Utendaji uliotukuka wa Dkt. Anna Makakala ukimpendeza Rais awateue wakuu wengine wa Majeshi yetu Wanawake

Hakika umenena vesa sn
 
good questions. nakumbuka america waliwahi kipiga kelele kwann hakuna mwanamke special forces operator. feminist wakataka vigezo vya selection vishushwe.. ikashindakana.

wakaambiwa wakitaka kuingia.. lazima wa pass the same selection wanayo pass wanaume.
same standards.

mpaka leo walikaa kimya.
huwez susha standard za jeshi ktk eneo fulani ili jinsia fulani iingie.
wakitaka hizo nafasi wa perform at higher standards as men.
hakuna cha upendeleo
 
Tunapenda kuona luten General au meja general au hata CDF akiwa mwanamama.

IGP au Makamishna wa polisi Magereza na zimamoto tuwaone wanawake kwani naamini Wana sifa na maarifa yakuongoza vyombo hivi.

Wanawake wanaweza bila hata kuwezeahwa.
Naunga mkono hoja
P
 
Hizo sio post za kisiasa, unatunukiwa kulingana na medani na utendaji wa kazi dio ujingaujinga.
 
Naunga mkono hoja
P
Wewe ulipita JKT unaelewa kabisa jeshi sio CCM. Mtu aende vitani ndio aje kuclaim medal jeshini sio miss Tanzania tafadhali sana. Tutakuja kuwa na CDF ambaye akisikia bomu anamuita mumewe akachungulie. Tunataka kama ni mwanamama awe kweli chuma sio Hawa walimbwende wanaoingia jeshini kutafuta ajira tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…