Utetezi wa dr. Louis

Utetezi wa dr. Louis

Simara

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2014
Posts
7,512
Reaction score
23,925
Utetezi wa Dr. Louis....
Mimi ni kweli nilipanga kununua nyumba zote tatu, na kwenye mnada nilitamka fedha 700, 800 na mwisho 900...
Hakuna popote niliposema milion 900

Nimewaacha police wanarudia kusikiliza ile clip[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilikuwa nabishana na jamaa yangu hapa kitu hiki hiki tangu jana kuwa huyu jamaa hakutamka neno Millioni so hana alichokosea bali wale Yono ndio wapumbvu kwa kubali kumuuzia mtu nyuma ya millioni 900 kwa Mia 900 [emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Utetezi wa Dr. Louis....
Mimi ni kweli nilipanga kununua nyumba zote tatu, na kwenye mnada nilitamka fedha 700, 800 na mwisho 900...
Hakuna popote niliposema milion 900

Nimewaacha police wanarudia kusikiliza ile clip[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimechekaaaaaa sana uzuri nipo peke yangu ofisi dah!
 
Back
Top Bottom