Nenda Sido iliyo karibu nawe utapata details zote za machine na malighafi pamoja na procedure za TBS na wengineo.
Kuhusu soko inategemeana na lengo lako maana kuna soko la ndani ambalo huanzia mtaani kwako, wilaya mkoa kanda taifa na afrika mashariki.
Soko unalitafuta la jumla na rejareja kwenye maduka madogo mtaani, wanunuzi wakubwa Wale Wa jumla, supermarkets, n.k.
Ikumbukwe kuwa matumizi ya sabuni yapo kila siku katika kila familia kuanzia kuogea, kufulia, kuoshea vyombo, kudekia, n.k
Kikubwa utengeneze sabuni yenye ubora kwa maana ya povu jingi, uwezo Wa kuhimili maji magumu, ugumu Wa kuisha lakini pia manukato na rangi za kuvutia.
Karibu katika Tanzania ya viwanda.
Sent using
Jamii Forums mobile app