Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi imekaaje hayo nifafanulie kidogo kama mfano gari ni usd 2800 japani na ni 1500cc inakuwaje tra calculator1.Magari ya umeme kuwa 0% taxed
2.Gari za 2000cc au chini kuchajiwa 5% ya CIF tu kama ushuru.
3.Gari za zaidi ya 2000cc kupigwa ushuru wa 10%.
Je, haya yatekelezeka kweli au ndio kiki za kisiasa tu?
Mfano CIF ikiwa $3,000 maana yake watakupiga 5% ya hio hela kama ushuru. Maana yake ushuru utakuwa $150. Hicho ndio kinanipa hofuHivi imekaaje hayo nifafanulie kidogo kama mfano gari ni usd 2800 japani na ni 1500cc inakuwaje tra calculator
Tarehe 1 July1.Magari ya umeme kuwa 0% taxed
2.Gari za 2000cc au chini kuchajiwa 5% ya CIF tu kama ushuru.
3.Gari za zaidi ya 2000cc kupigwa ushuru wa 10%.
Je, haya yatekelezeka kweli au ndio kiki za kisiasa tu?View attachment 2658962
Unamaanisha ushuru kabla ya kodi au ?Mfano CIF ikiwa $3,000 maana yake watakupiga 5% ya hio hela kama ushuru. Maana yake ushuru utakuwa $150. Hicho ndio kinanipa hofu
1. Magari ya umeme kuwa 0% taxed.
2. Gari za 2000cc au chini kuchajiwa 5% ya CIF tu kama ushuru.
3. Gari za zaidi ya 2000cc kupigwa ushuru wa 10%.
Je, haya yatekelezeka kweli au ndio kiki za kisiasa tu?
View attachment 2658962
Kunahitaji moyo wa kisiki cha mpingo kuiamini mipango ya serikali ya ccm1. Magari ya umeme kuwa 0% taxed.
2. Gari za 2000cc au chini kuchajiwa 5% ya CIF tu kama ushuru.
3. Gari za zaidi ya 2000cc kupigwa ushuru wa 10%.
Je, haya yatekelezeka kweli au ndio kiki za kisiasa tu?
View attachment 2658962
....CHAWA Utawajua TU !..ondoa shaka ccm ni makini sana wachana na mamluki wa chadema
Tanzania wanasiasa watakupoteza wanapitisha sera mpya lakini sheria zinazo tumika kuilinda sera hiyo nizazamani matokeo yake sera mpya hushindwa kutekelezeakaHivi imekaaje hayo nifafanulie kidogo kama mfano gari ni usd 2800 japani na ni 1500cc inakuwaje tra calculator
Nunua nyingi kabla ya tarehe 1Flash memory card tozo...... Aseee bei ilikuwa nzuri hapo kabla sasa bei itapaaaa juuuu. Ccm akili imefika mwisho
Hayo ni maombi ya waziri wa fedha, bajeti haijapita bado, kuna mjadala utaanza jumatatu kwa nchi zinazojitambuwa wabunge wanapaswa kutowa maoni ya marekebisho na waziri wa fedha afanye marekebisho kabla ya spika hajawahoji mbunge mmoja mmoja kupiga kura ya ndio au hapana.1. Magari ya umeme kuwa 0% taxed.
2. Gari za 2000cc au chini kuchajiwa 5% ya CIF tu kama ushuru.
3. Gari za zaidi ya 2000cc kupigwa ushuru wa 10%.
Je, haya yatekelezeka kweli au ndio kiki za kisiasa tu?
View attachment 2658962
Usiwasikilize hao gari lako litapigwa mnada bandarini.Ndio kifungu kinavyosema hapo.
Watekeleze hayo mapendekezo tu. Kuna vyuma sana toka kampuni ya BYD.Hayo ni maombi ya waziri wa fedha, bajeti haijapita bado, kuna mjadala utaanza jumatatu kwa nchi zinazojitambuwa wabunge wanapaswa kutowa maoni ya marekebisho na waziri wa fedha afanye marekebisho kabla ya spika hajawahoji mbunge mmoja mmoja kupiga kura ya ndio au hapana.
Ila kwa Ccm ndio imeisha hiyo, hiyo ndio bajeti halisi wanasubiliwa wabunge Jumatatu waanze vibweka vya kusifia uwekezaji wa DP badala ya kujadili bajeti ya nchi.
Tumeliwa.