepesi kutaka kujua misimano yako kisiasa nknk

Tuendelee
Hawa wakishapata habari zako vizuri na kuzifikisha kunakotakiwa hupokea malipo ya awali.. Na wakishakulengesha ukadakwa humaliziwa malipo yao bila kujali utaenda kukutana na nini huko mbeleni
Kundi la pili ni watekaji wenyewe hawa nao hukupeleka mahali husika na kukukabidhi kwa kundi la tatu.. Hawa kwa sehemu kubwa huwa ni waajiriwa wa mamlaka
Kundi la nne ndio kundi tendaji na la hatari zaidi.. Hili ndio linabeba hatima yako
Likutese hlikuachilie ukiwa na majeraha ya kawaida
Likutese likuache na ulemavu wa kudumu
Likutese kisha likumalize na kukupoteza milele ama liache mzoga wako mahali
Kundi la mwisho ni la kubeba maiti na kwenda kuzizika, kuzitupa ama kuzipoteza

Mbinu, mipango utekelezaji na bajeti hutofautiana kulingana na nyakati na mahitaji
Kuna baadhi ya nyakati kundi moja Hufanya Kazi zote ama kuna nyakati Kazi hugawanywa katika makundi mawili tuu.. Hii husaidia kuongeza usiri na kupunguza bajeti

Mwisho wa sehemu ya kwanza
Hakika Mungu atawaangamiza....
 
Ina maana serikali inatishia hadi wanjeshi wasiingie kwenye siasa? Walichofanyiwa walinzi wa Mbowe na huyu mzee Kibao ina maana serikali inatoa ujumbe kwa wanajeshi wasijihusishe na upinzani?

Wanajeshi hawana hata haja kuzuia maandamano ya tarehe 23, hivi hawaoni wananchi wanawatetea wao?

Licha ya kuitumikia nchi, wanakuja kuuwawa kikatili kisa tu wanajihusisha na upinzani, je nini maana ya demokrasia?

Mbona kuna wanajeshi wengi tu wastaafu wapo ccm, wengine wakuu wa mikoa.

Jeshi msikubali kudhalilishwa na mkubali wenzenu kuuawa kikaatili na kuteswa tena na polisi kisa siasa.

Kataeni, leo ni kwa mwenzako kesho ni ndugu yako, rafiki yako au mzazi...
Andiko la mtoa mada linajieleza, anguko likikaribia, uovu ukifikia mwisho, basi dalili zake ndo hizo.....
 
Sehemu ya pili na ya mwisho
Zimwi likujualo halikuli likakwisha (likakumaliza)
Tawala nyingi dhalimu huanza vema kabisa lakini kadiri zinavyozidi kukaa madarakani hunogewa na kuanza kuharibu
Sasa badala ya kujisahihisha wanapokosea wao huanza kushughulika na wanao wakosoa.. Mwanzoni hutumia sheria kwa majibu wa katiba lakini baadae hutunga sheria kandamizi ili kuwalinda na mwishowe huanza kuteka na kupoteza wakosoaji wake
Japo ni mabaya sana haya lakini kidogo hao dhalimu huwa na woga pia.. Wanafanya kwa tuo
Shida inakuja pale ambapo wakiwa madarakani wakapata marafiki wabaya wenye nia ovu
Hawa huja kwa mlango wa Urafiki na kukusaidia hapa na pale.. Sasa ukikubali tu kumkaribisha umekwisha
Kwa ghiliba na utapeli atachukua kila anachoona kinamfaa kwenye kaya yako na kwakuwa atakuwa amekufunga mdomo na mikono kwa gia ya urafiki na misaada anayokupatia unakuwa huna jinsi bali kumsikiliza yeye tuu. Mwishowe unakuwa mateka wake
Kuna Wakati kuna tawala zinasoma alama za nyakati na kuamua kutaka kuondoka lakini zinashindwa kutokana na kuwa mateka wa marafiki Wwabaya
Hawa wanatambua fila ukiondoka wewe nao wamekwisha, sasa wanaweza kukusaidia kubaki madarakani hata kwa mtutu wa bunduki na kufadhili makundi ya kuteka na kuua kila anayeonekana ni tishio kwako
Kibaya zaidi ni kwamba wao hawaonekani wamejificha nyuma yako.. Kwahiyo ubaya wote utakujia wewe! Lakini kufikia hapo huna namna maana umeshatekwa .. Meno NINGEJUA huja mwishoni na majuto mengi
Mungu baba IbarikiTanganyika na watu wake wote... Wema na wabaya
 
Back
Top Bottom