Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
So far, hakuna incriminating evidence yeyote.Sabaya anajua anachokifanya. Bila shaka wanasheria wake sio mafala kihivyo na walichekecha pros & cons ya hiyo move na wakajiridhisha kuwa ina faida zaidi kwao kuliko madhara.
Labda Taasisi ya Urais ndio imemwambia aseme hivyo. Tutajuaje? Harafu ni kweli technically bado ni mtumishi wa Serikali ya Samia maana hakufuzwa bali alisimamishwa tu kupisha uchunguzi
Kwenye kundi lΓ‘ kuua viongozi, Sabaya anaposema ametaka kuuwawa mara tatu. Hapo anajaribu kumuunganisha mtu fulani.Ina maana Alitumwa ubakaji na uporaji pesa???After all HUKUMU YA SABAYA ITAHALALISHA HUKUMU YA UGAIDI YA MBOWE !!!WAMEAMUA KUMTOA SABAYA KAMA CHAMBO ILI KUMMALIZA MBOWE KABISA KWENYE RAMANI YA MAISHA YAKE NA SIASA!!!!!!!mawazo huru!!!!
Kweli ndugu. Jamaa pale Arusha walikuwa hawamtaki kabisa wakati akiwa mwenyekiti UVCCM Arusha. Toka enzi za JK huyu dogo ni shida. Watu wa juu yake wangekuwa ni viongozi wazuri hata Sabaya angekuwa poa tu kwasababu ya nidhamu yake kwa wakubwa. Tatizo aliyemteua nae alikuwa katili hatari.... Sabaya kuwemo kwenye Mfumo wa ujasusi wa nchi hii haina mashaka! Toka enzi akiwa mtoto UVCCM aliwahi kukutwa na kitambulisho cha TISS kesi ikafunguliwa. Alivyoachiwa ni mamlaka yake ya uteuzi pekee ndio inajua.
In short, ameandaliwa kwa kazi maalum long time so yanayotokea kwenye sakata hili ni long time plan. Alichokisema mahakamani ni sahihi kabisa.
Its open secret world over that Governments have monopoly of violence.
Nani anaweza kuamini eti rais wa taifa anaagiza duka moja dogo huko Arusha lichunguzwe??? Rais anaangalia habari ya mfanyabiashara mmoja mdogo ambaye labda hatoi risiti??? Jamani, ni marufuku kutumia akili ya wastani ???Sebaya Kama alitumwa na Hayatti Magufuli, hii ilimaanisha taasisi ya Urais ilikuwa inajua misheni hizo, hivyo hakupaswa ajitetee kuwa alitumwa na Rais kufanya Uhalifu kwani Kwa kufanya hivyo anamdhalilisha Hayatti Magufuli na Taasisi ya Urais ya wakati huo.
Nani anaweza kuamini eti rais wa taifa anaagiza duka moja dogo huko Arusha lichunguzwe??? Rais anaangalia habari ya mfanyabiashara mmoja mdogo ambaye labda hatoi risiti??? Jamani, ni marufuku kutumia akili ya wastani ???
Kwenye kundi lΓ‘ kuua viongozi, Sabaya anaposema ametaka kuuwawa mara tatu. Hapo anajaribu kumuunganisha mtu fulani.
Hiyo inaitwa Nuremberg Defense, ambayo wahalifu wa vita Kuu ya pili walitoka kuvitumia kuitetea kuwa walitumwa na Hitler.Hakuna mwenye mamlaka ya kumuamuru mtu afanye Uhalifu.
Hakuna aliyejuu ya sheria sijui kama unalijua Jambo Hilo.
Huyo aliyemuagiza mwenyewe Kama angekuwepo na Kama sheria zinatenda kazi vyema wote wanakesi ya kujibu
habari ya weekend??... Sabaya kuwemo kwenye Mfumo wa ujasusi wa nchi hii haina mashaka! Toka enzi akiwa mtoto UVCCM aliwahi kukutwa na kitambulisho cha TISS kesi ikafunguliwa. Alivyoachiwa ni mamlaka yake ya uteuzi pekee ndio inajua.
In short, ameandaliwa kwa kazi maalum long time so yanayotokea kwenye sakata hili ni long time plan. Alichokisema mahakamani ni sahihi kabisa.
Ni wasioelewa tu wanaoweza mlaumu Sabaya Kwa utetezi wake , na ni ukweli mamlaka zilimtuma , hakufanya uhalifu alitekekeza majukumu aliyoagizwa na ushahidi upo.
Rais kumfukuza kazi Sabaya na kuruhusu kudhalilishwa kwake huku akijua ofisi yake inahusika moja Kwa moja ilikuwa wrong move....Sabaya shikilia hapo hapo.