Utekelezaji Usioridhisha wa Mradi wa Uzalishaji wa Sukari Mbigiri

Utekelezaji Usioridhisha wa Mradi wa Uzalishaji wa Sukari Mbigiri

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Mradi wa Uzalishaji wa Sukari Mbigiri ambao unamilikiwa na kampuni tanzu ya Mkulazi uliyopo Wilayani Kilosa, Mkoani Morogoro una lengo la kuzalisha sukari tani 50,000 kwa mwaka. CAG alibaini mapungufu katika utekelezaji wa mradi huu kama ifuatavyo;

a). Kampuni ya Mkulazi kushindwa kusimika mtambo wa kuchakata sukari kwa wakati. Hii ni kinyume na mkataba wa mwaka 2018 uliosainiwa kati ya kampuni ya Mkulazi, Benki ya Azania na Chama cha Ushirika cha Kati cha Magole uliokuwa na lengo la kukuza mnyororo wa thamani wa sukari kwa kuanzisha mahusiano baina ya wakulima, benki na kampuni.

Kulingana na mkataba, kampuni ya Mkulazi ilitakiwa kusimika mtambo wa kuchakata sukari ili benki iweze kutoa mkopo kwa wakulima. Hadi mwezi Disemba 2020, kampuni ya Mkulazi ilikuwa haijasimika mtambo huo wakati wakulima walikuwa wameshaanza kulima miwa na imeshakomaa kwa matumizi ya utengenezaji wa sukari.

b) Kampuni ya Mkulazi haikuweza kusimamia utendaji wa wakulima wanaouzunguka mradi kwa kuwapatia ushauri wa kiutaalamu ili kuhakikisha uwepo wa miwa ya kutosha na yenye ubora kwa ajili ya kiwanda. Hii ni kinyume na Sera ya kilimo ya mwaka 2013 inayotaka kila unapofanyika uwekezaji mkubwa wa Kilimo kuhakikisha kwamba unawanufaisha wananchi wa eneo linalozunguka uwekezaji huo.

Ripoti ya Uwajibikaji 2021.
 
Mradi wa Uzalishaji wa Sukari Mbigiri ambao unamilikiwa na kampuni tanzu ya Mkulazi uliyopo Wilayani Kilosa, Mkoani Morogoro una lengo la kuzalisha sukari tani 50,000 kwa mwaka. CAG alibaini mapungufu katika utekelezaji wa mradi huu kama ifuatavyo;

a). Kampuni ya Mkulazi kushindwa kusimika mtambo wa kuchakata sukari kwa wakati. Hii ni kinyume na mkataba wa mwaka 2018 uliosainiwa kati ya kampuni ya Mkulazi, Benki ya Azania na Chama cha Ushirika cha Kati cha Magole uliokuwa na lengo la kukuza mnyororo wa thamani wa sukari kwa kuanzisha mahusiano baina ya wakulima, benki na kampuni.

Kulingana na mkataba, kampuni ya Mkulazi ilitakiwa kusimika mtambo wa kuchakata sukari ili benki iweze kutoa mkopo kwa wakulima. Hadi mwezi Disemba 2020, kampuni ya Mkulazi ilikuwa haijasimika mtambo huo wakati wakulima walikuwa wameshaanza kulima miwa na imeshakomaa kwa matumizi ya utengenezaji wa sukari.

b) Kampuni ya Mkulazi haikuweza kusimamia utendaji wa wakulima wanaouzunguka mradi kwa kuwapatia ushauri wa kiutaalamu ili kuhakikisha uwepo wa miwa ya kutosha na yenye ubora kwa ajili ya kiwanda. Hii ni kinyume na Sera ya kilimo ya mwaka 2013 inayotaka kila unapofanyika uwekezaji mkubwa wa Kilimo kuhakikisha kwamba unawanufaisha wananchi wa eneo linalozunguka uwekezaji huo.

Ripoti ya Uwajibikaji 2021.
Pendekezo lako ni nini??
 
Mradi wa Uzalishaji wa Sukari Mbigiri ambao unamilikiwa na kampuni tanzu ya Mkulazi uliyopo Wilayani Kilosa, Mkoani Morogoro una lengo la kuzalisha sukari tani 50,000 kwa mwaka. CAG alibaini mapungufu katika utekelezaji wa mradi huu kama ifuatavyo;

a). Kampuni ya Mkulazi kushindwa kusimika mtambo wa kuchakata sukari kwa wakati. Hii ni kinyume na mkataba wa mwaka 2018 uliosainiwa kati ya kampuni ya Mkulazi, Benki ya Azania na Chama cha Ushirika cha Kati cha Magole uliokuwa na lengo la kukuza mnyororo wa thamani wa sukari kwa kuanzisha mahusiano baina ya wakulima, benki na kampuni.

Kulingana na mkataba, kampuni ya Mkulazi ilitakiwa kusimika mtambo wa kuchakata sukari ili benki iweze kutoa mkopo kwa wakulima. Hadi mwezi Disemba 2020, kampuni ya Mkulazi ilikuwa haijasimika mtambo huo wakati wakulima walikuwa wameshaanza kulima miwa na imeshakomaa kwa matumizi ya utengenezaji wa sukari.

b) Kampuni ya Mkulazi haikuweza kusimamia utendaji wa wakulima wanaouzunguka mradi kwa kuwapatia ushauri wa kiutaalamu ili kuhakikisha uwepo wa miwa ya kutosha na yenye ubora kwa ajili ya kiwanda. Hii ni kinyume na Sera ya kilimo ya mwaka 2013 inayotaka kila unapofanyika uwekezaji mkubwa wa Kilimo kuhakikisha kwamba unawanufaisha wananchi wa eneo linalozunguka uwekezaji huo.

Ripoti ya Uwajibikaji 2021.
Kiuhalisia huu mradi kuna watu wametafuna hela wakachongeana na sasa tunaona fedha za wanachama wa NSSF zilivyotafunwa.

Nashauri Rais wetu kipenzi Mhe. Samia Suluhu Hassan awashughulikie wahusika wote uongozi wake usiingizwe au kuchafuliwa kwa ufisadi!

Mifuko ya Hifadhi ya Jamii imejaza mafisadi na wengine wamepewa madaraka mbalimbali kupitia teuzi ila ukweli Mungu anawaona!!

Niseme tu! Kila chozi la mstaafu au mtumishi aliyeonewa na kufhalilishwa na viongozi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii Mungu atajibu tu! Mungu huwa hawahi wala hachelewi!

Queen Esther
 
Hiki kiwanda kimeanza kufanya kazi?
Mradi wa Uzalishaji wa Sukari Mbigiri ambao unamilikiwa na kampuni tanzu ya Mkulazi uliyopo Wilayani Kilosa, Mkoani Morogoro una lengo la kuzalisha sukari tani 50,000 kwa mwaka. CAG alibaini mapungufu katika utekelezaji wa mradi huu kama ifuatavyo;

a). Kampuni ya Mkulazi kushindwa kusimika mtambo wa kuchakata sukari kwa wakati. Hii ni kinyume na mkataba wa mwaka 2018 uliosainiwa kati ya kampuni ya Mkulazi, Benki ya Azania na Chama cha Ushirika cha Kati cha Magole uliokuwa na lengo la kukuza mnyororo wa thamani wa sukari kwa kuanzisha mahusiano baina ya wakulima, benki na kampuni.

Kulingana na mkataba, kampuni ya Mkulazi ilitakiwa kusimika mtambo wa kuchakata sukari ili benki iweze kutoa mkopo kwa wakulima. Hadi mwezi Disemba 2020, kampuni ya Mkulazi ilikuwa haijasimika mtambo huo wakati wakulima walikuwa wameshaanza kulima miwa na imeshakomaa kwa matumizi ya utengenezaji wa sukari.

b) Kampuni ya Mkulazi haikuweza kusimamia utendaji wa wakulima wanaouzunguka mradi kwa kuwapatia ushauri wa kiutaalamu ili kuhakikisha uwepo wa miwa ya kutosha na yenye ubora kwa ajili ya kiwanda. Hii ni kinyume na Sera ya kilimo ya mwaka 2013 inayotaka kila unapofanyika uwekezaji mkubwa wa Kilimo kuhakikisha kwamba unawanufaisha wananchi wa eneo linalozunguka uwekezaji huo.

Ripoti ya Uwajibikaji 2021.
 
Back
Top Bottom