Pre GE2025 Utekaji wamliza Makonda

Pre GE2025 Utekaji wamliza Makonda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
593
Reaction score
1,376
1706477445819.png

"Mbona Polisi mnawaonea sana watu maskini, mtu ametekwa miaka mitatu iliyopita, eneo lake limechukuliwa na mtuhumiwa mnayemjua na kujengwa kiwanda lakini hamchukui hatua yoyote".

"Basi kama mnashindwa kumtafuta mtu aliyetekwa, mmeshindwa hata kutenda haki kwa kumrudishia eneo lake ambalo Takukuru imethibitisha kwamba wanalimiki kihalali mjane wake? Hapana msifanye hivyo"!

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP Janeth Magomi amethibitisha kuitambua kesi hiyo na kubainisha kuwa Jalada la Kesi hiyo iliyofunguliwa miezi mitatu iliyopita lipo kwa Mwedesha Mashitaka Mkuu wa Serikali DPP.

Hoja hizo zimemfanya Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo CCM Paul Makonda kushikwa na simanzi, kulia na kushindwa kuendelea kusikiliza kero za wananchi wa Tinde Mkoani Shinyanga.


Clouds TV
 

"Mbona Polisi mnawaonea sana watu maskini, mtu ametekwa miaka mitatu iliyopita, eneo lake limechukuliwa na mtuhumiwa mnayemjua na kujengwa kiwanda lakini hamchukui hatua yoyote".

"Basi kama mnashindwa kumtafuta mtu aliyetekwa, mmeshindwa hata kutenda haki kwa kumrudishia eneo lake ambalo Takukuru imethibitisha kwamba wanalimiki kihalali mjane wake? Hapana msifanye hivyo"!

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP Janeth Magomi amethibitisha kuitambua kesi hiyo na kubainisha kuwa Jalada la Kesi hiyo iliyofunguliwa miezi mitatu iliyopita lipo kwa Mwedesha Mashitaka Mkuu wa Serikali DPP.

Hoja hizo zimemfanya Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo CCM Paul Makonda kushikwa na simanzi, kulia na kushindwa kuendelea kusikiliza kero za wananchi wa Tinde Mkoani Shinyanga.


Clouds TV
Hivi ni vichekesho, labda analia kwa jamaa kuteja kizembe, maana hii ni fani yake.
Roma bado yuko nje kwa hofu.
Mo ameamua kutunza siri.

Yule jamaa aliyemnyang'anya Range yaje naye anamzoom tu
 

"Mbona Polisi mnawaonea sana watu maskini, mtu ametekwa miaka mitatu iliyopita, eneo lake limechukuliwa na mtuhumiwa mnayemjua na kujengwa kiwanda lakini hamchukui hatua yoyote".

"Basi kama mnashindwa kumtafuta mtu aliyetekwa, mmeshindwa hata kutenda haki kwa kumrudishia eneo lake ambalo Takukuru imethibitisha kwamba wanalimiki kihalali mjane wake? Hapana msifanye hivyo"!

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga ACP Janeth Magomi amethibitisha kuitambua kesi hiyo na kubainisha kuwa Jalada la Kesi hiyo iliyofunguliwa miezi mitatu iliyopita lipo kwa Mwedesha Mashitaka Mkuu wa Serikali DPP.

Hoja hizo zimemfanya Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo CCM Paul Makonda kushikwa na simanzi, kulia na kushindwa kuendelea kusikiliza kero za wananchi wa Tinde Mkoani Shinyanga.


Clouds TV
Hahahahaa wacha nicheke
 
Makonda aache unafiki. Mbona yeye kawateka na kuwaua akina Ben Sa8, Mkomoro, Azory Gwanda n.k ?

Ipo siku huyu Makonda atakufa mdomo wazi kwa madhambi yake haya.
Kwani akifa kafunga mdomo anarudi?
 
Ziara ya muenezi Paul Makonda imeibua simanzi taifa zima.

Taifa na dola (state) inabidi lijisasahihishe kupinga uovo. Machozi pekee yake au kuwatwisha viongozi wa kidini jukumu la kuongoza uadilifu wa kondoo wao au kuungama mbele ya viongozi wa kidini haitoshi. Mfumo wa haki jinai unatakiwa utekeleza majukumu yake bila kumuangalia huyu ni kigogo au raia mnyonge.

Kila raia na kiongozi sasa wachukue hatua kukemea maovu, ama sivyo vilio vya kukosekana haki vitaendelea kusikia na havitasaidia kukomesha maovu ikiwa hatua hazitachukuliwa kwa mujibu wa sheria.



PICHA MAKTABA
1706480035422.png
 
Katibu muenezi akishauri chama chake kongwe dola kuchukua hatua thabiti. Ombudsman office yaani tume ya uchuguzi ipo, NPS ipo, makao makuu ya Polisi kuratibu utendaji wa Polisi kitengo kipo, Wizara ya Mambo ya Ndani bila kusahau Sheria na Katiba, kamati ya ulinzi na usalama chini ya mkuu wa mkoa na wilaya zipo

Tatizo ni mfumo na utashi ndiyo haupo katika ofisi husika za serikali. Viongozi wa kidini wanahusishwa ktk shughuli mbalimbali za kiserikali kuombea amani na matendo mema. Sasa mzigo umetua katika ngazi za maamuzi za ofisi za serikali kwa utekelezaji.
1706481358473.png

Picha maktaba : "TULINDE NCHI yetu FUJO ISITOKEE, TUMEANZA KUONA VIASHIRIA" - KAMATI YA AMANI YATOA TAMKO


PICHA TOKA MAKTABA:

1706480995346.png
 
Back
Top Bottom