Utendaji uliotukuka wa Dkt. Anna Makakala ukimpendeza Rais awateue wakuu wengine wa Majeshi yetu Wanawake

Utendaji uliotukuka wa Dkt. Anna Makakala ukimpendeza Rais awateue wakuu wengine wa Majeshi yetu Wanawake

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2019
Posts
762
Reaction score
6,984
Awamu iliyopita ilikuwa ngumu kiutawala na ilihitaji ujasiri kusimama na kubaki kwenye nafasi ya juu ya uteuzi. Dr. Anna Makakala Ni mmoja wa wanawake waliovumilia nakupambana kwa miaka mitano ya awamu hiyo bila kutumbuliwa.

Kila ukiangalia picha za awamo ya tano utabaini alipokuwa Rais na huyu mama na wakuu wengine wa vyombo vya ulinzi walikuwa naye. Maana yake aliweza kusafiri mchana na usiku kutetea kibarua chake. Hongera sana.

Sasa hivi ni muda wa Rais wa awamu ya sita kutebgeneza safu yake. Naamini yupo mbioni kuteua wakuu wa vyombo kwani waliopo sura zinasadifu kwamba wapo ukingoni. Lakini pia Ni haki yake kina na damu mpya kiutawala nakuruhusu mawazo mapya.

Dkt. Makakala anaweza akabaki au asibaki kwenye nafasi yake ila tuna budi kumpongeza kwa kazi aliyofanya. Nikipitia mitandaoni naona ni kipindi chake ndicho huduma za Uhamiaji ziliimarika namalalamiko yakapungua sana. Yeye Kama mwanamke mwenzetu kwa kweli amewafumbua macho wanaume kwamba wanawake wanaweza bila hata kuwezeahwa.

Tuliaminiwa kwenye sekta nyingine ila kwenye vyombo vya ulinzi ilikuwa bado, Sasa naamini Makakala ametupa mwanga na kutujengea imani kwamba tunaweza bila kuwezeahwa.

Nimwombe Mhe. Rais atusaidie kupata wanawake katika nafasi za juu za vyombo vyetu nikimwakikishia Kama Makakala aliweza katika mazingira ya hakuna kulala Basi watakaoteuliwa Sasa watafanya zaidi.

Tunapenda kuona luten General au meja general au hata CDF akiwa mwanamama.

IGP au Makamishna wa polisi Magereza na zimamoto tuwaone wanawake kwani naamini Wana sifa na maarifa yakuongoza vyombo hivi.

Dkt. Makakala umetuheshimisha, wanawake wengine mtakaopewa nafasi nilizoomba hapa msituangushe, kasimamieni kazi bila kutanguliza tamaa Wala kuonea watu.

Wanawake wanaweza bila hata kuwezeahwa.
 
Ni kwanini ukiwa unamuangalia huyu Mama kwa upande anafanana sana na Hayati Rais Dkt. Magufuli?
 
Kama sifa zooote hana halafu akaamua tu kumteua kwakuwa ni mwanamke, ni makosa. Na kama anazo sifa zooote halafu akaachwa kwakuwa tu ni mwanamke, ni tatizo zaidi.

Ungejikita zaidi kwenye sifa alizonazo(CV) na kwanini unadhani anastahili(kama ulivyotanabaisha) kuliko kujaribu kusema kundi maalum nao waangaliwe(wanawake)

Mama anasikiliza mitandao na zaidi kama una ukaribu na timu mstaafu, basi tamanio lako linaweza fanyiwa kazi ukiwafikia, utawala wao huu.
 
Dr Anna Makakala apewe hata PM.
Hatatudanganya kupitia dini.
"Du aende wapi
Magomeni au Kariakoo.
 
Tusianze kufanya majaribio kwenye kazi nyeti kama ya jeshi ,huko magereza ni idara tu sawa na idara ya wanyama pori, Mungu hakuwa mjinga alivyoumba tofauti kati ya mwananmke na mwanaume.Huko jeshini hakuna komandoo mwananmke,unajua ni kwanini. Ni nchi gani duniani ambayo mkuu wa jeshi ni mwanamke?
 
Awamu iliyopita ilikuwa ngumu kiutawala na ilihitaji ujasiri kusimama na kubaki kwenye nafasi ya juu ya uteuzi. Dr. Anna Makakala Ni mmoja wa wanawake waliovumilia nakupambana kwa miaka mitano ya awamu hiyo bila kutumbuliwa.

Kila ukiangalia picha za awamo ya tano utabaini alipokuwa Rais na huyu mama na wakuu wengine wa vyombo vya ulinzi walikuwa naye. Maana yake aliweza kusafiri mchana na usiku kutetea kibarua chake. Hongera sana.

Sasa hivi ni muda wa Rais wa awamu ya sita kutebgeneza safu yake. Naamini yupo mbioni kuteua wakuu wa vyombo kwani waliopo sura zinasadifu kwamba wapo ukingoni. Lakini pia Ni haki yake kina na damu mpya kiutawala nakuruhusu mawazo mapya.

Dr. Makakala anaweza akabaki au asibaki kwenye nafasi yake ila tuna budi kumpongeza kwa kazi aliyofanya. Nikipitia mitandaoni naona ni kipindi chake ndicho huduma za Uhamiaji ziliimarika namalalamiko yakapungua sana. Yeye Kama mwanamke mwenzetu kwa kweli amewafumbua macho wanaume kwamba wanawake wanaweza bila hata kuwezeahwa.

Tuliaminiwa kwenye sekta nyingine ila kwenye vyombo vya ulinzi ilikuwa bado, Sasa naamini Makakala ametupa mwanga na kutujengea imani kwamba tunaweza bila kuwezeahwa.

Nimwombe Mhe. Rais atusaidie kupata wanawake katika nafasi za juu za vyombo vyetu nikimwakikishia Kama Makakala aliweza katika mazingira ya hakuna kulala Basi watakaoteuliwa Sasa watafanya zaidi.

Tunapenda kuona luten General au meja general au hata CDF akiwa mwanamama.

IGp au Makamishna wa polisi Magereza na zimamoto tuwaone wanawake kwani naamini Wana sifa na maarifa yakuongoza vyombo hivi.

Dr. Makakala umetuheshimisha, wanawake wengine mtakaopewa nafasi nilizoomba hapa msituangushe, kasimamieni kazi bila kutanguliza tamaa Wala kuonea watu.

Wanawake wanaweza bila hata kuwezeahwa.
Ni vema ukaangalia aliyofanyiwa Eyakuze wa TWAWEZA baada ya utafiti huu

IMG-20180405-WA0006.jpeg
 
Naunga mkono hoja. Dr Anna ni msikivu, asiyependa watu waonewe asipenda attention ya media hata katika matukio makubwa
Ni kweli amejitahidi sana kwa kadri ya uwezo wake. Lakini bado anatakiwa kusafisha baadhi ya "makandokando" yaliyomo idarani
 
Yule mama ambaye mwendazake alikuwa akimtumia toileti Pepa kwa kubambikiza watu za uhamiaji haramu na kuwashikilia bila kesi? Hivi mbona mnakuwa wasahaulifu sana juu ya kina Niwemugizi na Kabendera?
 
Kwa kuchapa kazi sawa, ila kuhusu uteuzi wa wanawake kwenye nafasi za juu bado sijaona mwanamke aliyefanyiwa promotion akawa katika hatua hii.

Lakini pia ni vigumu Dr. Anna kubaki hapo Uhamiaji kwa sababu awamu iliyopita kuna maeneo ilikuwa inatoa amri zilizo spoil credibility na imani ya waliokuwa viongozi.

Natabiri na ningependa kuona huyo mama wa Uhamiaji akiondoka hapo na kwenda kufanya kazi nyingine kukuza CV yake lakini pia kutunza mema aliyofanya na kumwepusha na kivuli Cha mabaya yaliyofanywa akiwa mkuu wa Uhamiaji.

Nimwombe Mh. Rais ampangie kazi itakayompa huyo mama utulivu wa akili nakuikabidhi hiyo idara kwa vijana wengine wasomi waliopo chini yake.

Hongera Anna na ulujitahidi ila omba ukapumzike ufanye kazi laini na utunze heshima yako
 
1. Mwanamke haendi vitani
2. Nchi haiwezi kuwa na CDF mwanamke.
Sio kila sehemu kuna usawa wa kijinsia, samahani kama kuna mtu atakwazika.
Asante.
 
Awamu iliyopita ilikuwa ngumu kiutawala na ilihitaji ujasiri kusimama na kubaki kwenye nafasi ya juu ya uteuzi. Dr. Anna Makakala Ni mmoja wa wanawake waliovumilia nakupambana kwa miaka mitano ya awamu hiyo bila kutumbuliwa.

Kila ukiangalia picha za awamo ya tano utabaini alipokuwa Rais na huyu mama na wakuu wengine wa vyombo vya ulinzi walikuwa naye. Maana yake aliweza kusafiri mchana na usiku kutetea kibarua chake. Hongera sana.

Sasa hivi ni muda wa Rais wa awamu ya sita kutebgeneza safu yake. Naamini yupo mbioni kuteua wakuu wa vyombo kwani waliopo sura zinasadifu kwamba wapo ukingoni. Lakini pia Ni haki yake kina na damu mpya kiutawala nakuruhusu mawazo mapya.

Dr. Makakala anaweza akabaki au asibaki kwenye nafasi yake ila tuna budi kumpongeza kwa kazi aliyofanya. Nikipitia mitandaoni naona ni kipindi chake ndicho huduma za Uhamiaji ziliimarika namalalamiko yakapungua sana. Yeye Kama mwanamke mwenzetu kwa kweli amewafumbua macho wanaume kwamba wanawake wanaweza bila hata kuwezeahwa.

Tuliaminiwa kwenye sekta nyingine ila kwenye vyombo vya ulinzi ilikuwa bado, Sasa naamini Makakala ametupa mwanga na kutujengea imani kwamba tunaweza bila kuwezeahwa.

Nimwombe Mhe. Rais atusaidie kupata wanawake katika nafasi za juu za vyombo vyetu nikimwakikishia Kama Makakala aliweza katika mazingira ya hakuna kulala Basi watakaoteuliwa Sasa watafanya zaidi.

Tunapenda kuona luten General au meja general au hata CDF akiwa mwanamama.

IGp au Makamishna wa polisi Magereza na zimamoto tuwaone wanawake kwani naamini Wana sifa na maarifa yakuongoza vyombo hivi.

Dr. Makakala umetuheshimisha, wanawake wengine mtakaopewa nafasi nilizoomba hapa msituangushe, kasimamieni kazi bila kutanguliza tamaa Wala kuonea watu.

Wanawake wanaweza bila hata kuwezeahwa.
WTF !
amezuia work permitt kwa watu wenye sifa.
Hajatoa uraia kwa watu walio omba for years.

lipi la pekee alofanya?
mambo ya Beijing mnaleta alafu mtahari bu hii nchi.
 
Tungehangaika zaidi na uteuzi wa wanawake wenye CV na utendaji bora. Mama wa Uhamiaji amejitahidi japo we expected more from her ilibidi ashughulikie tuhuna zilizoibuliwa Arusha juu ya mtandao wa wanauza visa fake kwa wageni wanaotuhumiwa wakiwemo maafisa wake( hili hata wakili Peter madelekea amelizungumza wazi bila kupepesa macho) haswa wale wanaokaa mipakana na airport.

Zile za kukamata kina kabendera, askofu niwemugizi na wengineo kuhusu uraia limemtia doa kama mtaalamu badala ya kushauri mamlaka uweledi utumike yeye akakumbwa na siasa za mwendazake.

Tukiwa tunafuata Foreign policy iliyoelekea kwenye Economic Diplomacy dunia ya leo si ya kuongeza ukiritimba kwenye utoaji wa passport. Tatizo la ajira ni kubwa sana na hakuna straight policy ya ku export nguvukazi nje ya nchi, maana upatikanaji wa passport wenyewe ni mgumu na mrefu sana hili linafanya vijana kujazana mijini kuuza mitumba ili hali wangeenda hata iran huko kufanya kazi na middle east kwa ujumla. Hili lilitegemea mama kama mtaalamu angeongoza na kupunguza ukiritimba katika utoaji wa passport. Kenya na rwanda diaspora remittance ni kubwa sababu ya watu kutoka kwenda kutafuta nje ya mipaka ya nchi zao.

Ningeshauri mama angerudi kufundisha kule chuo cha uhamiaji maana ni mzuri kwenye kuelimisha zaidi.
 
Kama sifa zooote hana halafu akaamua tu kumteua kwakuwa ni mwanamke, ni makosa. Na kama anazo sifa zooote halafu akaachwa kwakuwa tu ni mwanamke, ni tatizo zaidi.

Ungejikita zaidi kwenye sifa alizonazo(CV) na kwanini unadhani anastahili(kama ulivyotanabaisha) kuliko kujaribu kusema kundi maalum nao waangaliwe(wanawake)

Mama anasikiliza mitandao na zaidi kama una ukaribu na timu mstaafu, basi tamanio lako linaweza fanyiwa kazi ukiwafikia, utawala wao huu.
Hawa watakuwa ni ndugu
 
Back
Top Bottom