Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
-
- #21
10. Jamii yenye hasira haimtaki ndo maana walivamia kituo cha polisi Oysterbay.
Mi si Mwanasheria, lakini Advocate Ruta una kazi ya ziada kama utetezi ni huo. hauna mashiko! Hana pa kutokea!
Duh! Labda afundishwe kuongea otherwise imekula kwake.
tabia yake haihalalishi abakwe...............kwa hiyo hoja zako Alien 1-9 zinapoteza mwelekeo. Hoja no. 10 ya kuwa mahakama itazingatia mob-justice....................sioni hata umuhimu wa kujibu kwa sababu that is the last thing the court wants to entertain....................pitia polepole hoja zangu utagundua Lulu has no case to answwer ila DPP anafanyakazi kwa mashinikizo ya mob-justice na wala siyo kwa kuongozwa na sheria au ushahidi alionao mikononi mwake..........
a) Mwendazake ndiye aliyemwita kuwa ana mazungumzo naye ya haraka usiku wa tukio juu ya tasnia ya filamu. Hivyo yeye Lulu hakuwa na makusudio ya kwenda kwa Kanumba kwa minajili ya kumwuuwa. Kumbuka DPP ni lazima athibitishe nia ya kuua ili mahakama imtie hatiani Lulu lakini kama ni kanumba ndiye aliyemwita mtuhumiwa nia ya Lulu kwenda kwa mwendazake kwa nia tajwa itaota mbawa kuwa isingewezakana kuwa vivyo kama DPP anavyodai.
b) Marafiki wa Lulu watathibitisha ya kuwa wao ndiyo waliokuwa wakimpigia simu na kutaka kujua alikuwa wapi na kwa nini amechelewa. Ushahidi huu wa kimazingira utazidi kubomoa hoja ya polisi ya kuwa Lulu alikwenda kwa mwendazake kwa nia ya kumtoa roho.
c) Lulu atathibitisha mahakamani ya kuwa kanumba siye mpenzi wake na kwa hivyo hoja ya DPP kuwa kulikuwa na ugomvi wa mapenzi kukosa mwelekeo.
d) Lulu atajenga hoja ya kuwa Kanumba alitaka kumbaka na yeye alitumia nguzu za mikono yake kujihami na kutokana na umri wa miaka 17 mahakama lazima ikubaliane naye ukizingatia mazingira yenyewe: Yawaje mtu mzima amkaribishe binti mdogo wa chini ya miaka 17 chumbani mwake kama lengo siyo kumbaka? Yawaje Kanumba akutwe hana nguo kwa maana ya kuwa yuko uchi wa mnyama na binti mdogo hivyo tena chumbani kwake? Kwa hiyo, hata kama lulu alitumia silaha iliyokuwemo chumbani kujilinda, mahakama itampa manufaa ya "benefit of doubt" na hivyo kuukubali utetezi wake. Lulu hakutumia silaha yoyote kulingana na ushahidi uliopo mikononi mwa DPP.
e) Lulu atadai kilichomwangusha Kanumba chini na kukosa fahamu hakina uhusiano na yeye bali ni matatizo yake ya kiafya na atatumia taarifa ya madaktari wa Muhimbili kuthibitisha ya kuwa kilichomtoa roho mwendazake ni mshtuko mkubwa katika ubongo wake (Brain concussion) ambao haukusababishwa na majeraha ya mwilini mwake ambayo hata hivyo hayapo. Mwendazake hakuwa na jeraha lolote kuonyesha lingeweza kumsababishia mshtuko tajwa.
f) Lulu atadai mahakamani ya kuwa hakuna ushidi wowote ule wa kitaalamu ya kuwa marehemu alikufa kwa lolote jinginelo na inashangaza hata DPP kumfungulia kesi ya mauaji na hivyo kumbughudhi na kumdhaliliisha mbele ya jamii na hivyo kuiomba mahakama iangalie namna ya kumfidia dhidi ya kubambikiziwa kesi ambayo hata haipo au "malicious prosecution".
tabia yake haihalalishi abakwe...............kwa hiyo hoja zako Alien 1-9 zinapoteza mwelekeo. Hoja no. 10 ya kuwa mahakama itazingatia mob-justice....................sioni hata umuhimu wa kujibu kwa sababu that is the last thing the court wants to entertain....................pitia polepole hoja zangu utagundua Lulu has no case to answwer ila DPP anafanyakazi kwa mashinikizo ya mob-justice na wala siyo kwa kuongozwa na sheria au ushahidi alionao mikononi mwake..........
Mkuu
3. Live Video na Watangazaji wa TV watatoa ushahidi wa Mahojiano wa Ukware wake.
Hayo ni mawazo yako na ni vizuri kuweka imaginations katika mwenendo wa kesi kama hizi. Hata hivyo kutoka kwa LULU ni asilimia kubwa. kwanza ameshitakiwa kwa Mauaji(Murder) na siyo mauaji ya kutokukusudia (manslaughter). Hii itamweka nje kwa sababu proof ya murder katika mazingira yale itakuwa ngumu sana. Lakini hata hivyo vielelezo vya mwendelezo wa kesi za aina hii huwa vinakuwa vingi na baadhi yake vinaweza vikwamweka hatiani cha msingi ni kusubiri tuone mwisho wake.
Hata hivyo tukumbuke kuzungumzia na kutoa opinion ya kesi ambayo iko mahamani ni kosa.
hata kama kama alienda kule ili afanywe umri unamlinda................kulingana na sheria huyo ni mtoto hajui alilokuwa akilifanya.........hana hatia ila kanumba ni mbakaji aliyeokolewa na kifo kushitakiwa kwa makosa ya ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia.......................kuweni waangalifu na hao mabinti
Hivi siku hizi mahakama zetu zinapokea Electronic evidence?
Huyu binti ana drive,bila shaka ana driving license ambayo ninavyofahamu ni mtu wa kuanzia miaka 18 ndio anapatiwa,
Pili nadhani ni kama 2010 kama sikosei alimaliza F4 unataka kuniaminisha kuwa alimaliza akiwa na miaka 15?
Pia swala la vyeti vya kuzaliwa Bongo sio kitu cha kuaminika sana kwani hata wewe hapo ukitaka hata kesho ni kiasi cha kwenda rita unamaliza kazi,
Sifurahii wakati mgumu alionao binti ila tuache haki atendeke na sio kutafuta visingizio ambavyo kwa upande mwingine hata kama itakuwa ni kweli kumuelewesha mtu mwenye akilizake inakuwa ngumu sana.
Hivi siku hizi mahakama zetu zinapokea Electronic evidence?
Nani kakwambia kuwa alibakwa?.... statutory rape itathibitishwa na daktari, as in kuangalia michibuko au mbegu, ukishapita muda fulani like 48hrs huwezi kuthibitisha kirahisi.tabia yake haihalalishi abakwe...............kwa hiyo hoja zako Alien 1-9 zinapoteza mwelekeo. Hoja no. 10 ya kuwa mahakama itazingatia mob-justice....................sioni hata umuhimu wa kujibu kwa sababu that is the last thing the court wants to entertain....................pitia polepole hoja zangu utagundua Lulu has no case to answwer ila DPP anafanyakazi kwa mashinikizo ya mob-justice na wala siyo kwa kuongozwa na sheria au ushahidi alionao mikononi mwake..........
kwa mfano
mkemia mkuu baada ya kufanya vipimo akagundua kuwa maji ya macho,pombe na soda vilikuwa na sumu-je lulu atakuwa nje ya hukumu juu ya hilo?
vipi kama mahakama itataka itumie ushahidi wa crip alizokuwa akihojiwa na wanahabari juu ya umri wake na hata kuchukua ile video ya birthday yake aliyotimiza umri wa miaka 18 na yeye kuhutubia hadhira kwa kumshukuru mungu kufikisha umri wa miaka 18?
je huyo mpenzi maarufu aliyempigia simu wakati akiwa na kanumba,anaweza nae kuwa matatani na kuingizwa ktk kesi ya ubakaji pindi tu mahakama ikijiridhisha kuwa ni kweli ana miaka 17?
kwa upande wangu,Lulu atakuwa huru kama tu mahakama itaamua na kutoa msamaha pasi kufuata kanuni,sheria na taratibu walizojiwekea la sivyo chochote chaweza tokea
tusubiri maamuzi ya mahakama
Ruta na Allien
Kwa maelezo yenu ya utetezi inaonyesha marehem na lulu were proffessional porn stars