Utekelezaji wa ukusanyaji wa kodi ya majengo kupitia mita za luku

Utekelezaji wa ukusanyaji wa kodi ya majengo kupitia mita za luku

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA )kwa Kushirikiana na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) tunapenda toa ufafanuzi kuhusiana na Utekelezaji wa ukusanyaji wa kodi ya majengo kwa kutumia njia ya ununuzi wa umeme kwa wamiliki wa majengo ya Ghorofa kama kiambatanisho hapa
View attachment 2610047
Nyinyi TRA Tanzania bado mna matatizo. Wakati mnaanzisha hii sheria yenu, tulikubaliana jengo lenye mita zaidi ya moja halitakiwi kukatwa kodi zaidi!

Wateja wamekuja kwenye ofisi zenu, wamejaza fomu za kuondoa makato kwenye hizo mita nyingine! Cha kushangaza bado mnaendelea kukata kila mwezi. Huu ni wizi.
 
Back
Top Bottom