Utetezi wa kitoto wa promoters wa disaster la Dimaond Ujerumani

Somji Juma
Alikua ametoka kukataa milion kumi kwa waTZ waishio UK,akaukubali mil.8 kwa huyo mNigeria..
Akilini mwake akidhani wale wabongo watatangaza price yake halali kwasababu alikua ameshadanganya huku TZ kuwa anachukua only kwanzia mil.20 kupanda juu..

Sasa ameumbuka,na bei yake halali tumeshaijua,thamani ya diamond nje ya nchi ni mil8,hivo ndani ya nchi itakuwa

Hebu rudia kusoma utaelewa
 
Last edited by a moderator:
Haya mambo ya kutapeli wasanii nilijuaga hayapo tena.. Mondi kastuka fasta
Inawezekana walitaka kumtapeli akasema hapandi jukwaani bila malipo,wakabishana huko mda unaenda majamaa wakaona hapa siyo
 
hizo ni euro 3250, au??
design kama haifiki millioni 20 anazolipwa Mondi kwa shoo za nje...!!
au aliwapa discount?

acha majungu hauoni neno balance maana yake kabla ya kuondoka dar alikuwa tayar amelipwa pesa nyingine
 
acheni majungu hauoni.neno balance ..
does balance mean full payment?
 

Nilidhani nimeyashangaa Majina peke yangu ! hahahah Duniani kuna Mambo Jamani
 

usiombe mbongo akakuchukia, tena akuchukie kwa sababu ya mafanikio yako.
 
Ruttashobolwa

Bongo hakuna meneja mkali wangu,bongo kuna madalali...mchango wa Tale kwa mishe za Diamond hauvuki 10%.
 
Last edited by a moderator:
Somji Juma

Na bado atakupa mpaka bp uyu dogo...keep on hating !
 
Last edited by a moderator:
Le Mutuz bana!

- I mean kweli umemsoma huyu mkuu sawa sawa simply childish, I support Diamond all the times lakini mara ya mwisho alipopiga New Jersey/States nilitumiwa malalamiko mengi sana kuhusu saa aliyofika na aliyondoka kwenye ukumbi nikawa alert kambi ya Diamond kwamba nimeshindwa kuwatwanga kwa sababu I support sana the kid lakini ilitakiwa kuwa an alert kwao nilijua sana kwamba this was coming!!

Le Mutuz
 
Na bado atakupa mpaka bp uyu dogo...keep on hating !

matumbo am no hating,naongea ukweli tu..
Huuu ni ulimbukebi,alikataa mil1p kwa waTz wenzake na akafuata hyo mil8 kwa mNiveria thats not fair..
Kama hata kwa hyo point bado mnaona nna hate,basi poleni,pengne mnafanana akili na muhusika..
 
Last edited by a moderator:
usiombe mbongo akakuchukia, tena akuchukie kwa sababu ya mafanikio yako.

By yo weak point of view,mafanikio ni nini.??

Na hapa TZ ni Diamond tu amefanikiwa.??

Na nikuulize pengne Diamond amefanikiwa kitu gani Maishani.??kuwa na Prado na kuishi nyumba ya kupanga sinza.???au kutembea na bongo movie.!!!?

Inaelekea we ni mshamba hujui maana ya mafanikio,!!

Au unaongelea kuwa contested kwenye tuzo za BET,well ni mafanikio kimziki,lakin mimi sio mwanamuziki hadi nione wivu yeye kufka huko..

Na unapozungumzia mafanikio ya kiMaisha,Diamond bado sana..
Hata Ay kamzid,sasa kwanini nisimchukie Ay.??

Diamond anaishi nyumba ya kupanga Sinza,ana Prado,na hana biashara yoyote alafu useme ana mafanikio.??may be upo nachingwea..
 
matumbo am no hating,naongea ukweli tu..
Huuu ni ulimbukebi,alikataa mil1p kwa waTz wenzake na akafuata hyo mil8 kwa mNiveria thats not fair..
Kama hata kwa hyo point bado mnaona nna hate,basi poleni,pengne mnafanana akili na muhusika..

Labda mie ndio sijaelewa ila nachoona iyo mil 8 unayosema ni balance,it means kuna kiasi kilishatangulizwa.
 
Last edited by a moderator:
Huyu promota kweli magumashi sasa ukumbi wa birthday hao ma investors watarudishaje ndio maana walisepa.
 
Waafrika afrika wengine hawa hata business confidentiality hawajui.

Kumbe hilo ndo dau la Diamind mashauzi yote haya?

What am I talking about business confidentiality, hata netiquette ya kutoandika in all caps hawajui.
 
Kiranga
Mimi nimebaki hoi kusikia kuna investors watatu kwa show ya Diamond kumbe hata mimi sasa ngoja nirekebishe profile yangu nilikuwa sijitambuwi kama na mimi pia ni investor
 
Last edited by a moderator:
Somji Juma

Na hapa TZ ni Diamond tu amefanikiwa.??

Na nikuulize pengne Diamond amefanikiwa kitu gani Maishani.??kuwa na Prado na kuishi nyumba ya kupanga sinza.???au kutembea na bongo movie.!!!?

Inaelekea we ni mshamba hujui maana ya mafanikio,!!

Au unaongelea kuwa contested kwenye tuzo za BET,well ni mafanikio kimziki,lakin mimi sio mwanamuziki hadi nione wivu yeye kufka huko..

Na unapozungumzia mafanikio ya kiMaisha,Diamond bado sana..
Hata Ay kamzid,sasa kwanini nisimchukie Ay.??

Diamond anaishi nyumba ya kupanga Sinza,ana Prado,na hana biashara yoyote alafu useme ana mafanikio.??may be upo nachingwea..





Msamehe bure tu ndg yangu,wabongo wakishaona mtu anapromotiwa ht kwa ujinga bs amefanikiwa,na Jide cjui asemaje sasa.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…