My closest friend had the same problem. Hii ilikuwa kama miaka 7 ilopita. Alikuwa anataka mtoto na alipobeba mimba ikawa shida kidogo ikabidi apewe bed rest kwa miezi takriban 6 hv. Ila baadaye alianza kuumwa sana kichwa na kupoteza damu nyingi. Pia tumbo lilikuwa kubwa kiasi unaweza kufikiri ana ujauzito. Njia pekee ilikuwa operation na amefanyiwa july saa hizi ni mzima na hana tatizo tena ingawa ndo hivyo tena hatoweza kuzaa. Niliongea na DK pale KCMC anasema ni kuchelewesha operation tu lakini finally lazima uvimbe uondolewe na ikibidi kizazi pia. See doctors in referral hospitals watakupa ushauri zaidi. Good luck pal!