Utengenezaji wa Chakula Cha Kuku

Utengenezaji wa Chakula Cha Kuku

Karibuni hapa tupeane mawazo/ujuzi/mbinu za kutengeneza chakula cha kuku tajwa mimi huwa natengeneza hivi kwa kuchanganya vifuatavyo na huwa kuku wa kienyeji wanataga balaa..
1.Chenga za mahindi(kubarazwa) kg 30
2.Mtama Kg 10
3.Pumba za mahindi Kg 21
4.Dagaa(Kubarazwa) Kg 15
5.Mashudu(alizeti kubarazwa) Kg 20
6.Premix Kg 0.5
7.Chumvi Kg 0.5
8.Chokaa Kg 3
Jumla Kg 100
Hivi vyote ukilinganisha gharama ya kuvinunua mbona kama haina tofauti na kununua mifuko miwili ya chakula cha dukani?. Hii maabara ya intertec wapo kurasini tumeambiwa inapima vitu vingi hebu wadau kawacheki yawezekana wakawa msaada kwetu wajasiliamali. Mkuu chasha,mama joe hebu ongea na wadau tuchange hela tununue mashine yetu ya kusaga chakula cha kuku kinasagwa alafu mdau anatumiwa mifuko yake anayohitaji popote alipo alipie nauli tu.kama ikionekana usafili ni gharama tunagawa zoni wa mwanza mashine yao, mbeya mashine yao, dar mashine yao, arusha mashine yao, au hizi mashine zinauzwa mabilioni?
 
hiyo plemix ni nn?
Ukienda kwnye maduka ya mifugo utaipata, uliziatuu, ila ni kama unga laini umekaa kama saruji ivi, ni kwaajili ya virutumisho, utaukuta kwenye pakt ya mfuko wa plastic, iko ya kuku wa mayai na wanyama, pia ipo ya kupima.​
 
Karibuni hapa tupeane mawazo/ujuzi/mbinu za kutengeneza chakula cha kuku tajwa mimi huwa natengeneza hivi kwa kuchanganya vifuatavyo na huwa kuku wa kienyeji wanataga balaa..
1.Chenga za mahindi(kubarazwa) kg 30
2.Mtama Kg 10
3.Pumba za mahindi Kg 21
4.Dagaa(Kubarazwa) Kg 15
5.Mashudu(alizeti kubarazwa) Kg 20
6.Premix Kg 0.5
7.Chumvi Kg 0.5
8.Chokaa Kg 3
Jumla Kg 100
Mkuu, mbona hao kuku si watanenepa sana? Kutaga itakuwa shida.
 
Anzi
Hivi vyote ukilinganisha gharama ya kuvinunua mbona kama haina tofauti na kununua mifuko miwili ya chakula cha dukani?. Hii maabara ya intertec wapo kurasini tumeambiwa inapima vitu vingi hebu wadau kawacheki yawezekana wakawa msaada kwetu wajasiliamali. Mkuu chasha,mama joe hebu ongea na wadau tuchange hela tununue mashine yetu ya kusaga chakula cha kuku kinasagwa alafu mdau anatumiwa mifuko yake anayohitaji popote alipo alipie nauli tu.kama ikionekana usafili ni gharama tunagawa zoni wa mwanza mashine yao, mbeya mashine yao, dar mashine yao, arusha mashine yao, au hizi mashine zinauzwa mabilioni?
Anzisha kwanza chama. Kama ilivyo vyama vya ushirika katika mazao
 
Karibuni hapa tupeane mawazo/ujuzi/mbinu za kutengeneza chakula cha kuku tajwa mimi huwa natengeneza hivi kwa kuchanganya vifuatavyo na huwa kuku wa kienyeji wanataga balaa..
1.Chenga za mahindi(kubarazwa) kg 30
2.Mtama Kg 10
3.Pumba za mahindi Kg 21
4.Dagaa(Kubarazwa) Kg 15
5.Mashudu(alizeti kubarazwa) Kg 20
6.Premix Kg 0.5
7.Chumvi Kg 0.5
8.Chokaa Kg 3
Jumla Kg 100
Vipi mkuu na wewe uwa unapeleka sample zako Naivasha kupima DCP?
 
Back
Top Bottom