Utekwaji wa mabasi ya abiria: Imewahi kukukuta hii?

Utekwaji wa mabasi ya abiria: Imewahi kukukuta hii?

karv

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2019
Posts
1,802
Reaction score
3,253
Naomba na mimi nitoe uzi kuhusu haya mambo ya kutekwa kwa mabasi ya abiria miaka ya 2000.

Baada ya kufuluzwa shule za kata ikabidi brother anichukue niende Kagera kusomea huko; nikapanda zangu ndinga saaafi. Ilikuwa ni Mohamed Trans kwa kuwa ilikuwa ndio mara yangu ya kwanza kwenda Kagera -- ushamba ulikuwa mwingi sana.

Baada ya safari ndefu, kufika Kahama tukapoa. Nilipouliza wakasema mbele kuna msitu wanateka sana magari, kwa akili za kitoto sikulitilia maanani.

Basi asubuhi tukaendelea na safari. Baada ya kama ya nusu saa wakapanda mapolisi wawili wakiwa na mitutu ya bunduki (SMG) tukaenda nao. Baada ya muda wakashuka.

Baada ya kufika huko Karagwe ikabidi niwaulize wenyeji kuhusu hilo suala ndio wakaanza kunipa story kama ifuatavyo:

Hiyo siku Land Cruiser ilikuwa imetoka bank kutoa mihela kumbe kuna majamaa walikuwa washaichora kitambo; wakawapasha habari wazee wa kazi pale Kimisi kwamba kuna Cruiser inakuja na hela. Sasa kosa alilofanya mtoa habari hakuwatajia namba ya gari.

Kuna Cruiser nyingine ya kanisa ilikuwa inatoka hapo hapo Kayanga ambapo ni makao makuu ya wilaya ya Karagwe kwenda Ngara kwa kupitia Kimisi ambapo na ile Cruiser yenye hela ilitakiwa kupita njia hiyohiyo.

Basi ile Cruiser ya kanisa ikaanza safari. Baada ya kama dakika kadhaa ile Cruiser yenye hela nayo ikaanza safari, kwahiyo kukawa na Cruiser 2 zote zinafanana rangi moja ipo mbele nyingine ipo nyuma.

Wale jamaa wa pale Kimisi wakajua yenye mpunga ndio ile Cruiser ya kwanza wakatega magogo Cruiser ikajaa. Jamaa mle ndani kuona masister wa kizungu wakajua ndio wenyewe walipoulizwa hela ziko wapi wanasema hawana baada ya kupekua wasione kitu wale masister wakala pu-- palepale sasa sijui kama walipata mimba au la.

Ile Cruiser baada ya kuona Cruiser ya mbele imesimamishwa halafu Wahuni wanatokea porini, ilipigwa rivasi ya kufa kiumbe hai ikabidi warudi wilayani na kuripoti. Polisi hadi wanafika wakakuta jamaa washamaliza yao wametokomea.

Basi msimulizi wangu akaishia hapo.

Ili nijue kama jamaa hajanipiga changa, nikamuuliza mzee mwingine baada ya kukaa huko kama miezi 6 hivi. Akaniambia yeye alishawahi kutekwa kwenye tax yao. Walitekwa Nyaishozi huko wakavuliwa nguo zote. Yule mama ambaye dini kashika sanaaa akakutwa na bonge ya hirizi kiunoni ipo inapumua [emoji1787]

Huu uzi nitauleta siku nyingine

Kama na wewe ulishawahi kusimuliwa au kukukuta hebu tuambie
 
Mazali kama hayo ya kuvamiwa na kutekwa natamanigi sana yanitokee naweza tembeza mkono balaa.
 
Naomba na mimi nitoe uzi kuhusu haya mambo ya kutekwa kwa mabasi ya abiria miaka ya 2000.

Baada ya kukataa kusoma shule za kata ikabidi brother anichukue niende Kagera kusomea huko; nikapanda zangu ndinga saaafi. Ilikuwa ni Mohamed Trans kwa kuwa ilikuwa ndio mara yangu ya kwanza kwenda Kagera -- ushamba ulikuwa mwingi sana.

Baada ya safari ndefu, kufika Kahama tukapoa. Nilipouliza wakasema mbele kuna msitu wanateka sana magari, kwa akili za kitoto sikulitilia maanani.

Basi asubuhi tukaendelea na safari. Baada ya kama ya nusu saa wakapanda mapolisi wawili wakiwa na mitutu ya bunduki (SMG) tukaenda nao. Baada ya muda wakashuka.

Baada ya kufika huko Karagwe ikabidi niwaulize wenyeji kuhusu hilo suala ndio wakaanza kunipa story kama ifuatavyo:

Hiyo siku Land Cruiser ilikuwa imetoka bank kutoa mihela kumbe kuna majamaa walikuwa washaichora kitambo; wakawapasha habari wazee wa kazi pale Kimisi kwamba kuna Cruiser inakuja na hela. Sasa kosa alilofanya mtoa habari hakuwatajia namba ya gari.

Kuna Cruiser nyingine ya kanisa ilikuwa inatoka hapo hapo Kayanga ambapo ni makao makuu ya wilaya ya Karagwe kwenda Ngara kwa kupitia Kimisi ambapo na ile Cruiser yenye hela ilitakiwa kupita njia hiyohiyo.

Basi ile Cruiser ya kanisa ikaanza safari. Baada ya kama dakika kadhaa ile Cruiser yenye hela nayo ikaanza safari, kwahiyo kukawa na Cruiser 2 zote zinafanana rangi moja ipo mbele nyingine ipo nyuma.

Wale jamaa wa pale Kimisi wakajua yenye mpunga ndio ile Cruiser ya kwanza wakatega magogo Cruiser ikajaa. Jamaa mle ndani kuona masister wa kizungu wakajua ndio wenyewe walipoulizwa hela ziko wapi wanasema hawana baada ya kupekua wasione kitu wale masister wakala pu-- palepale sasa sijui kama walipata mimba au la.

Ile Cruiser baada ya kuona Cruiser ya mbele imesimamishwa halafu Wahuni wanatokea porini, ilipigwa rivasi ya kufa kiumbe hai ikabidi warudi wilayani na kuripoti. Polisi hadi wanafika wakakuta jamaa washamaliza yao wametokomea.

Basi msimulizi wangu akaishia hapo.

Ili nijue kama jamaa hajanipiga changa, nikamuuliza mzee mwingine baada ya kukaa huko kama miezi 6 hivi. Akaniambia yeye alishawahi kutekwa kwenye tax yao. Walitekwa Nyaishozi huko wakavuliwa nguo zote. Yule mama ambaye dini kashika sanaaa akakutwa na bonge ya hirizi kiunoni ipo inapumua [emoji1787]

Huu uzi nitauleta siku nyingine

Kama na wewe ulishawahi kusimuliwa au kukukuta hebu tuambie
Mi nimesoma ngara hayo uliyoyasema yalitokea sana miaka hiyo .kimisi ni pori masaa matatu huoni nyumba kmmk
 
Mazali kama hayo ya kuvamiwa na kutekwa natamanigi sana yanitokee naweza tembeza mkono balaa.
Polisi wenyewe walikuwa wanaogopa jamaa wana AK 47 walikuwa ni wanyarwanda makauzu hatari
 
Hiyo mkuu ilipangwa na hao hawakuwa mastister bali mademu wahuni hivi alafu walikuwa wote + walitangulizwa ili kupima upepo na walivaa hivyo ili wasiuwawe. Waliowagonga ilikula kwao ukiwapa hao wahuni waulize miuno viuno,na miguno konki waliyopewa siku hiyo.
 
Hiyo mkuu ilipangwa na hao hawakuwa mastister bali mademu wahuni hivi alafu walikuwa wote + walitangulizwa ili kupima upepo na walivaa hivyo ili wasiuwawe. Waliowagonga ilikula kwao ukiwapa hao wahuni waulize miuno viuno,na miguno konki waliyopewa siku hiyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naomba na mimi nitoe uzi kuhusu haya mambo ya kutekwa kwa mabasi ya abiria miaka ya 2000.

Baada ya kukataa kusoma shule za kata ikabidi brother anichukue niende Kagera kusomea huko; nikapanda zangu ndinga saaafi. Ilikuwa ni Mohamed Trans kwa kuwa ilikuwa ndio mara yangu ya kwanza kwenda Kagera -- ushamba ulikuwa mwingi sana.

Baada ya safari ndefu, kufika Kahama tukapoa. Nilipouliza wakasema mbele kuna msitu wanateka sana magari, kwa akili za kitoto sikulitilia maanani.

Basi asubuhi tukaendelea na safari. Baada ya kama ya nusu saa wakapanda mapolisi wawili wakiwa na mitutu ya bunduki (SMG) tukaenda nao. Baada ya muda wakashuka.

Baada ya kufika huko Karagwe ikabidi niwaulize wenyeji kuhusu hilo suala ndio wakaanza kunipa story kama ifuatavyo:

Hiyo siku Land Cruiser ilikuwa imetoka bank kutoa mihela kumbe kuna majamaa walikuwa washaichora kitambo; wakawapasha habari wazee wa kazi pale Kimisi kwamba kuna Cruiser inakuja na hela. Sasa kosa alilofanya mtoa habari hakuwatajia namba ya gari.

Kuna Cruiser nyingine ya kanisa ilikuwa inatoka hapo hapo Kayanga ambapo ni makao makuu ya wilaya ya Karagwe kwenda Ngara kwa kupitia Kimisi ambapo na ile Cruiser yenye hela ilitakiwa kupita njia hiyohiyo.

Basi ile Cruiser ya kanisa ikaanza safari. Baada ya kama dakika kadhaa ile Cruiser yenye hela nayo ikaanza safari, kwahiyo kukawa na Cruiser 2 zote zinafanana rangi moja ipo mbele nyingine ipo nyuma.

Wale jamaa wa pale Kimisi wakajua yenye mpunga ndio ile Cruiser ya kwanza wakatega magogo Cruiser ikajaa. Jamaa mle ndani kuona masister wa kizungu wakajua ndio wenyewe walipoulizwa hela ziko wapi wanasema hawana baada ya kupekua wasione kitu wale masister wakala pu-- palepale sasa sijui kama walipata mimba au la.

Ile Cruiser baada ya kuona Cruiser ya mbele imesimamishwa halafu Wahuni wanatokea porini, ilipigwa rivasi ya kufa kiumbe hai ikabidi warudi wilayani na kuripoti. Polisi hadi wanafika wakakuta jamaa washamaliza yao wametokomea.

Basi msimulizi wangu akaishia hapo.

Ili nijue kama jamaa hajanipiga changa, nikamuuliza mzee mwingine baada ya kukaa huko kama miezi 6 hivi. Akaniambia yeye alishawahi kutekwa kwenye tax yao. Walitekwa Nyaishozi huko wakavuliwa nguo zote. Yule mama ambaye dini kashika sanaaa akakutwa na bonge ya hirizi kiunoni ipo inapumua [emoji1787]

Huu uzi nitauleta siku nyingine

Kama na wewe ulishawahi kusimuliwa au kukukuta hebu tuambie
Duuu, wewe utakuwa mzee mwenzangu,make kwa kipindi hicho cha utekaji Karagwe hapo unaongelea miaka 93's to 98's enzi za Wakimbizi na kabla ya wakimbizi tokea Rwanda na Burundi.
Kipindi hicho Kimisi inatisha,Uzuri wa Kondoo inatisha,Kwenda Bushangaro njia ni hatari,Mlima Rwabunuka ni pata shika.
Majambazi maarufu kipindi hicho kulikuwa na Mwaarabu mmoja matata anaitwa SIRAJ,kwake Omurushaka,alifia jela la Kitengule baada ya kukamatwa kwenye sekeseke la kuua wazungu Kimisi,
Kulikuwa na majambazi wengi maarufu ambao sasa ni matajiri wakubwa waliohamia maeneo ya Mwanza,Kahama na kadhalika,siwezi kuwasemea hapa kwani baada ya wengi kutoka jela waliokoka na kuendelea na maisha mengine mikoa mingine.
Kuna lijamaa lingine lilikuwa linamiliki costa za kutoka Karagwe to Bukoba enzi hizo zenye jina la kuanza ZFNN[emoji23][emoji23],HATARI sana.Enzi hizo tupo Sekondari but jioni unaogopa kutembea usiku kwa kumuogopa SIRAJ.
WEWE mtoa mada utakuwa ulisoma Karagwe Secondary (KARASECO)Make ndo ilikuwa shule bora kwa Karagwe ya KKKT enzi hizo,ikifuatiwa na Kaisho Sec na shule bora ya Serikali ilikuwa Bugene Day Sec School.

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom