Utengenezaji wa unga wa lishe

Utengenezaji wa unga wa lishe

scientist 08

Member
Joined
Aug 8, 2017
Posts
66
Reaction score
40
unga lishe ni unga kwaajili ya chakula ulio na mchanganyiko wa viini lishe vyote muhimu. mara nyingi unga huu hutumiwa kuandalia uji .wakati mwingine utengenezaji wa unga huu huzingatia walengwa walio kusudiwa kuutumia.Hii ni ili kuweka viini lishe vinavyo endana na mtumiaji.
pia unaweza kutengeneza unga lishe kwa matumizi ya jumla ambao unafaa kutumiwa na mtu yeyote. unga huo uwe na mchanganyiko wa nafaka zifuatazo
ulezi 25% karanga25% soya11% mahindi11% mtama5% uwele8% mchele12% na ngano isiyokobolewa17%
hatua za kutengeneza
kwanza ; kaanga soya hadi maganda yatoke
pili; karanga nazo uzikaange mpaka maganda yatoke
tatu; changanya nafaka zote na usage kwa pamoja
Nne; baada ya kusanga anika unga uliosagwa ili kupunguza unyevu kwa lengo la unga usipate fangasi na kuharibika.
tano; hifadhi unga vizuri kwa ajili ya matumiz au weka kwenye vifungashio tayari kwa biashara.
sita; unga uuzwe na kutumika kabla ya tarehe ya mwisho wa kutumiwa

kuhusu utengenezaji wa bidhaa zingine fuatilia thread hii au pata hard copy ya kitabu kinachoelezea hivyo vyote na ukishindwa au ukipatashida wasiliana nasi tupo dar es salaam utafundishwa kwa vitendo mawasiliano 0755533903
pia nakaribisha michango na maswali nia yangu nikwaajili ya sisi vijana kutimiza ndoto zetu
 

Attachments

  • Makorere.png
    Makorere.png
    687.3 KB · Views: 383
unga lishe ni unga kwaajili ya chakula ulio na mchanganyiko wa viini lishe vyote muhimu. mara nyingi unga huu hutumiwa kuandalia uji .wakati mwingine utengenezaji wa unga huu huzingatia walengwa walio kusudiwa kuutumia.Hii ni ili kuweka viini lishe vinavyo endana na mtumiaji.
pia unaweza kutengeneza unga lishe kwa matumizi ya jumla ambao unafaa kutumiwa na mtu yeyote. unga huo uwe na mchanganyiko wa nafaka zifuatazo
ulezi 25% karanga25% soya11% mahindi11% mtama5% uwele8% mchele12% na ngano isiyokobolewa17%
hatua za kutengeneza
kwanza ; kaanga soya hadi maganda yatoke
pili; karanga nazo uzikaange mpaka maganda yatoke
tatu; changanya nafaka zote na usage kwa pamoja
Nne; baada ya kusanga anika unga uliosagwa ili kupunguza unyevu kwa lengo la unga usipate fangasi na kuharibika.
tano; hifadhi unga vizuri kwa ajili ya matumiz au weka kwenye vifungashio tayari kwa biashara.
sita; unga uuzwe na kutumika kabla ya tarehe ya mwisho wa kutumiwa

kuhusu utengenezaji wa bidhaa zingine fuatilia thread hii au pata hard copy ya kitabu kinachoelezea hivyo vyote na ukishindwa au ukipatashida wasiliana nasi tupo dar es salaam utafundishwa kwa vitendo mawasiliano 0755533903
pia nakaribisha michango na maswali nia yangu nikwaajili ya sisi vijana kutimiza ndoto zetu
Asantee sanaa Mkuu. Mwenyezi mungu akulipee
 
mkuu 08 mimi nahitaji unga wenye mchanganyiko huu,mtama,ngano,mahindi
 
Back
Top Bottom