Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hebu nipe link yao nipitie.Watekeleze hayo mapendekezo tu. Kuna vyuma sana toka kampuni ya BYD.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu nipe link yao nipitie.Watekeleze hayo mapendekezo tu. Kuna vyuma sana toka kampuni ya BYD.
Wewe utakua unasoma udizimu, haujui hii ni bajeti ya mwaka gani!1. Magari ya umeme kuwa 0% taxed.
2. Gari za 2000cc au chini kuchajiwa 5% ya CIF tu kama ushuru.
3. Gari za zaidi ya 2000cc kupigwa ushuru wa 10%.
Je, haya yatekelezeka kweli au ndio kiki za kisiasa tu?
View attachment 2658962
Chadema ndio wameandaa ripoti ya budget..?ondoa shaka ccm ni makini sana wachana na mamluki wa chadema
wanatafuta mahali pa kupumilia 2025 wameshapima nguvu ya upepo inaweza kupasua tangaKunahitaji moyo wa kisiki cha mpingo kuiamini mipango ya serikali ya ccm
Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema ndio wameandaa ripoti ya budget..?
Tujikite kwenye mada kaka mkubwa
Siyo kwamba hapa umechanganya tarakimu? Ngoja nirudie takwimu!2. Gari za 2000cc au chini kuchajiwa 5% ya CIF tu kama ushuru.
3. Gari za zaidi ya 2000cc kupigwa ushuru wa 10%.
Avatar yako ipi..? Inafanana na yako hiyoMbona umeiba avatar yangu?
Kwani hakuna picha zingine?
Mimi nimeitumia tangu mwaka 2015.
Tena kwa mapambio na vijembe kwa wale wanaotoa ushauri wenye maishiko amboa wao kwasabaubu ya unyumbu wataupinga, (unyumbu ni tabia ya watu ambao wanauwezo mzuri wa kufikiri lakini huahirisha kufikiri kwasabu ya kulinda malirahi ya kundi fulani, (CCM) au uoga. Herding behavior is an occurrence of thoughtful people suspending their reasoning because of group objective, (conflict of interest) or fear, in this case fearing their leadersHayo ni maombi ya waziri wa fedha, bajeti haijapita bado, kuna mjadala utaanza jumatatu kwa nchi zinazojitambuwa wabunge wanapaswa kutowa maoni ya marekebisho na waziri wa fedha afanye marekebisho kabla ya spika hajawahoji mbunge mmoja mmoja kupiga kura ya ndio au hapana.
Ila kwa Ccm ndio imeisha hiyo, hiyo ndio bajeti halisi wanasubiliwa wabunge Jumatatu waanze vibweka vya kusifia uwekezaji wa DP badala ya kujadili bajeti ya nchi.
Tumeliwa.
Hauwezi kusoma vyuo vya kiume kisha haujui bajeti ya mwaka husika itaanza kutumika mwaka gani.Udizimu wanasoma wauza sura na ma slay kwini, mimi nimesoma vyuo vya kiume tu.
Ni bajeti ya 2023/2024, pengine itakuwa kuanzia Julai 1, unapoanza mwaka wa kifedha wa serikali.1. Magari ya umeme kuwa 0% taxed.
2. Gari za 2000cc au chini kuchajiwa 5% ya CIF tu kama ushuru.
3. Gari za zaidi ya 2000cc kupigwa ushuru wa 10%.
Je, haya yatekelezeka kweli au ndio kiki za kisiasa tu?
View attachment 2658962
Acheni kutumia muda mwingi kubeti, mwaka wa serikali huanza tarehe moja mwezi wa saba na kumalizika mwisho wa mwezi wa sita.Ni bajeti ya 2023/2024, pengine itakuwa kuanzia Julai 1, unapoanza mwaka wa kifedha wa serikali.
Mbona Tanzania zipo nyingi tu ambazo watu wamebadili mfumo wa awali wa mafuta na kuwa wa umeme.Sasa nikinunua gari la umeme vp miundombinu ya kupichaji itakuwaje kwa hapa TZ?
Nilisikia magari ya umeme mfumo wake wa kuyachaji ni tofauti na Lazima kuwe na chaji special
#Tesla
#BYD
Chaji special unafungiwa na Tanesco tu kwako. Inachukuliwa kwenye nguzo 🤣🤣🤣Sasa nikinunua gari la umeme vp miundombinu ya kupichaji itakuwaje kwa hapa TZ?
Nilisikia magari ya umeme mfumo wake wa kuyachaji ni tofauti na Lazima kuwe na chaji special
#Tesla
#BYD