JUKUMU
Member
- Apr 5, 2009
- 85
- 39
Wanajamii nawasalimu, natumaini wote mpo salama weekend hii.
Sasa niende kwenye point hasa kwenye suala ukamataji wa jeshi letu hasa pale inapotokea uhalifu.
Mfano tukio la Mwanza, Polisi anasema watuhumiwa walikuwa na mapanga hivyo ikabidi watumie risasi za Moto. Sawa walikuwa wanajihami, Ila kulikuwa na sababu gani kumpiga risasi mtu mwenye panga? Kuna sehemu za kupiga ambazo sio rahisi mtu kufa. Ina maana Polisi wetu hawajui hayo maeneo ya kupiga mpaka wanafikia hatua ya kuua mtu mwenye panga?
Hao wahalifu wanatakiwa wakamatwe wakiwa hai ili tupate taarifa za mtandao wao.
Pia ifikie mahali Polisi wetu wawe wanatumia camera(bordycam), ili kuwa na ushahidi wa matukio yao na kuondoa wasiwasi pale wanapotoa taarifa zao za matukio ya uhalifu, mara alianza kushambulia tukampiga risasi au alianza kukimbia.
Pia soma
Sasa niende kwenye point hasa kwenye suala ukamataji wa jeshi letu hasa pale inapotokea uhalifu.
Mfano tukio la Mwanza, Polisi anasema watuhumiwa walikuwa na mapanga hivyo ikabidi watumie risasi za Moto. Sawa walikuwa wanajihami, Ila kulikuwa na sababu gani kumpiga risasi mtu mwenye panga? Kuna sehemu za kupiga ambazo sio rahisi mtu kufa. Ina maana Polisi wetu hawajui hayo maeneo ya kupiga mpaka wanafikia hatua ya kuua mtu mwenye panga?
Hao wahalifu wanatakiwa wakamatwe wakiwa hai ili tupate taarifa za mtandao wao.
Pia ifikie mahali Polisi wetu wawe wanatumia camera(bordycam), ili kuwa na ushahidi wa matukio yao na kuondoa wasiwasi pale wanapotoa taarifa zao za matukio ya uhalifu, mara alianza kushambulia tukampiga risasi au alianza kukimbia.
Pia soma