JT2014
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 1,863
- 1,368
Ewaa,hii ndo shida kubwa sijui dawa ni nini,Tunda tamu saana hili... yangu yamekuwa yakishambuliwa na sisimizi sijajua shida nini. Unaweza liona limeanza kukomaa
Ukija kulichuma unakuta limetobolewa na sisimizi.
ndo maana nilitaka niikate,