UTETEZI WA LULU: Kanumba alitaka kunibaka...



acheni mambo yenu ya uongo,lulu mwenyewe tulimsikia akisema ana miaka 18 katika kipindi fulan tena kwa kingereza i am 18,na doc anazo,wewe ulieandika maelezo haya huna unchokijua
 
acheni mambo yenu ya uongo,lulu mwenyewe tulimsikia akisema ana miaka 18 katika kipindi fulan tena kwa kingereza i am 18,na doc anazo,wewe ulieandika maelezo haya huna unchokijua

big niga..........................mambo ya mahakamani wayajua weye............kauli haina mashiko kama kuna ushahidi wa maandishi.......wanasheria wa Lului wanacho cheti chake cha kuzaliwa kutoka hospitali ya Muhimbili na kufanya chochote kile ambacho Lulu kuongea kupotea maana.......................
 
Last edited by a moderator:

Msanii wa filamu, Elizabeth Michael maarufu kama Lulu anayekabiliwa na mashtaka ya mauaji ya msanii mwenzake, Steven Kanumba akiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam jana, chini ya ulinzi mkali wa askari Magereza. Picha na Venance Nestory


Hizi kauli kuwa Lulu ana uja wepesi wa mwendazake naona umeanza kupata mashiko...............
 
The girl is innocent period. Kanumba alianza mahusiano na huyu mtoto akiwa bado ni minor hili limekaaje?? Ingawa si tiketi ya Lulu kufanya mauaji lakini hakuna ushahidi wa kutosha Lulu ndiye aliyesababisha kifo hicho. Lulu ana haki ya kupewa dhamana wakati upelelezi ukiendelea.
 

Pakawa..........hata polisi naona wameanza kukataa tamaa baada ya kuona cheti cha kuzaliwa cha kinda Lulu.....................game over....ila akitoka ajihadhari wapambe wa mwendazake wasije kumdhuru tu.........
 
Last edited by a moderator:
idont think so kuwa lulu ana makosa ,pia tanzania bado iko nyuma kiuchunguzi ,

wahida tuko wote hapo............................uko wapi leo mbona sikuoni kule MMU?
 
Last edited by a moderator:
leo ilikuwa bz day kwangu ndio nimefika home muda s mrefu nimefungua kuangalia wht goingon ktk jf
 

Mkuu umesema kweli.
Huu utoto wa Lilu unatoka wapi leo?
Lulu ni mkubwa mwenzetu, na dunia nzima inajua kwamba ni KAKAHABA
 
Hivi kama mkigombana wote wawili (yaani wapenzi wawili) na bahati mbaya mmoja akadondokea kitu na kufariki, bado unahesabiwa wewe uliyebaki ni muuaji? au imetokea bila kukusudia?
 
Hivi kama mkigombana wote wawili (yaani wapenzi wawili) na bahati mbaya mmoja akadondokea kitu na kufariki, bado unahesabiwa wewe uliyebaki ni muuaji? au imetokea bila kukusudia?

Inategemea na huyo mwenzako kadondokaje...

Ulimsukuma ndiyo akadondoka au alidondoka tu mwenyewe kwa kujikwaa kwenye kitu? Au alidondoka wakati wewe unamkimbiza?

Kuna mambo mengi ya kuzingatia katika kuamua. Kuhusu hii kesi ya Lulu mimi sidhani kama prosecution counsel wana ushahidi wa kutosha kumpata na hatia kwa murder one (ingawa mpaka sasa sijui hata anatuhumiwa kwa kosa gani hasa).
 
Mi huwa nasikia nchi zilizoendelea mpaka wachunguze kabisa wawe na uhakika ndo unapelekwa mahakamani, ila huku mahakamani kwanza uchunguzi baadae.
 
Mi huwa nasikia nchi zilizoendelea mpaka wachunguze kabisa wawe na uhakika ndo unapelekwa mahakamani, ila huku mahakamani kwanza uchunguzi baadae.
[MENTION]
Joyceline[/MENTION] haki za mtuhumiwa hapa kwetu zinachezew sana labda kwenye hii katib ampoya suala hilo litaangaliwa
 

Nyani Ngabu...........DPP anadai hiyo ni murder case lakini pia nanakiri hana ushahidi wa kuendelea na kesi bado anautafuta ushahdi......................yaani kafanya mahitimisho wakati hana ushahid....only in Tz huu uzembe unaruhusiwa kufanyika...........
 
Last edited by a moderator:

Hahahahaaaa so much for the so-called "learned" brother/sister
 
Hivi kama mkigombana wote wawili (yaani wapenzi wawili) na bahati mbaya mmoja akadondokea kitu na kufariki, bado unahesabiwa wewe uliyebaki ni muuaji? au imetokea bila kukusudia?

BlackBerry hiyo ni manslaughter.............................haina ubishi lakini hapa kwetu wataiita murder kwa sababu hata ushahidi hawajui namna ya kuukusanya...........
 
Last edited by a moderator:
BlackBerry hiyo ni manslaughter.............................haina ubishi lakini hapa kwetu wataiita murder kwa sababu hata ushahidi hawajui namna ya kuukusanya...........

Lakini Ruta, hata kama mlikuwa mnagomba...kama mtu alianguka kwa kujikwaa mwenyewe halafu akajibamiza kichwa chake sakafuni na kufa, kwa nini iwe manslaughter?

Kwa nini charges zisiwe dismissed kabisa?
 
magazeti yanaripoti walichosimuliwa.................Lulu ndiye mwenye taarifa sahihi. Mpira umekwisha...the gal is innocent. full stop........

Mahakama uwa wakati mwingine inaachia watu wasio kuwa innocent!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…