nina imani haba na tiba lishe. wameshanilia zaidi ya laki 3 matokeo bila bila. ukiwarudia wanahamisha magoli tu
za kwako supplier ni kampuni gani
Unapatikana wapiMkuu nitafute mimi nipate kumtibia mgonjwa wako kwa dawa za asili kwamuda wa miezi 3 atapona kabisa. Utamfanyia operesheni kuondowa hiyo Fibroids baada ya miak 2 itarudi tena huo uvimbe kwenye kizazi Fibroids kama huniamini jaribu utakuja tena hapa hapa kueleza shida zako.ukihitaji matibabu toka kwangu nitafute kwa wakati wako.
Tafuta iodine supplements ,pia kula chakula chenye iodine kwa wingi. Chakula chochote chenye sukari ya kuongeza pamoja na asali xxx. Sukari ni kama mafuta ya kufanya fibroids zikue zaidi.Unapatikana wapi
Sijaelewa hapo uliposema hatoweza kuzaa tena.... Nini kitasababisha asizae tena??My closest friend had the same problem. Hii ilikuwa kama miaka 7 ilopita. Alikuwa anataka mtoto na alipobeba mimba ikawa shida kidogo ikabidi apewe bed rest kwa miezi takriban 6 hv. Ila baadaye alianza kuumwa sana kichwa na kupoteza damu nyingi. Pia tumbo lilikuwa kubwa kiasi unaweza kufikiri ana ujauzito. Njia pekee ilikuwa operation na amefanyiwa july saa hizi ni mzima na hana tatizo tena ingawa ndo hivyo tena hatoweza kuzaa. Niliongea na DK pale KCMC anasema ni kuchelewesha operation tu lakini finally lazima uvimbe uondolewe na ikibidi kizazi pia. See doctors in referral hospitals watakupa ushauri zaidi. Good luck pal!