- Thread starter
- #21
Wanaccm wenzio wanaona kama unawasaliti unavyomtetea RaisNa nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaccm wenzio wanaona kama unawasaliti unavyomtetea RaisNa nani?
Sio wa kulia wala kushoto katiCCM ni Chama chenye mrengo wa mashetani.
Kimetoka huko labda Samia akiokoe.Sio wa kulia wala kushoto kati
ni kweli uko sahihi.Wakuu mambo si mambo. Kila goti sasa litapigwa. Na kila neno lilokuwa halijasemwa sasa litasemwa.
Ilani ya Chama cha mapinzduzi kama zilivyo ilani za vyama vingine vya kisiasa ndio hutoa picha halisi ya namna Nchi itakavyopiga hatua kimaendeleo na ktk nyanja zingine za maisha.
Huwezi kupanda maharage ukatarajia kuvuna Maepo.
Nchi sasa ni dhahiri shahiri iko ktk hali mbaya ya kiuchumi. Kwa hili hawatasema ukweli wala usiangalie data za kwenye maandishi. Hali ni mbaya kila kona.
Tofauti ya sasa na ile ya awamu ya tano ni kuwa angalau tunapewa nafasi ya kulalamika.Awamu ya tano ukisikika ukisema vyuma vimekaza basi jiandae kulala segerea. Leo wale wakamatishaji wa vyuma kukaza na wao wanalialia eti Tozo.
Ukweli ni kuwa Ilani ya Ccm ni mbovu na nyote mmkekuwa mashahidi sasa. Si mwanaccm wala asiyena chama tunakubali kwa pamoja kuwa ccm na ilani yake imeleta matokeo mabovu tena ya hovyo.
Sasa milo sio miwili tena inaenda kuwa mmoja au kukosa kabisa.
Ilani ya Ccm imeshindwa kwenye
1. Siasa za maendeleo
2. Kilimo....njaa kila kona
3. Umeme na nishati.
4. Afya na ustawi wa jamii.
5. Miundombinu na mazingira
6. Haki na uwajibikaji.
7. Rushwa na ufisadi
8.Teknolojia na mawasiliano
9. Mali asili na hifadhi ya jamii
10. Elimu na ujuzi
Chanzo cha yoote ni
a) kuhendekeza siasa za chuki badala ya kujikita kwenye siasa za haki na kuleta maendeleo.
b) kuwekeza nguvu nyingi kuua vyama vya siasa badala ya kumaliza umaskini
C) Kuwekeza sheria nyingi za kudhibiti watoa taarifa za ufisadi na wizi badala ya kupambana na wezi
d) Kupenda sifa binafsi badala ya sif za kitaifa
e) Kuteua viongozi wasio na uwezo kwa maslahi ya kikundi cha watu wachache mfano bunge limejaa waliopita bila kupingwa wasio na uwezo wa kuisimamia serikali.
f) matumizi mabaya ya .........!.( sote tumeelewa)
g) Kukosa mahakama huru ambapo tunaweza kuwawajibisha viongozi wasiofaa
h) kukosa tume huru ya uchaguzi, hivyo viongozi hawana hofu yoyote na wala hawaoni umuhimu wa kuwajibika ipasavyo( wako confort zone, hata tulie vipi hawana habari)
i)Kukosa Katiba Bora katiba mpya.
Eti nasikia kuna watu wa chama fulani wao wamepewa Kuponi za Hati Punguzo, eti kila wanapoenda kununua bidhaa wanapewa bei nafuu wakionesha kadi zao za Chama.
Karibuni Tuendelee kutoa machozihata tufanye nini hawatasikia, na uchaguzi mkuu 2025 wako Happy kabisa hakuna wa kuwababaisha na watarudi kama safu yao ilivyo.
Kama unaona vyuma vimekaza- weka girisi.
Acha utaahiraWanaccm wenzio wanaona kama unawasaliti unavyomtetea Rais
Mi nakushtua wewe unanitukana?Acha utaahira
Inayoendela ni ile ile ya awamu ya tano yenye page 300 kwa mujibu wa PolepoleMkuu tusaidie hiyo ilani ya awamu ya sita tuipitie.